Kama ilishindwa EU ndiyo BRICS itaweza kupambana na Marekani?

Kama ilishindwa EU ndiyo BRICS itaweza kupambana na Marekani?

BRICS (+) has a stated aim to amplify the voice of the Global South. All five current members and dozens of other developing countries represented at the summit repeatedly called this week for a fairer world order and the reform of international institutions like the United Nations, the IMF and the World Bank.

European UNION
The aims of the EU within the wider world are: uphold and promote its values and interests. contribute to peace and security and the sustainable development of the Earth. contribute to solidarity and mutual respect among peoples, free and fair trade, eradication of poverty and the protection of human rights.
 
Mkuu kwa hiyo wewe unadhani USA atakuwa kiranja wa Dunia miaka yote,au husomi historia kulikuwa na dola zenye nguvu huko nyuma nazo zilianguka.
Yes,BRICS wataweza sababu kuu ni Moja Nchi za BRICS zinaongoza kwa Rasilimali na soko kubwa LA bidhaa na huduma tofauti na EU ambayo haina rasilimali.

Moja ya malengo makubwa ya BRICS ni kuondoa mfumo kandamizi wa kiuchumi na unyonyaji wa hiyo USA,na moja kati wa washirika wa BRICS-Russia amefanikisha katika uondoaji wa matumizi ya USD katika mfumo wake wa kiuchumi.

Hali iliyopelekea Nchi nyingi kuiga kufanya trade katika currency zao.Najua unafahamu matokeo yake matumizi ya USD duniani yamepungua zaidi ya 10% kuliko hapo awali.
Bado hizo embargo zimepelekea Chumi za USA na Nchi za Ulaya kuyumba mara dufu.

Kama uliuliza kwa lengo LA kujifunza utakuwa umepata hints,kama ulikuwa ni ushabiki njoo na hoja.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏🤝🤝🤝🤝🤝🤝
 
Hivi nani aliekuambia EU ilikuja kupambana na Marekani?au nani kakuambia Brics inakuja kupambana na Marekani.
Unaweza kukuta wewe una Masters kabisa.
Tanzania tuna vijana wa ajabu sana.
Huwa naona huruma sana kuhusu taifa langu watu wameoza akili kabisa hatuna machungu ya sisi kufanikiwa kama mataifa makubwa ila tuna chuki za kijinga sana dhidi ya yale mataifa yanayo inuka
 
Kuna watu ni waja kwenye medani hii ya kimataifa, ngoja tuwakumbushe kidogo.

Nchi za ulaya ziliungana ziwe na mfumo mmoja wa kiuchumi Ili kushindana na Marekani.

Leo BRICS wanaungana Kwa lengo hilo hilo. Swali ni je fupa lililowashinda wajuvi wa Ulaya wasauzi wataliweza?
Hawa Wasouth Umeme Tuu Unawasumbua
 
Kuna watu ni waja kwenye medani hii ya kimataifa, ngoja tuwakumbushe kidogo.

Nchi za ulaya ziliungana ziwe na mfumo mmoja wa kiuchumi Ili kushindana na Marekani.

Leo BRICS wanaungana Kwa lengo hilo hilo. Swali ni je fupa lililowashinda wajuvi wa Ulaya wasauzi wataliweza?
Achana nao mafwala hao. Halafu hiyo BRICS eti ndani ina waarabu, latin America na Africans ndani. Kuna deal hapo kweli?
Africans wanafikiri watapewa misaada nafuu, wakati China keshatenguliwa nyonga😃😃😃😃
 
Kuna watu ni waja kwenye medani hii ya kimataifa, ngoja tuwakumbushe kidogo.

Nchi za ulaya ziliungana ziwe na mfumo mmoja wa kiuchumi Ili kushindana na Marekani.

Leo BRICS wanaungana Kwa lengo hilo hilo. Swali ni je fupa lililowashinda wajuvi wa Ulaya wasauzi wataliweza?
Hao EU wao wenyewe bado kuna baadhi ya maeneo hawakubaliani (rejea Brexit) isitoshe bado mifumo yao ya kifedha ina maingiliano makubwa na mabenki ya kimarekani.

Bricks ni kama vile ipo kuchuana na G7 na kupunguza utegemezi kwa hao mabeberu ila hata wao wanapishana sana mambo mengi isitoshe wao kwa wao ni mahasimu (China na India), ila nadhani watatoa ushindani mzuri kwa G7 (ila sio kuwapiku kabisa kwa sasa) ambao unaweza kutunufaisha sisi wa dunia ya 3 tukichanga karata zetu vizuri.

zitto junior T14 Armata The Boy Wonder FRANC THE GREAT
 
Watu wanakaa wanawaza namna ya kuwapambania watu wao kiuchumi..kupitia huo umoja..wewe unawaza kushindana na Marekani..
Waafrika akili zetu tunazijua wenyewe
Mkuu wala sio waafrika wote wajinga.bali Kuna waafrika wajinga wachache wenye mawazo ya kitumwa.
Hata wakati wa akina Nyerere walikuwepo walioona Nyerere hatafanikiwa kupata uhuru na wengine waliona sio vizuri kudai uhuru.
Hawa vijana wa Sasa ndio masalia
 
Hivi nani aliekuambia EU ilikuja kupambana na Marekani?au nani kakuambia Brics inakuja kupambana na Marekani.
Unaweza kukuta wewe una Masters kabisa.
Tanzania tuna vijana wa ajabu sana.
Kwanza ni kujikana kwa kudhani kwamba eti EU ilianzishwa bila ya kuwa na lengo dhidi ya Dollar ya kimarekani.

Halafu pia unaposema eti BRICS haipo dhidi ya Marekani na washirika wake pia husemi ukweli.

Unapoacha kutafuta maarifa haimaanishi kwamba hayo maarifa hayapo.

Ukisema G7 na kuacha kusema nembo Kuu yao ni Marekani unakuwa unapindisha ukweli. Na pia Nembo ya BRICS ni Urusi na Uchina.

Kama kwenye mikutano yao Wanasema lengo lao ni kuacha kutumia Dollar miongoni mwa nchi wanachama wa BRICS, Sasa wanaacha kutumia Dollar bila ya kuwa na lengo au sababu dhidi ya Marekani?
 
Lazima tukubali kwamba - in future- BRICS itapunguza sana nguvu za uchumi na ushawishi wa Marekani duniani...
Kumbuka ni Economic Alliance ambayo MCHINA yupo ndani yake...
Naona SAUDIA + IRAN + ARGETINA wameingia...
Natabiria huenda nchi za ASIA ya mbali + kati zikafuata baadaye ( Indonesia, Malaysia, N.Korea, Philippines.

tofauti na ilivyo EU pekee , BRICS yaweza kutanuka duniani...
Kama BRICS Itaanzisha sarafu yake, Hata kama hawatamshinda US, ila kiuchumi itapunguza sana utegemezi wa DOLLAR....na kuna nchi zitasimama kiuchumi.
Haimaanishi hizo nchi zitakuwa adui wa US, uchawa uteendelea hasa ktk utegemezi wa kijeshi ,lakini itakuwa ni dunia ya urafiki wa kimaslahi kwani kila nchi inatafuta namna ya ku-survival ..

Na hili litakuwa advantage kubwa kwa CHINA ambayo inaathirika na DOLLAR ktk ushindani wa kibiashara+ uchumi duniani...

Naiona kambi ya RUSSIA, hata kama haitakuwa ya kiitikadi kama ile ya enzi za USSR. ..ambaye atategemewa sana na BRICS ktk masuala ya ki-mgogoro kama itatokea baina ya mwanachama wa BRICS vs kambi ya magharibi..
 
Back
Top Bottom