Kama JWTZ halitowaomba Radhi Raia wasio na Hatia WALIOTESWA KINYAMA na MP wa Lugalo Juzi, nawashauri walishtaki Jeshi

Unaweza kunitajia kifungu Cha kwenye Code of Service Discipline,na kwenye The National defense Act, kinachosema askari anaruhusiwa kupiga raia/Kuvamia mitaani na kupiga watu?
Kama kipo kiweke hapa tukijadili.
Swali Hilo hapo limekushinda,
 
Mada chonganishi na huenda unatumiwa au bila kujijua
 
Kama hili swala halitazungumziwa Bungeni ili kutafuta suluhu ya kudumu huko mbele itakuwa ni hatari zaidi kwa raia!
Kwa mfano swala kama hili nadhani jeshi lingefanya upepelezi kwanza bila kutumia nguvu ili kuwabaini watu hao, then ndiyo liendeshe operation ya kuwakamata! Lakini siyo kuvamia makazi ya watu na then kupiga raia hovyo hovyo bila kujali waliomo na wasiokuwemo! Kwa kweli linaogopesha raia.
 
Tunamajeshi ya hovyo sana kwenye hii nchi yani nchi zilizoendelea wanatushangaa sana sasa unaenda kupiga wazee majumbani kisa mwenzao kauwawa hao wazee kosa lao ni nini, istoshe huyo mjeda mwenyewe aliechomwa visu hakua amevaa sare kato alijua nikibaka tu unaendaje kupiga mtu makofi hovyo hata kama ni mm lazima nijihami bora alivyokufa tu iwe fundisho wasipende kujichukulia sheria mkononi.
 
K

Kwa hiyo wapige raia halafu lisijirudie? Kwa I marehemu angeelewana tu na jamaa yangetokea haya? Ujeshi wenu huko huko kambini mkija uraiani nyie ni raia lazima mfuate sheria,taratibu na kanuni za mahala husika.
Ukiwaona huko mtaani JWTZ wakumbushe tu ubabe wenu hukohuko sio hapa mtaani kwetu, watakushukuru sana kwa kuwakumbusha.
 
Kwa mujibu wa Aristotle jeshi inabidi iwe kazi ya watu wenye akili ndogo na utashi mkubwa. Wewe ni dhihirisho la hiyo theory.
 
Jwtz mnatesa wana Kawe kwa mateso ya Kinyama huku mkijisahau kwamba mmepanga mitaani kwao..ngoja muwekewe sumu kwenye chips na supu za utumbo mnazokunywa mitaani nyie si mnalewa na sisi
 
mnapiga raia wasio na mafunzo yoyote ndio ndio maana mkikutana na M23 kule DRC mnakula kichapo hadi mnavua gwanda na kukimbia uchi wa mnyama
 
Jeshi safiiiiiii sn hivi mnamua mtu nyinyi mnaona amchukui hatua. Jeshi msafishe wahuni wote wadakwe
 
Af nikishakukanda ukaite wenzako? Kwani wanaoanzishaga ugonvi si wanakuaga ivo ivo?

We mp mzima unampiga bibi et kutia adabu, we ni kenge tu, huwezi unesha ubabe kwa bibi au wadada bar wasio na hatia
Unafikiri yana akili ya kuja yenyewe kama yenyewe haya makima ?,utakuta limeandaa kambi nzima eti linaingia kitaa kupambana na raia mmoja
Ndina sana hawa wavaa batiki
 
Chief ebu nenda kawe kawatetee mbona ni jambo rahisi sana!
Pale ukwamani kuna kituo kikubwa cha polisi pia kuna ofisi ya mtendaji wote wapo kimya.
Usalama wamesha tuliza eneo lote la kawe hakuna ujinga wowote unaoendelea huko kila kitu kikoo fresh mishe kama kawa wakulungwa!!
 
Kuvamia kambi na mikono mitupu bro hilo haliwezekani,hakuna raia wajinga kama wwe!!
 
Picha unazoziona hapona bus kampuni ya HAPPY NATION (TAIFA LENYE FURAHA)
T 508 EBS
Kampuni hili ni waswahili na walaghai
Kwanini Mnamo tarehe 30.10.2023 nimekata tiketi ya kutoka MOROGORO kwenda MUSOMA na wakakiri ya kwamba ndio mwisho wa Bus lao cha Ajabu nafika MWANZA mjini wanapaki bus lao NATA na kunijibu ya kwamba hawaendi tena MUSOMA
UJUMBE wangu kwa wasafiri wenzangu
Usiwape pesa ya MUSOMA kampuni hili kwani hawa nao ni wezi kama wezi wengine tu tunaowajua
KONDAKTA amekana hata kunirudishia pesa yangu
Kwani nilimwambia nipe nauli yangu ili niendelee na safari
KANIJIBU KWA MAJIVUNO
sikupi chochote wewe potea hapa
Kwani ulilazimishwa kupanda bus hili

NINA mengi juu ya wizi wa kampuni hili juu ya kuwaharibia watu bajeti zao

SASA ni makampuni mawili wezi hasaaa
1.HAPPY NATION
2.SUPER NAJIMUNISA
ila Happy Nation ni mpaka na bus namba hiyo hapo .View attachment 2798432View attachment 2798433
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…