Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

Kama Israel imeweza kushawishi mataifa makubwa Duniani kuwa upande wao naona wana akili kubwa sana

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Wakuu naona watu wengi wanalalamika Israel kusaidiwa na mataifa makubwa hivyo kwa upande wangu naona tofauti

Kwanza ndege wanaofana wanaruka pamoja

Kama tunavyoona nchi zenye race Fulani zinaweza kusaidiana

Au nchi zenye mrengo wa dini Fulani zikisaidiana

Pia matajiri kwa matajiri husaidiana na maskini kwa maskini mara nyingi husaidiana hivyo ni kwanini ya kiasili kabisa

Sasa swali nalojiuliza ni kitu gani common kinachofanya mataifa makubwa kusaidia Israel , hata wakati mwingine nchi zinaingia hasara kubwa ya Kodi ya wananchi wao bila kujali pia kujiweka kwenye hatari ya kivita

Pia Sina uhakika Kama Israel wako NATO ambayo ingewapa sababu ya moja kwa moja kusaidiwa

Kwa hivyo nimegundua Hili taifa Lina akili kubwa Sana kuingiza mataifa makubwa vitani kukaa upande wao
Lakini pia Kuna uwezekano mkubwa Hawa watu wamekamata maeneo nyeti kabisa ya hayo mataifa
Haiwezekani utetekeze Kodi za wananchi wako na kuweka usalama wao hatarini kwenye vita ambayo haikuhusu

MWISHO naanza kuamini Hawa mijamaa lazima Yule Mungu wao wa Israel tuliyesoma habari zake aliyewasaidia kwa miaka maelfu iliyopita

Yuko upande wao

Maana aliwahidi mataifa watamtumikia Israel kwa hiyo amewapa akili ya kukaa na mataifa makubwa
Ni maoni yangu karibu ya kwako
 
Huelewi Israel ni wakina nani na wazee wao orgin ni wapi
Screenshot_20240416-213922_X.jpg
 
Kwanza ni upuuzi kufikiria wazungu na waisrael wana akili sana mfano.

Sudani, DRC, na kwingineko kuna vurugu wao kimya. Utasikia wanalaani haki za ninadamu na kudai mashoga watetewe.

Ukija Ukraine watu wanauwawa na majeshi ya Urusi badala ya kutafuta amani wanapeleka silaha na mbaya zaidi wa Ukraine ndio wanakufa zaidi. Hapo akili ipo wapi?

Israel imeua wapalestina kwa kupiga shule, hospital, kamni za wakimbizi hao wamekaa kimya hakuna haki za binadamu hata walipotakA kujadili kwenye baraza la usalama waliweka veto. Je wazungu gani wenye akili hao. Waisrael gani wenye akili ya kuuwa wanawake na watoto wasio na hatia?

Kinacjplindwa mydia ni maslahi yao tu. Wanataka mafuta Syria na Iraq. Wanataka mafuta Saudia, oman na Kiwait. Hivyo kwa kuilinda Israel atawafaa pale wanaPohitaji kufanya shambulio.

Hivyo hakuna haki za binadamu, hakuna kulinda Humanity wala akili kubwa zaidi ni ubinafsi na chuki kwa walionacho.
 
mnahamisha magoli kila mda
Hamna Goli linahamishwa mkuu
Ningekuwa mshauri wa Iran ningewasihi sana wasishambulie Israel kwa usalama wa utawala Ayatollah
Lakini wameshajiingiza kwenye mtego wenyewe wasubiri tu kisasi Cha Israel
 
Hivi hujui Iran ndo kubwa la magaidi duniani? Jordan hawataki ugaidi,Saudia ndo kabsa walimfukuza na Osama,Misri kwa Alisis ndo hao waliwatimua madarakani musilim brother hood. Iran anapata support kwenye vile vikundi vyake vya kigaidi tu kama Hezbollah na Houthi na hamas
 
Watu weusi tangu kale tumeamudu miungu sio Mungu
Na tunaona tangu Misri ya kale miungu ya waafrika ambayo ni uchawi ikishindana na Mungu ambaye aliamua kuwatetea wa Israel
Na ligi yake haikuwa ya kawaida
MWISHO wa siku Mungu akashinda miungu ya waafrika
Hivyo akajita kuwa Mungu wa Israel

So ni uamuzi wako kuendelea kuabudu miungu ya waafrika au Mungu wa Israel
Nyie watu weusi hamna Mungu ?
 
Simu uliyotumiwa kujibu hii mada unajua ni tech ya nani
Au unadhani ni uchawi wa kizungu
 
Watu weusi tangu kale tumeamudu miungu sio Mungu
Na tunaona tangu Misri ya kale miungu ya waafrika ambayo ni uchawi ikishindana na Mungu ambaye aliamua kuwatetea wa Israel
Na ligi yake haikuwa ya kawaida
MWISHO wa siku Mungu akashinda miungu ya waafrika
Hivyo akajita kuwa Mungu wa Israel

So ni uamuzi wako kuendelea kuabudu miungu ya waafrika au Mungu wa Israel
Wewe unamuabudu Mungu wa Israel ?
 
Kwanza ni upuuzi kufikiria wazungu na waisrael wana akili sana mfano.

Sudani, DRC, na kwingineko kuna vurugu wao kimya. Utasikia wanalaani haki za ninadamu na kudai mashoga watetewe.

Ukija Ukraine watu wanauwawa na majeshi ya Urusi badala ya kutafuta amani wanapeleka silaha na mbaya zaidi wa Ukraine ndio wanakufa zaidi. Hapo akili ipo wapi?

Israel imeua wapalestina kwa kupiga shule, hospital, kamni za wakimbizi hao wamekaa kimya hakuna haki za binadamu hata walipotakA kujadili kwenye baraza la usalama waliweka veto. Je wazungu gani wenye akili hao. Waisrael gani wenye akili ya kuuwa wanawake na watoto wasio na hatia?

Kinacjplindwa mydia ni maslahi yao tu. Wanataka mafuta Syria na Iraq. Wanataka mafuta Saudia, oman na Kiwait. Hivyo kwa kuilinda Israel atawafaa pale wanaPohitaji kufanya shambulio.

Hivyo hakuna haki za binadamu, hakuna kulinda Humanity wala akili kubwa zaidi ni ubinafsi na chuki kwa walionacho.
Simu inayotumia hapo ni akili ya nani ?
 
Wewe unamuabudu Mungu wa Israel ?
Kabisa
Mungu wa Ibrahimu Isaka na Israel
Ambaye ndiye aliishinda miungu ya Misri (uchawi) mpaka Leo ana uwezo juu yake
Kwanini niabudu niabudu miungu iliyoshindwa
 
Kabisa
Mungu wa Ibrahimu Isaka na Israel
Ambaye ndiye aliishinda miungu ya Misri (uchawi) mpaka Leo ana uwezo juu yake
Kwanini niabudu niabudu miungu iliyoshindwa
Wewe unategemea utakuwa sawa na muisrael mbele ya Mungu wao Waisrael ?
 
Hamna Goli linahamishwa mkuu
Ningekuwa mshauri wa Iran ningewasihi sana wasishambulie Israel kwa usalama wa utawala Ayatollah
Lakini wameshajiingiza kwenye mtego wenyewe wasubiri tu kisasi Cha Israel
Wewe unaweweseka na utawala wa Ayatollah kuliko Wairan wenyewe una matatizo gani ?
 
Wayahudi ndio wanaotawala Dunia.Wayahudi hawapo Israel pekee wapo Urusi,Iran,Usa,Ulaya yote wakimiliki mifumo yote ya kiuchumi.
Ukitaka kuuelewa ukuu wa wayahudi na kivipi wanatawala Dunia.Sekta zote Dunia sio sinema Muzik Hollywood ni wao,ukitaka kuwajua zaidi soma kuhusu top 13 illuminated bloodline family,hizi ni familia 13 ndizo zinaimiliki hii dunia wote Hawa wanavinasaba vya uyahudi na ndio umiliki uchumi wa Dunia.
 
Back
Top Bottom