Wizi mtupu hakuna muislam pale!!
We umeona hijabu unasema waislam
huyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu
Kwamba hao watu amewalazimisha kwenda kwenye ibada au? Masuala ya imani ni binafsi.huyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu
Ungesema umejisalimisha kwa Mungu au kwa Yesu ningekuona wa maana.Mbona mimi nilikuwa swala tano lkn nimejisalimisha kwa Mwamposa.Nimeacha kuvaa makobasi,barakashia,Kanzu & swala tano.
Na umeacha kunywa alkasusiMbona mimi nilikuwa swala tano lkn nimejisalimisha kwa Mwamposa.Nimeacha kuvaa makobasi,barakashia,Kanzu & swala tano.
Utajisalimashe kwa binadamu mwenzako na kujaalia mtu wa Kati baina ya wewe na Mwenyezi Mungu? Mtu anakufa na kufanya makosa Mwenyezi Mungu hafi wala hakosei!Mbona mimi nilikuwa swala tano lkn nimejisalimisha kwa Mwamposa.
Niwalete wapi sasa jaman! Kha.. sema nini wale sio waislamu wa kweli wanaoufaham Uislamu vyema..DJ walete wamama wa kiislam