Kama JF ingekuwa ni kijiji ninachoishi sasa hivi...

Yaan RRONDO wala hujakosea hao watu ni wife material kweli ebu piga ana ana do kwa ndugu zangu hawa wawili sakayo na emmyta ikiangukia kwa mmojawapo muwowe wapo single hao [emoji12] ila kwa mama heaven sent hapo pagumu ujue
 
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] hongereni jamaan halaf sakayo avatar umeshabadili tena hivi unataka kuvumbua niniiiii
Asante mnoo mkuu RRONNDO kwa kuliona hilo, hakika sio mie ni Mungu tu ndo naweza kusema hivyo!!!

Barikiwa mnoo, na Mungu azidi kukutunza naamini kijiji unamoishi yupo wa ndoto zako sema wakati bado haujafika!!!!
 
Shikamooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…