Dedollarization suffers a blow as the greenback's share in global payments hits a record high
The international drive to end the dollar's dominance has suffered a blow, with the greenback's role in global payments hitting a record high.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi data mnatoa wapi mbona matumizi ya Dollar yako palepale, 88% ya miamala yote ya kibiashara duniani imefanyika Kwa Dola. Mwenzetu data za kupungua kwa 10% umezitoa wapi?!!!!Mkuu kwa hiyo wewe unadhani USA atakuwa kiranja wa Dunia miaka yote,au husomi historia kulikuwa na dola zenye nguvu huko nyuma nazo zilianguka.
Yes,BRICS wataweza sababu kuu ni Moja Nchi za BRICS zinaongoza kwa Rasilimali na soko kubwa LA bidhaa na huduma tofauti na EU ambayo haina rasilimali.
Moja ya malengo makubwa ya BRICS ni kuondoa mfumo kandamizi wa kiuchumi na unyonyaji wa hiyo USA,na moja kati wa washirika wa BRICS-Russia amefanikisha katika uondoaji wa matumizi ya USD katika mfumo wake wa kiuchumi.
Hali iliyopelekea Nchi nyingi kuiga kufanya trade katika currency zao.Najua unafahamu matokeo yake matumizi ya USD duniani yamepungua zaidi ya 10% kuliko hapo awali.
Bado hizo embargo zimepelekea Chumi za USA na Nchi za Ulaya kuyumba mara dufu.
Kama uliuliza kwa lengo LA kujifunza utakuwa umepata hints,kama ulikuwa ni ushabiki njoo na hoja.
Kwani si ushajibiwa BRICS Ni mbadala wa G7 au unajibu lako moyoni unalazimisha ujibiwe unavyotaka wewe?. BRICS ni opposite ya G7 sio EU ila tofauti kidogo BRICS mtaji wao mkubwa rasilimali watu ili baadaye watakapokuja kufanya biashara ndani ya soko la BRICS tu kuna watu wakutosha wakuwauzia bidhaa ila G7wao wamejichagua mabwenyenye tu wenye pesa ila hawana rasilimali watu wa kutosha wanategemea kuzalisha kuwauzia hao waliowatenga wanaowaona masikini na wanawategea mpaka kwa malighafi ya hivyo viwanda vyao.NB G7 ni nchi zinazoongoza kwa viwanda duniani ikiwemo na Marekani ipo kwenye G7 halafu unataka tena Marekani iwepo kwenye BRICS hivi unaanzaga kufikiri kabla ya kuandika kweli au ndio kati ya wale wasomi wetu wa degree moja ya kukariri history?Mfano huu hausadifu tunachokiongelea.
Hebu nigeuze swali. BRICS ilikuwaje ikaanzishwa na ni kwa nini Marekani haimo kwenye BRICS??
WanajichekeshaKuna watu ni waja kwenye medani hii ya kimataifa, ngoja tuwakumbushe kidogo.
Nchi za ulaya ziliungana ziwe na mfumo mmoja wa kiuchumi Ili kushindana na Marekani.
Leo BRICS wanaungana Kwa lengo hilo hilo. Swali ni je fupa lililowashinda wajuvi wa Ulaya wasauzi wataliweza?
Eleza sababu za UK kuacahana na EU acha kuruka ruka. Halafu usitudanganye lengo la EU na BRICS ni moja tafadhali sana kama hujui kitu kaa kimya.Sababu zake ziko wazi na Wala si mara ya kwanza kujitoa. Yote Kwa yote Bado lengo la BRICS na EU ni Moja.
Umechelewa sana hivi sasa kila mmarekani lengo lake ni kufika DubaiKila mtu duniani lengo lake ni kufika nchi ya maziwa na asali- USA. Marais wenyewe wa BRICS wanacheza green card lottery.
Umechelewa sana hivi sasa kila mmarekani lengo lake ni kufika Dubai
Kitendo chs kutotumia Dollar huo ni ushindi tosha. Na biashara tayari zinaendelea bila Dollar. Wewe unataka tuendelee na mfumo wa Dunia nzima kununua kwa Dollar.Kuna watu ni waja kwenye medani hii ya kimataifa, ngoja tuwakumbushe kidogo.
Nchi za ulaya ziliungana ziwe na mfumo mmoja wa kiuchumi Ili kushindana na Marekani.
Leo BRICS wanaungana Kwa lengo hilo hilo. Swali ni je fupa lililowashinda wajuvi wa Ulaya wasauzi wataliweza?
UK ilijitoa sababu EU kuna free mouvement of people,sasa wapoland wengi walihamia UK. Uk haikutaka wahamiaji.Usiifananishe EU na BRICS, EU ni kichaka cha Marekani. Unaweza nipa sababu zenye mashiko Kwann UK alijitoa???
Hiyo BRICKS Payment System inaanza lini? Ili tuanze kuona faida. Mtaalam kutoka South Africa aliulizwa swali hilo, akasema mfumo wa fedha uchukua miaka 20 hadi 30 kukaa sawa, maana yake Pesa ya Bricks itachukua muda huo. Ni vema wakaanza mapema, atujui dunia itakuaje 2040 au 2050.Mkuu kwa hiyo wewe unadhani USA atakuwa kiranja wa Dunia miaka yote,au husomi historia kulikuwa na dola zenye nguvu huko nyuma nazo zilianguka.
Yes,BRICS wataweza sababu kuu ni Moja Nchi za BRICS zinaongoza kwa Rasilimali na soko kubwa LA bidhaa na huduma tofauti na EU ambayo haina rasilimali.
Moja ya malengo makubwa ya BRICS ni kuondoa mfumo kandamizi wa kiuchumi na unyonyaji wa hiyo USA,na moja kati wa washirika wa BRICS-Russia amefanikisha katika uondoaji wa matumizi ya USD katika mfumo wake wa kiuchumi.
Hali iliyopelekea Nchi nyingi kuiga kufanya trade katika currency zao.Najua unafahamu matokeo yake matumizi ya USD duniani yamepungua zaidi ya 10% kuliko hapo awali.
Bado hizo embargo zimepelekea Chumi za USA na Nchi za Ulaya kuyumba mara dufu.
Kama uliuliza kwa lengo LA kujifunza utakuwa umepata hints,kama ulikuwa ni ushabiki njoo na hoja.
Rudi shule ukasome tenaKinacho Fanya US kuwa na uchumi mkubwa ni global $ dominance. Sasa kitendo BRICS kuja na mkakati wa kutotumia $ kutaifanya dola ikose nguvu, linapokuja suala la global dominance reserve curence; jambo litakalopelekea influence ya marekani kupungua duniani kwani, uwezo wake wa kutumia economic power utakuwa umepungua.
Unadhani BRICS kuna mtu wanamtetea au wanatetea Uongozi wa milele kwenye nchi zao?Watu wanakaa wanawaza namna ya kuwapambania watu wao kiuchumi..kupitia huo umoja..wewe unawaza kushindana na Marekani..
Waafrika akili zetu tunazijua wenyewe