Haujawahi kabisa kuwa sehemy ya milki yake. Usidanywe, wewe ulikuwa koloni la Mjerubami baada ya wajerumani kukuulia wazee wako kina Mkwawa na Kimweri, tena Mwarabu akasimama bega kwa bega na wewe kupigana na mjerumani. Hujamsoma Bushiri?Kwa hiyo alituomba tuwe sehemu ya milki yake ?
Hivyo ndiyo ulivyodanganywa kwa ukondoo wako. Wajerumani waliingia mkataba kwa kumzuga Mwarabu au Mangungo?Yaani atoke sultani kutoka uarabuni atulazimishe kwa mtutu wa bunduki ndio useme tumekuwa sehemu ya nchi ya zanzibar
Ardhi ya asili ya nani? Ukisoma huelewi basi hata picha huoni?Watu wanajua ardhi yai asili, hata waajemi wanajua ardhi yao ya asili ilipo
Kama ulivyo mpuuzi nakupuuzaWewe ni mjinga
Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.
Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?
Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Mambo ya inawezekana hapa hayana nafasiNdio maana wamekutungua, inawezekana hata hao wanaojiita wapalestina wamehamia kutoka mesopotamia na uajemi
Asante ngoja niweke mkuuYahaya,,,,eka picha hii kwenye avatar Yako🤣🤣🤣View attachment 3132989
Mkuu, ukisoma quraan utaona hao jamaa wali laaniwa na walipitia adhabu mbalimbali, na maanisha karibia mitume yao yote wali ikataa kata kata, mfano nabii luti (a.s), nuhu (a s), mussa (a.s,), issa (a.s) lakini bado wakawa wakaidi, walipewa adhabu ya kutembea miaka 40 jangwani yaani kufika hawafiki, na hawaja pewa amri ya kuingia nchi yoyote kupata hifadhi na walipo ruhusiwa kuingia ktk nchi hiyo bado waka wakaidi juu ya maelekezo ya Allah (s.w) , that why ktk Surat al fattah, mwisho mwisho wametajwa kuwa wamepotea na ALLAH atuepushe kuwa ktk njia yao pamoja nk waliopotea,Kuna hoja ipo kuwa pale ilipo Israel kwa Sasa si Ardhi ya waisrael bali wapalestina.
Binafsi nakubaliana na hoja hiyo. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba, kama ilipo Israel kwa Sasa siyo nchi ya waisrael, jee pale Mashariki ya kati, waisrael wanastahili kuwepo kwenye nchi Gani?
Quran na Biblia zina hadithi kuhusu wayahudi. Hao wayahudi wanaotajwa kwenye Quran na Biblia, zama hizo walikuwa wanaishi kwenye nchi gani ambayo kwa sasa haipo?
Mkuu huna elimu hata ya ku Google, Quran ina miaka 500?, anyway usichokijua ni quraan ni kitabu cha dini ya kweli na bibilia ni kitabu kilicho jaa uongo kila sehemu na pia vipo vitabu ktk bibilia visivyo julikana vimeandikwa na nani, ukitaka kujua ukweli wa mwanadamu dunia nk basi huna budi kusoma Quran,Qurani imebuniwa juzi sana miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, haina hadhi ya kuongea kuhusu Wayahudi maana imekuta vyote.
Unataka tuongelee kitabu kipi?Qurani imebuniwa juzi sana miaka 500 baada ya Yesu kuondoka, haina hadhi ya kuongea kuhusu Wayahudi maana imekuta vyote.
Sio kweli acha upotoshaji haikuwa Zanzibar ilikuwa ni Germany East AfricaHilo ni kweli kabisa, ilikuwa Tanganyika, na kabla ya Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar.
Na ni kwenye vitabu hivyo kuna maelezo ya jamii jirani na waebrania kama wamoab, wasamaria, wafilisti,.... Je hao watu waliishi wapi na kwa sasa ndo akina nani na wapo wapi?Itoshe kusema hawa wayahudi ndo hawa hawa tunaowasoma kwenye kila kitabu cha kale na Israel ndo hiyo hiyo tunayoisoma kwenye kila kitabu cha kale. Kwa sababu hawa wayahudi wa leo wanafanana kila kitu na wayahudi wa kale kuanzia lugha,majina yao, tabia zao hasa za kupenda vita, uwezo kiakili nk nk......pia hata mipaka ya Israel ndo hiyo hiyo tunayoisoma kwenye kila kitabu cha kale. sasa leo hii anatokea mtu anakwambia hawa sio wayahudi wenyewe au hii sio Israel yenyewe kwa ushahidi gani???
Huwa sikisii.Sio kweli acha upotoshaji haikuwa Zanzibar ilikuwa ni Germany East Africa
Asante ngoja niweke mkuu
Hizi hadithi zote inawezekana kupatikana kwenye Quran?Mkuu, ukisoma quraan utaona hao jamaa wali laaniwa na walipitia adhabu mbalimbali, na maanisha karibia mitume yao yote wali ikataa kata kata, mfano nabii luti (a.s), nuhu (a s), mussa (a.s,), issa (a.s) lakini bado wakawa wakaidi, walipewa adhabu ya kutembea miaka 40 jangwani yaani kufika hawafiki, na hawaja pewa amri ya kuingia nchi yoyote kupata hifadhi na walipo ruhusiwa kuingia ktk nchi hiyo bado waka wakaidi juu ya maelekezo ya Allah (s.w) , that why ktk Surat al fattah, mwisho mwisho wametajwa kuwa wamepotea na ALLAH atuepushe kuwa ktk njia yao pamoja nk waliopotea,
Note: baada ya kuzaliwa mtume Muhammad (s.a.w) kila jamii ktk uli mwengu ni yake
kwa sasa hilo kabila liko wapi?Wayahudi ni kabila miongoni mwa watu waliokuwa wanaishi palestina ila siyo hawa wazungu wazungu waliotoka ulaya kisa wanajua kuongea kiebrania.