Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We huwajui Waislamu, kwenye Uislamu hakuna huo uhuru unaousema
kama ni kweli anavyoeleza mtoa mada, hili litaleta bifu kubwa sana siku sio nyingi
NI chuki Tu iliyokujaa ugua upone.. kitu nilichojifunza ukristo tunaonadiwa Kwa Sura ya nje NI tofauti kabisa na ukristo uliopo ndani ya wakristo sio wote Bali walio wengi,,Namaanisha wengi wenu ni wanafiki vifuani kwenu mnaungulika Kwa chuki dhidi ya uislam na mara nyingi bila elimu yoyote kuhusu uislam lkn Kwa nje mnajifanya kutuhubiria upendo,,. Sikwambii uache chuki endelea nayo Kwa vile chuki humla mwenye kuibeba,,.Mtume Mohamedi hadi analiwa na nguruwe hakuwa amefanya muujiza wowote ...hata tu kubeti tu na kupatia, hakuna!!!
Hilo tapeli wanaomfuata ni watu wasiojielewa tu, sasaivi ana boti kumi za uvuvi kule pwani ya kunduchi na ununio nasik
Mimi comment yangu haijahusha kusilimu kwa kubadili dini kutoka Uislamu kwenda ukiristo bali nimepinga 'idolization' mtu kumfanya Mwamposa kama Mungu maana mtu ujisalimishe kwake je sasa itakuaje ?Sasa unataka kumpangia maisha mbona kuna wakristo Wana slim kuwa waislamu unashangaa nin waislamu kubadilisha kuwa wakristo haya mambo ya Kuama upande yapo na yataendelea kuwepo
Kwa hiyo jua linawawakia wanovaa hijabu peke Yao wanaovaa vimini au nguo za kubana au ukitembea uchi jua linapunguza ukali?Wamechoka kuwakiwa na jua Kali mahijabu hayaishi
Vichwa panzi wengi sana Jf siku hiziKama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Kwahiyo Mo alikuwa nani ?Utajisalimashe kwa binadamu mwenzako na kujaalia mtu wa Kati baina ya wewe na Mwenyezi Mungu? Mtu anakufa na kufanya makosa Mwenyezi Mungu hafi wala hakosei!
Mtu asipojua kuisoma hii surah anakuwa sio muislamu ?hao sio waislam hao..ni maigizo kama kufufua maiti na vilema kutembe...mchukue mmoja muulize au mwambie asome sur tul fath akisoma nakupa 1000k hapa hapa
Moto wa roho mtakatifu huo.Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Sasaje😂😂😂🤣🤣😂 Kwa sababu Kila unaemuona anaenda Kwa mwamposa. Anaitwa SULEIMAN,JUMA, AISHA,HADIJA basi akili Yako yote inakutuma kama hao ni Muslims
Mo namjua Dewji na sijawahi kusikia taarifa zake hizo.Kwahiyo Mo alikuwa nani ?
Mbona watu wanajisalimisha kwake kwa kushahadia ?
HahahaMo namjua Dewji na sijawahi kusikia taarifa zake hizo.
Wewe kakuokoa??..siku zote huwa nasema walokole ni kati ya viumbe visivyo na akili katika dunia hiiYesu ni mwokozi wa maisha yako,mpokee upate uzima wa milele.
😂 ZILIKUWA NDIO ZAO AWAMU YA PILI NA YA NNEKwamba hao watu amewalazimisha kwenda kwenye ibada au? Masuala ya imani ni binafsi.
Msije kujifanya ni "untouchables" mtapata mnachokitaka, leteni tena fujo za kidini nchini kama awamu fulani fulani muone kama mtavumiliwa!
#Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 #
Kuna waliotaka wajimilikishe haki ya kuchinja. Nchi ngumu hii😂 ZILIKUWA NDIO ZAO AWAMU YA PILI NA YA NNE
ZILIKUWA ZAMA ZA MAPOVU NA MAANDAMANO
ZAMA HIZI NA AJITOKEZE MTAKATIFU FLANI AONE MOTO WAKE
NI ASILI TOKA KWA ISMAEL, UZAO WA CHUKI NA ULIPAJI VISASI NA UKATILI.Kuna waliotaka wajimilikishe haki ya kuchinja. Nchi ngumu hii