Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi...

Huyu ataniua kwa kukosa pesa au kwa kuwa na pesa nyingi...siwezi kuwa salama!
ha haha nimekudaka mahali muone kwanza .. ile hela basi hukutuma siku ukiingia mikononi mwangu yani utajuta
 
ha haha nimekudaka mahali muone kwanza .. ile hela basi hukutuma siku ukiingia mikononi mwangu yani utajuta
Nitatumaje bila namba ya simu. Nipe namba ya simu!
 
Naomba umeamua kufunguka sasa, umefanya vizuri
 
Asante mnoo mkuu RRONNDO kwa kuliona hilo, hakika sio mie ni Mungu tu ndo naweza kusema hivyo!!!

Barikiwa mnoo, na Mungu azidi kukutunza naamini kijiji unamoishi yupo wa ndoto zako sema wakati bado haujafika!!!!
 
Asante mnoo mkuu RRONNDO kwa kuliona hilo, hakika sio mie ni Mungu tu ndo naweza kusema hivyo!!!

Barikiwa mnoo, na Mungu azidi kukutunza naamini kijiji unamoishi yupo wa ndoto zako sema wakati bado haujafika!!!!
Amina.
 
Usichuuzike na picha, maneno, hekima za sauti, busara za sauti utaumia, hivi sio vipimo halisi vya wife material.
Mwanamke ni yuleyule Jana Leo na kesho toka maandiko na mpaka mwisho, wakiandikacho wakinenacho sicho kilichoujaza mioyo yao.
 
Asante mnoo mkuu RRONNDO kwa kuliona hilo, hakika sio mie ni Mungu tu ndo naweza kusema hivyo!!!

Barikiwa mnoo, na Mungu azidi kukutunza naamini kijiji unamoishi yupo wa ndoto zako sema wakati bado haujafika!!!!
Wa ndoto zake si ndo wewe sasa ameshakutaja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…