African Geek
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 817
- 1,470
We kweli ni kichwa maji. Ushaambiwa Israel analindwa hapo sababu Mmarekani na mataifa ya Ulaya wapate urahisi wa kuitawala Middle Eastern. Hivo wameiweka Israel hapo kama Agent wao. Utasemaje hana thamani kwa Wamarekani?Unamlindaje kitu ambacho Hakina thamani kwako
Swala la miungu na mungu ni kitu ambacho africa tunaitaji kukielewa zaidi kuliko kukaa na kuabudu kitu ambacho hakipo.Watu weusi tangu kale tumeamudu miungu sio Mungu
Na tunaona tangu Misri ya kale miungu ya waafrika ambayo ni uchawi ikishindana na Mungu ambaye aliamua kuwatetea wa Israel...
Humu huu uzi kuna watu wameropoka!!Wakuu naona watu wengi wanalalamika Israel kusaidiwa na mataifa makubwa hivyo kwa upande wangu naona tofauti
Kwanza ndege wanaofana wanaruka pamoja
Kama tunavyoona nchi zenye race Fulani zinaweza kusaidiana
Au nchi zenye mrengo wa dini Fulani zikisaidiana
Pia matajiri kwa matajiri husaidiana na maskini kwa maskini mara nyingi husaidiana hivyo ni kwanini ya kiasili kabisa
Sasa swali nalojiuliza ni kitu gani common kinachofanya mataifa makubwa kusaidia Israel , hata wakati mwingine nchi zinaingia hasara kubwa ya Kodi ya wananchi wao bila kujali pia kujiweka kwenye hatari ya kivita
Pia Sina uhakika Kama Israel wako NATO ambayo ingewapa sababu ya moja kwa moja kusaidiwa
Kwa hivyo nimegundua Hili taifa Lina akili kubwa Sana kuingiza mataifa makubwa vitani kukaa upande wao
Lakini pia Kuna uwezekano mkubwa Hawa watu wamekamata maeneo nyeti kabisa ya hayo mataifa
Haiwezekani utetekeze Kodi za wananchi wako na kuweka usalama wao hatarini kwenye vita ambayo haikuhusu
MWISHO naanza kuamini Hawa mijamaa lazima Yule Mungu wao wa Israel tuliyesoma habari zake aliyewasaidia kwa miaka maelfu iliyopita
Yuko upande wao
Maana aliwahidi mataifa watamtumikia Israel kwa hiyo amewapa akili ya kukaa na mataifa makubwa
Ni maoni yangu karibu ya kwako
Aiseee hizi conspiracy zinawapotosha sana.Wayahudi ndio wanaotawala Dunia.Wayahudi hawapo Israel pekee wapo Urusi,Iran,Usa,Ulaya yote wakimiliki mifumo yote ya kiuchumi.
Ukitaka kuuelewa ukuu wa wayahudi na kivipi wanatawala Dunia.Sekta zote Dunia sio sinema Muzik Hollywood ni wao,ukitaka kuwajua zaidi soma kuhusu top 13 illuminated bloodline family,hizi ni familia 13 ndizo zinaimiliki hii dunia wote Hawa wanavinasaba vya uyahudi na ndio umiliki uchumi wa Dunia.
Kubwa la magaidi duniani ni USA kawafundisha ugaidi kina Osama kaunda makundi mengi yakigaidi mfano ISIS lengo lao ni kumpindua Bashar Al Assad NK.Hivi hujui Iran ndo kubwa la magaidi duniani? Jordan hawataki ugaidi,Saudia ndo kabsa walimfukuza na Osama,Misri kwa Alisis ndo hao waliwatimua madarakani musilim brother hood. Iran anapata support kwenye vile vikundi vyake vya kigaidi tu kama Hezbollah na Houthi na hamas
Unajua maana ya bloodlineAiseee hizi conspiracy zinawapotosha sana.
China ndio global economic influence kwa sasa kwa mujibu wa WB na IMF,je China nako kuna wayahudi!??
Uzi umejaa story za vijiweni kibao.
Unauliza maswali uchwara mkuu,Unajua maana ya bloodline
Kwa mtu mwenye akili na anyeipenda familia yake, kamwe hawezi kwenda kuzima moto nyumba ya tano toka kwake wakati kwa jirani yake kuna siafu.Kwanza ni upuuzi kufikiria wazungu na waisrael wana akili sana mfano.
Sudani, DRC, na kwingineko kuna vurugu wao kimya. Utasikia wanalaani haki za ninadamu na kudai mashoga watetewe.
Ukija Ukraine watu wanauwawa na majeshi ya Urusi badala ya kutafuta amani wanapeleka silaha na mbaya zaidi wa Ukraine ndio wanakufa zaidi. Hapo akili ipo wapi?
Israel imeua wapalestina kwa kupiga shule, hospital, kamni za wakimbizi hao wamekaa kimya hakuna haki za binadamu hata walipotakA kujadili kwenye baraza la usalama waliweka veto. Je wazungu gani wenye akili hao. Waisrael gani wenye akili ya kuuwa wanawake na watoto wasio na hatia?
Kinacjplindwa mydia ni maslahi yao tu. Wanataka mafuta Syria na Iraq. Wanataka mafuta Saudia, oman na Kiwait. Hivyo kwa kuilinda Israel atawafaa pale wanaPohitaji kufanya shambulio.
Hivyo hakuna haki za binadamu, hakuna kulinda Humanity wala akili kubwa zaidi ni ubinafsi na chuki kwa walionacho.