Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Palestine walipokuwa awali wanaishi kwa sasa panaitwaje ? Najiuliza pia, kama Waisraeli hawapo,, kiebrania kimetunzwaje hadi leo kama lugha yao. Hata kama walienda ulaya Marekani nk kama wakimbizi, hiyo inaondoa uwepo wao na asili yao ?Wayahudi ni kabila miongoni mwa watu waliokuwa wanaishi palestina ila siyo hawa wazungu wazungu waliotoka ulaya kisa wanajua kuongea kiebrania.
Sio waliondoka, walipateka kwa kigezo wametumwa na Mungu wao wakawapiga wakanaani na kuwahamisha kisha wakasema ni kwao.Kwa ivo kwa maelezo yako ni kwamba kosa la Wayahudi ni kutaka kurudi kwao? Kwa ivo pale ni kwao ila waliondoka na sasa wamerudi?
Mashangazi akili kwao si nywele! Akili kwao ni bondeniDuh! Kweli akili ni nywele. Si aheri ungekaa kimya?
Wewe ni chizi kweli hakuna asiyo na kwaoMayahudi hayana kwao
Khalifa Umar alipofika Jerusalem aliwakuta Warumi!Caliph Umar aliingia Yerusalem miaka ya 600. Mohammad anatambua uwepo wa wayahudi hapo. Waarabu hawana hoja, wanasumbua makusudi.
Kanaani hiyo kumbuka kulikuwa na wakanaani hivyo wayahudi wasitake kujiona ndio wamiliki wa pale.Hitimisho
Kwa kifupi, Wayahudi walikuwa wanaishi kwenye ardhi ya Kanaani (eneo la Israeli ya sasa na Palestina) katika zama za kihistoria. Hata hivyo, mzozo wa kisasa juu ya ardhi hiyo umeleta mgongano wa madai kutoka pande zote mbili. Wayahudi wa Biblia na Quran wanatajwa kupewa ardhi hiyo, lakini migongano ya kisiasa na historia imesababisha hali ngumu ya kiutata kuhusu nani hasa anast
Hao wapalestina ndio waisrael walio tajwa kwenye Biblia. Mtu kakaa Palestina toka wakati wa Yesu hadi leo with Dna proof ya mababu zake kwamba walizikwa hapo, so hawa descendant wa Yesu sio waisrael?Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.
Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?
Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Kwani kabla ya 1964 kuna nchi iliyokuwa ikiitwa Tanzania..!!Hakuna nchi iliyoitwa israel kabla ya 1948.
Benzantine empire ( easten roman empire) walikuwa ni wakoloni wa Waisrael so walipotimuliwa wakaja waislam wakoloni wapya. Waliendelea kuwepo hadi vile vita vya crusade.Khalifa Umar alipofika Jerusalem aliwakuta Warumi!
Hakukuta hekalu hata Moja la kuabudia mayahudi. Akaigiza watafutwe mabaki yao popote walipo na wapewe uhuru wa kuabudu!
Pia hakuna nchi iliyoitwa Tanzania kabla ya 1964Hakuna nchi iliyoitwa israel kabla ya 1948.
Kwahiyo Qur'an na Biblia zilikuwa ni porojo. Hakuna nchi kama hiyo iliwah kuwepo wala Mungu wao na manabii na mitume wao sio?hawana nchi.
Tofautisha jews na Judaism mkuu. Somen kidogo mpate ufahamuWayahudi sio Kabila.
Hao wapalestina ambao ni waarabu wamekuja kipindi Cha utawala wa Ottoman, sawa na waarabu walivyosambaa Afrika kaskaziniHao wapalestina ndio waisrael walio tajwa kwenye Biblia. Mtu kakaa Palestina toka wakati wa Yesu hadi leo with Dna proof ya mababu zake kwamba walizikwa hapo, so hawa descendant wa Yesu sio waisrael?
Hivi wapalestina wa Leo ndiyo wale wafilisti wanaotajwa na Biblia? Kama ndiyo hivyo, kati ya Goliath na Daudi nani alikuwa ni myahudi?Hao wapalestina ndio waisrael walio tajwa kwenye Biblia. Mtu kakaa Palestina toka wakati wa Yesu hadi leo with Dna proof ya mababu zake kwamba walizikwa hapo, so hawa descendant wa Yesu sio waisrael?
Tofautisha jews na Judaism. Jews ni watu ila Judaism ndio dini. Kuna mzee wetu mmoja tumetoka kumzika wiki iliyopita nae alikuwa Judaism. Halafu pia kuna jews na zionisim so somen kidogo au tembelea nchi yao uweze kujifunza kwa kuona kuliko kulishwa stor za vijiwen.Hii ndio tofauti kubwa pekee ni sawa leo watokee wa Catholic waseme kwao ni Vatican sababu ndio nyumbani kwa wa Rome lakini sababu Vatican hapatoshi tuchukue Rome pia. Wayahahudi ni dini na wanaweza kuwepo popote kuna waarabu wengi tu na ni mayahudi hakuna shida. Hawa wazungu waliotoka sijui Poland na nchi za ulaya mashariki ndio shida kubwa. Netanyau halikuwa jina lake alitoka Poland baada ya wao kuhamia Israel na jina akabadilisha Nentanyau.