Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Halafu,kwa nini aviziwe?Na wao waanzishe huduma za kiaina yao.Naweza kuwa sielewi au siamini huduma yake lakini katika hili sioni kosa lake. Ni haki ya kila mtu kuchagua wapi pa kuabudu.
Hakuna mtu wala dini yenye mamlaka ya kumpangia raia yeyote dhehebu la kufanya ibada.