Kwanza ni upuuzi kufikiria wazungu na waisrael wana akili sana mfano.
Sudani, DRC, na kwingineko kuna vurugu wao kimya. Utasikia wanalaani haki za ninadamu na kudai mashoga watetewe.
Ukija Ukraine watu wanauwawa na majeshi ya Urusi badala ya kutafuta amani wanapeleka silaha na mbaya zaidi wa Ukraine ndio wanakufa zaidi. Hapo akili ipo wapi?
Israel imeua wapalestina kwa kupiga shule, hospital, kamni za wakimbizi hao wamekaa kimya hakuna haki za binadamu hata walipotakA kujadili kwenye baraza la usalama waliweka veto. Je wazungu gani wenye akili hao. Waisrael gani wenye akili ya kuuwa wanawake na watoto wasio na hatia?
Kinacjplindwa mydia ni maslahi yao tu. Wanataka mafuta Syria na Iraq. Wanataka mafuta Saudia, oman na Kiwait. Hivyo kwa kuilinda Israel atawafaa pale wanaPohitaji kufanya shambulio.
Hivyo hakuna haki za binadamu, hakuna kulinda Humanity wala akili kubwa zaidi ni ubinafsi na chuki kwa walionacho.