Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

CHADEMA acheni ujinga. Kanisa katoliki sio PLATFORM ya kufanyia propaganda za kijinga. Acheni kuleta siasa za maji taka kwenye kanisa ambalo ni taasisi yenye mifumo yake. Halitakuwa kanisa kama vikundi vya kisiasa na vya itikadi mbalimbali vitajikusanya kuja na mabango yao, uniform zao na kuzuga wanakuja kusali wakati wana mambo yao. Tafsiri ya fadher kitima ilikuwa ya ki harakati zaidi na hakutafakari kuhusu heshima ya kanisa na madhara ya kuruhusu vikundi vya kisiasa kuja kufanya propaganda zao.

Huo ujinga walioufanya Mwanza kanisa lisimame na likemee usijirudie na kama kuna miongoni mwa waliotengeneza huo ujinga ni miongoni mwa waamini washughulikiwe kwa mujibu wa sheria na taratibu za kanisa
 
CHADEMA acheni ujinga. Kanisa katoliki sio PLATFORM ya kufanyia propaganda za kijinga. Acheni kuleta siasa za maji taka kwenye kanisa ambalo ni taasisi yenye mifumo yake. Halitakuwa kanisa kama vikundi vya kisiasa na vya itikadi mbalimbali vitajikusanya kuja na mabango yao, uniform zao na kuzuga wanakuja kusali wakati wana mambo yao. Tafsiri ya fadher kitima ilikuwa ya ki harakati zaidi na hakutafakari kuhusu heshima ya kanisa na madhara ya kuruhusu vikundi vya kisiasa kuja kufanya propaganda zao.

Huo ujinga walioufanya Mwanza kanisa lisimame na likemee usijirudie na kama kuna miongoni mwa waliotengeneza huo ujinga ni miongoni mwa waamini washughulikiwe kwa mujibu wa sheria na taratibu za kanisa
Sikh hizi sibishani na wapuuzi
 
Nimestaafu kubishana na Vichaa
Waache wadhibitiwe. Miaka ya 1994 ndio za aina CUF walikuwa wanafanya. Za kukimbilia nyumba za ibada baada ya kufanya vurugu.

Wakadhibitiwa hadi kwenye nyumba za ibada.

Juzi hapa kuna waumini walikamatwa msikitini huko kilwa wakati wa mauaji ya kibiti..

Nimekuuliza hilo swali makusudi.
 
Waache wadhibitiwe. Miaka ya 1994 ndio za aina CUF walikuwa wanafanya. Za kukimbilia nyumba za ibada baada ya kufanya vurugu.

Wakadhibitiwa hadi kwenye nyumba za ibada.

Juzi hapa kuna waumini walikamatwa msikitini huko kilwa wakati wa mauaji ya kibiti..

Nimekuuliza hilo swali makusudi.
 
Waache wadhibitiwe. Miaka ya 1994 ndio za aina CUF walikuwa wanafanya. Za kukimbilia nyumba za ibada baada ya kufanya vurugu.

Wakadhibitiwa hadi kwenye nyumba za ibada.

Juzi hapa kuna waumini walikamatwa msikitini huko kilwa wakati wa mauaji ya kibiti..

Nimekuuliza hilo swali makusudi.
Wamevunja sheria gani? Mnasema Mbowe ni Ugaidi, sasa shida iko wapi kama wanaenda kumuombea Gaidi aachane na ugaidi wake?
 
Back
Top Bottom