Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Yaani kwanza data huna.Sasa kama wao wameungana ndiyo wanapata Hiyo 36% ya uchumi wote Wa dunia wakati Marekani pekee inamiliki 15% ya uchumi huo, hapo wewe unaelewaje?
Hata kamaKuna watu ni waja kwenye medani hii ya kimataifa, ngoja tuwakumbushe kidogo.
Nchi za ulaya ziliungana ziwe na mfumo mmoja wa kiuchumi Ili kushindana na Marekani.
Leo BRICS wanaungana Kwa lengo hilo hilo. Swali ni je fupa lililowashinda wajuvi wa Ulaya wasauzi wataliweza?
Wewe pia soma uelewe kabla ya kujibu.Kwahiyo wewe lengo lako US awe BRICS??,
Kutokuendana si kuwa kinyume? Kwa ivo BRICS Iko kinyume na Marekani na haiwezi kufanana na Marekani.Ni kwa sababu malengo yake hayaendani na sera za marekani.
EU wanatumia Euro kama payment system kinyume na marekani lakini sio maadui... hope umenielewa. Sio lazima kila asiefanya utakalo ni aduiWewe pia soma uelewe kabla ya kujibu.
Kwani akiwa mwanachama Wa BRICS Kuna shida Gani?
Kutokuendana si kuwa kinyume? Kwa ivo BRICS Iko kinyume na Marekani na haiwezi kufanana na Marekani.
G7 au NATO watu husema hicho ni kivuli cha Marekani. Haiwezekani "maadui" wakubwa wa Marekani wawe wanachama wa BRICS halafu kusiwe na hisia kuwa BRICS haijaanzishwa kushindana na Marekani.
Hivi kwenye BRICS kuna nchi toka EU?
Tafuta Mantiki ya ulichoandika ndiyo utajua wewe ndiyo huelewi.Yaani kwanza data huna.
Global gdp ya marekani ni 23% na washirika wake ni 17% ukijumlisha hapo unapata 40%. Kwa takwimu hizo BRICS wako juu pamoja na kuwa Wana 36% unajua ni kwanini?
Kama hujui tumia hesabu za darasa la pili ndio utakuwa kwanini US na vibaraka wake Wana haha
Tafuta taarifa sahihi. Na uadui siyo lazima iwe vita.EU wanatumia Euro kama payment system kinyume na marekani lakini sio maadui... hope umenielewa. Sio lazima kila asiefanya utakalo ni adui.
Hizo data za USA kumiliki nusu ya uchumi wa Dunia unazitoa wapi au unaota?Tafuta Mantiki ya ulichoandika ndiyo utajua wewe ndiyo huelewi.
Wewe umesema 23% mimi nilisema 15%. Sasa hapo kubwa zaidi si 23%?
Kama nchi Moja Marekani inamiliki zaidi ya nusu ya jumla nzima ya uchumi unaomilikiwa na nchi za BRICS Kwa Nini udhani yenyewe ni dhaifu kuliko nchi hizo?
Nimesema Marekani inamiliki nusu ya uchumi Wa dunia??Hizo data za USA kumiliki nusu ya uchumi wa Dunia unazitoa wapi au unaota?
Nimeandika nilivyo andika kupima uelewa wako na umethibitisha kuwa ni mdogo.Tafuta Mantiki ya ulichoandika ndiyo utajua wewe ndiyo huelewi.
Wewe umesema 23% mimi nilisema 15%. Sasa hapo kubwa zaidi si 23%?
Kama nchi Moja Marekani inamiliki zaidi ya nusu ya jumla nzima ya uchumi unaomilikiwa na nchi za BRICS Kwa Nini udhani yenyewe ni dhaifu kuliko nchi hizo?
Nimeandika nilivyo andika kupima uelewa wako na umethibitisha kuwa ni mdogo.
EU + US jumla wako nchi 28 na jumla ya global gdp Yao ni 40% BBRICS Wana jumla ya nchi 8 ukiongeza hao wapya. Sasa Kwa uelewa wako mdogo tuambie wapi Wana uchumi mkubwa tukitafuta wastani?
Wataalamu wenye akili wameshaona kifo Cha G7 na bwana wenu US.
Mkuu ni vizuri kuzungumzia hoja kwa Ku refers takwimu,hiyo UE alikuwa mpinzani wa USA kwenye uchumi karne ya 20 na sio hii ya 21.Tafuta taarifa sahihi. Na uadui siyo lazima iwe vita.
EU na Marekani kwenye mambo ya kiuchumi ni wapinzani.
Jee China haiumizwi kichwa na Marekani?Mkuu ni vizuri kuzungumzia hoja kwa Ku refers takwimu,hiyo UE alikuwa mpinzani wa USA kwenye uchumi karne ya 20 na sio hii ya 21.
Katika karne hii Mpinzani wa USA katika Uchumi ni China na anamuumiza kichwa sio kidogo.
Kinacho Fanya US kuwa na uchumi mkubwa ni global $ dominance. Sasa kitendo BRICS kuja na mkakati wa kutotumia $ kutaifanya dola ikose nguvu, linapokuja suala la global dominance reserve curence; jambo litakalopelekea influence ya marekani kupungua duniani kwani, uwezo wake wa kutumia economic power utakuwa umepungua.Kwani GDP inatokana na nini?
Na unapopima uimara wa GDP kama kipimo pekee cha kupima uimara wa uchumi huoni kama unakosea?
Hao BRICS itawachukua miaka mingapi kuacha kutegemea soko la Marekani kwa bidhaa zake?
Halafu Marekani siyo bwana Wa yeyote. Jaribu kujenga hoja bila ya kutumia lugha zenye kukarahisha.
Ukiongeza na wanachana wapya ambayo Wana utajiri wa mafuta hapo US ana kazi kubwa.Kwa maoni yangu BRICS inaweza! Na ni mshindani mzuri wa US!
Changamoto zilizoikuta EU ni kwa sababu nchi za ulaya zinaitegemea US kijeshi! Na ndiye anayezilinda!
Mbali na hapo US ndiye anazipa teknolojia ya kila kitu! US ni mkoloni wa nchi za Ulaya.
Kwa kweli hawana uhuru wa kiuchumi! Vita ya Ukraine US amevianzisha kwa lengo la kuua uchumi wa nchi za EU baada ya kuona zinaitegemea Urusi katika nishati ya gesi na mafuta, na zimefyata mkia!
Tofauti na nchi za BRICS nchi kama China na Russia zinajitegemea kijeshi, zimeiba teknolojia ya nchi za Magharibu, nchi kama CHINA imeinuka kiviwanda! Nchi kama India wako vizuri, nk kwa hiyo nchi zote hizi zikiunganisha nguvu zao za kiuchumi zinaweza kuwa mbadala wa US!
Isitoshe zina raslimali ya kutosha nyingi na wana teknolojia ya kuzichakata!
Labda tu wasiwasi wangu ni baadhi ya nchi ambazo bado zina migogoro ya mipaka, mfano China na India bado zinagombea mipaka, nk
BRICS ni kama kokoro la baharini, linazoa kila kitu kama ilivyo AU.Usiifananishe EU na BRICS, EU ni kichaka cha Marekani. Unaweza nipa sababu zenye mashiko Kwann UK alijitoa???
Ni umoja wa kuhakikisha hawafikii hatua ya kuuza bandar zaoKichakoro kama siyo kushindana na Marekani ilianzishwa ya kazi Gani Sasa!!??