Mtingozi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 248
- 258
WamchongoKama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WamchongoKama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
SIJAKUELEWA MKUU,"UNAWEZA KUMPELEKA PUNDA MTONI LAKINI USIWEZE KUMLAZIMISHA ANYWE MAJI"HIYARI YASHINDA..............." KAMA WANAPONA BASI HILO SI BAYA.huyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu
Kuwa na nidhamu na Imani za watu unavyuka mipakaMtume Mohamedi hadi analiwa na nguruwe hakuwa amefanya muujiza wowote ...hata tu kubeti tu na kupatia, hakuna!!!
Sio mamluki wa kikristo sema mamluki wa Mwamposa ulishawaona wa Wakatoliki wakifanya huo ujinga?Dada yale ni maigizo hakuna muislamu anayeenda kwa Mwamposa ama kwa mchungaji yeyote.
Nimeshuhudia dada mmoja hivi ni mkristi safi nilisoma naye Tabata siku hiyo kaenda kwa Mwamposa alikuwa na mkutano wa injili maeneo ya Kinyerezi.
Huyu dada alivaa hijab na nikab juu sikumtambua kabisa lakini wakati anapanda gari kurudi nyumbani aliitoa nikabu akabaki na hijab ndo nikamfahamu hivyo tukasalimiana kwakuwa tunafahamiana vizuri kabisa.
Sasa huyo ni mmoja tu ya mamluki wa kikristo wanaotumiwa wajifanye waislam ili kuwavuta waislamu. Hakuna muislamu mwenye akili timamu ataenda kwa Mwamposa nakuhakikishia.
Hata konde boy kahamia dini ya demu wake, wanahama kwa kasi.Sasa unataka kumpangia maisha mbona kuna wakristo Wana slim kuwa waislamu unashangaa nin waislamu kubadilisha kuwa wakristo haya mambo ya Kuama upande yapo na yataendelea kuwepo
Kaaaaaa hii kali sanaNa waumini wa kweli sasa hivi wapo msituni wanapigana jihad. Wewe muumini wa keyboard unawezaje kumuita mwenzio mbwa?
Mwamposa habatizi wala hadeal na dini, kumpokea Yesu ni kwa dini zote.Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Kuna vitu hamvijui ni bora kuuliza ili update elimu.Dada yale ni maigizo hakuna muislamu anayeenda kwa Mwamposa ama kwa mchungaji yeyote.
Nimeshuhudia dada mmoja hivi ni mkristi safi nilisoma naye Tabata siku hiyo kaenda kwa Mwamposa alikuwa na mkutano wa injili maeneo ya Kinyerezi.
Huyu dada alivaa hijab na nikab juu sikumtambua kabisa lakini wakati anapanda gari kurudi nyumbani aliitoa nikabu akabaki na hijab ndo nikamfahamu hivyo tukasalimiana kwakuwa tunafahamiana vizuri kabisa.
Sasa huyo ni mmoja tu ya mamluki wa kikristo wanaotumiwa wajifanye waislam ili kuwavuta waislamu. Hakuna muislamu mwenye akili timamu ataenda kwa Mwamposa nakuhakikishia.
We kweli zuzu nna rafiki anaswali sana tu anafunga kila j3 na alhamis, ijumaa msikitini, jpili na mkesha kwa mwamposa na anamtangaza vibaya mno humwambii kitu kwa maji kashawanywesha na kuwapaka kwao sana tu bila wao kujua na maelekezo yote mpka maombi ya saa 8 kukomboa familia anafanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acheni kupinga bila sababuDada yale ni maigizo hakuna muislamu anayeenda kwa Mwamposa ama kwa mchungaji yeyote.
Nimeshuhudia dada mmoja hivi ni mkristi safi nilisoma naye Tabata siku hiyo kaenda kwa Mwamposa alikuwa na mkutano wa injili maeneo ya Kinyerezi.
Huyu dada alivaa hijab na nikab juu sikumtambua kabisa lakini wakati anapanda gari kurudi nyumbani aliitoa nikabu akabaki na hijab ndo nikamfahamu hivyo tukasalimiana kwakuwa tunafahamiana vizuri kabisa.
Sasa huyo ni mmoja tu ya mamluki wa kikristo wanaotumiwa wajifanye waislam ili kuwavuta waislamu. Hakuna muislamu mwenye akili timamu ataenda kwa Mwamposa nakuhakikishia.
Jidanganye hvyo hvyo wenzio wanawahi na siti za mbele wawe karibu na upako[emoji23][emoji23]Yaani baadhi ya makanisa yameishiwa mbinu siku hizi za kuwadanganya waumini kwa kuwafufua wafu, kuwaombea viwete wa mchongo nakadhalika kwakuwa mbinu hizi zimeshabainika.
Sasa wameamua kuja na mbinu hii feki ya kuigiza eti wamama wa kiislamu wanaenda kuombewa kumbe mbinu imeshashtukiwa mapema.
Aise muislamu kwenye imani yake yu thabiti sana atatenda dhambi zote lakini sio rahisi kwenda kanisani ama kuombewa na wachungaji makanjanja kama Mwamposa.
Wizi mtupu hakuna muislam pale!!
We umeona hijabu unasema waislam
Hivi kuna wabaguzi na waliojaa chuki kama waislam?NI chuki Tu iliyokujaa ugua upone.. kitu nilichojifunza ukristo tunaonadiwa Kwa Sura ya nje NI tofauti kabisa na ukristo uliopo ndani ya wakristo sio wote Bali walio wengi,,Namaanisha wengi wenu ni wanafiki vifuani kwenu mnaungulika Kwa chuki dhidi ya uislam na mara nyingi bila elimu yoyote kuhusu uislam lkn Kwa nje mnajifanya kutuhubiria upendo,,. Sikwambii uache chuki endelea nayo Kwa vile chuki humla mwenye kuibeba,,.
Ni swala la muda tuFaizaFoxy abatizwe,
Ni jambo la kawaida sana ilo kwaiyo ndio mnataka kusemaje uyo rafiki yako ni muislamu siyo muhumini wa dini ya kiislamu..We kweli zuzu nna rafiki anaswali sana tu anafunga kila j3 na alhamis, ijumaa msikitini, jpili na mkesha kwa mwamposa na anamtangaza vibaya mno humwambii kitu kwa maji kashawanywesha na kuwapaka kwao sana tu bila wao kujua na maelekezo yote mpka maombi ya saa 8 kukomboa familia anafanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acheni kupinga bila sababu
huyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu