Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Mbona mimi nilikuwa swala tano lkn nimejisalimisha kwa Mwamposa.Nimeacha kuvaa makobasi,barakashia,Kanzu & swala tano.
Swala 5 sio uislam helewa hapo!! Unaweza kuwa swala 5 lakin uwezi kuwa Muislam tofautisha vitu
 
Yeye anayatoa kabisa yale madude yafugwao na yanaondoka kabisa mtu anapona matatizo lililomletea

Wao wanalipooza kwa ubani na kuaoma yale maandishi ya ant clockwise na yanaanza kudeka mara yanataka kuku nk

Wanaweza kulibakisha wanakuambia eti ni la kukulinda, linaanza kukupangia nini cha kufanya, ukienda kinyume linacharuka au unakuta mtu ana beua kama kuna gesi inambana ni mateso matupu. Acha mwamposa ayashughulikie kwa njia anazozijua yeye potelea mbali watanzania wawe huru na mateso ya hiyo mifugo kutoka mafuta yanakochimbwa
 
😂😂😂🤣🤣😂 Kwa sababu Kila unaemuona anaenda Kwa mwamposa. Anaitwa SULEIMAN,JUMA, AISHA,HADIJA basi akili Yako yote inakutuma kama hao ni Muslims
Usibishe jambo hili kama ni mtu unaekaa mitaa ya kishua huwezi sikia habari hizi wala kuona waumini wa dini ya kiislam tunawaona wanavyopanda vyombo vya usafiri kwenda huko mwamposa
 
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Hilo tapeli wanaomfuata ni watu wasiojielewa tu, sasaivi ana boti kumi za uvuvi kule pwani ya kunduchi na ununio nasikia
 
Labda kama ujawai Amini kwamba binadamu analaani na inatokea basi uwezi Amini pia anakubariki na inakua ivyo.

N.b Sio binadamu wote.
So ndo kinachoendelea hapo kwa mwamposa?

Kwamba mnaenda mkiamini yeye anaweza kuwalaani na kuwabariki na siyo Mungu?siku akifa itakuwaje!nani atakaewapa baraka hali ya kuwa kwenu siyo Mungu anaetoa baraka bali mwamposa ndiye mwenye jukumu hilo?

HIVYO VICHWA VYENU MNAVITUMIA SAWASAWA KWELI???
 
Naweza kuwa sielewi au siamini huduma yake lakini katika hili sioni kosa lake. Ni haki ya kila mtu kuchagua wapi pa kuabudu.

Hakuna mtu wala dini yenye mamlaka ya kumpangia raia yeyote dhehebu la kufanya ibada.
We huwajui Waislamu, kwenye Uislamu hakuna huo uhuru unaousema

kama ni kweli anavyoeleza mtoa mada, hili litaleta bifu kubwa sana siku sio nyingi
 
Shida ipo wapi?! Watu si wanakwenda kutafuta uponyaji wa kiroho. Mbona unaleta mashindano ya udini hapa?
Wewe wasema. Mm sijashindanisha dini hapa. Nimeelezea matazamio ya hatima ya waislam wa Dar kufuatia nyomi la waislam linalopigwa msalaba kila siku na Mwamposa
 
Hao sio waislam kuna mama na mjua huwa anaenda huko pia anavaa hijab lkn ni mkristo
 
Muislamu atafanya dhambi lakini mara nyingi ni ngumu kubadili upande labda huyo awe ni Muislamu jahil wa levo ya chini kabisa.

Kama kuna muislamu anaweza kulowea kwa waganga ili mambo yaende seuze kwenda kukanyaga mafuta kwa mwamposa ili aepuke shida!!

Isitoshe mwamposa nasikia hakubadili dini wala dhehebu, pale ni huduma tu ndio maana anajipatia watu wengi
 
Nasonga kwa stimu na ndoto kede!! Waambie D. .Uhaaa Elimu Dot com mnaionaje?
 
Back
Top Bottom