Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi...

Usichuuzike na picha, maneno, hekima za sauti, busara za sauti utaumia, hivi sio vipimo halisi vya wife material.
Mwanamke ni yuleyule Jana Leo na kesho toka maandiko na mpaka mwisho, wakiandikacho wakinenacho sicho kilichoujaza mioyo yao.
Sawa.
 
D emmyta jamani njoo huku, unaitwa

Mwenye sifa zke mpe
 
Aisee, [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha
Punguza uchochezi mkuu!!!
Teh teh..Sio Uchochezi mkuu..Huyu kijana mpaka kuongea hivi kuna kitu kaona..Kama jimbo liko wazi basi muingize kwenye kinyang'anyiro
 
Shwari kabisa mazee!
Umekuwa adimu sana, umepata chimbo lenye mambo yetu mazuri nini ???
Tuambiane bwana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Teh teh..Chimbo ni hapa hapa brother..Kuna vitu vizuri..Just keep your head up
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…