Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
huyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu
SIJAKUELEWA MKUU,"UNAWEZA KUMPELEKA PUNDA MTONI LAKINI USIWEZE KUMLAZIMISHA ANYWE MAJI"HIYARI YASHINDA..............." KAMA WANAPONA BASI HILO SI BAYA.
 
Dada yale ni maigizo hakuna muislamu anayeenda kwa Mwamposa ama kwa mchungaji yeyote.

Nimeshuhudia dada mmoja hivi ni mkristi safi nilisoma naye Tabata siku hiyo kaenda kwa Mwamposa alikuwa na mkutano wa injili maeneo ya Kinyerezi.

Huyu dada alivaa hijab na nikab juu sikumtambua kabisa lakini wakati anapanda gari kurudi nyumbani aliitoa nikabu akabaki na hijab ndo nikamfahamu hivyo tukasalimiana kwakuwa tunafahamiana vizuri kabisa.

Sasa huyo ni mmoja tu ya mamluki wa kikristo wanaotumiwa wajifanye waislam ili kuwavuta waislamu. Hakuna muislamu mwenye akili timamu ataenda kwa Mwamposa nakuhakikishia.
Sio mamluki wa kikristo sema mamluki wa Mwamposa ulishawaona wa Wakatoliki wakifanya huo ujinga?
 
Sasa unataka kumpangia maisha mbona kuna wakristo Wana slim kuwa waislamu unashangaa nin waislamu kubadilisha kuwa wakristo haya mambo ya Kuama upande yapo na yataendelea kuwepo
Hata konde boy kahamia dini ya demu wake, wanahama kwa kasi.
 
Dada yale ni maigizo hakuna muislamu anayeenda kwa Mwamposa ama kwa mchungaji yeyote.

Nimeshuhudia dada mmoja hivi ni mkristi safi nilisoma naye Tabata siku hiyo kaenda kwa Mwamposa alikuwa na mkutano wa injili maeneo ya Kinyerezi.

Huyu dada alivaa hijab na nikab juu sikumtambua kabisa lakini wakati anapanda gari kurudi nyumbani aliitoa nikabu akabaki na hijab ndo nikamfahamu hivyo tukasalimiana kwakuwa tunafahamiana vizuri kabisa.

Sasa huyo ni mmoja tu ya mamluki wa kikristo wanaotumiwa wajifanye waislam ili kuwavuta waislamu. Hakuna muislamu mwenye akili timamu ataenda kwa Mwamposa nakuhakikishia.
Kuna vitu hamvijui ni bora kuuliza ili update elimu.

Mwamposa habatizi wala hasilimishi, unapokwenda kwake unafuata huduma yake na siyo dini.

Hata wakristo wa madhehebu mengine wakiwemo Wakatoliki wanakwenda kwenye huduma ya Mwamposa na bado wanabaki kwenye madhehebu yao, ila ukinogewa siyo dhambi wala hukatazwi kubaki kwenye huduma yake forever.
 
Dada yale ni maigizo hakuna muislamu anayeenda kwa Mwamposa ama kwa mchungaji yeyote.

Nimeshuhudia dada mmoja hivi ni mkristi safi nilisoma naye Tabata siku hiyo kaenda kwa Mwamposa alikuwa na mkutano wa injili maeneo ya Kinyerezi.

Huyu dada alivaa hijab na nikab juu sikumtambua kabisa lakini wakati anapanda gari kurudi nyumbani aliitoa nikabu akabaki na hijab ndo nikamfahamu hivyo tukasalimiana kwakuwa tunafahamiana vizuri kabisa.

Sasa huyo ni mmoja tu ya mamluki wa kikristo wanaotumiwa wajifanye waislam ili kuwavuta waislamu. Hakuna muislamu mwenye akili timamu ataenda kwa Mwamposa nakuhakikishia.
We kweli zuzu nna rafiki anaswali sana tu anafunga kila j3 na alhamis, ijumaa msikitini, jpili na mkesha kwa mwamposa na anamtangaza vibaya mno humwambii kitu kwa maji kashawanywesha na kuwapaka kwao sana tu bila wao kujua na maelekezo yote mpka maombi ya saa 8 kukomboa familia anafanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acheni kupinga bila sababu
 
Yaani baadhi ya makanisa yameishiwa mbinu siku hizi za kuwadanganya waumini kwa kuwafufua wafu, kuwaombea viwete wa mchongo nakadhalika kwakuwa mbinu hizi zimeshabainika.

Sasa wameamua kuja na mbinu hii feki ya kuigiza eti wamama wa kiislamu wanaenda kuombewa kumbe mbinu imeshashtukiwa mapema.

Aise muislamu kwenye imani yake yu thabiti sana atatenda dhambi zote lakini sio rahisi kwenda kanisani ama kuombewa na wachungaji makanjanja kama Mwamposa.
Jidanganye hvyo hvyo wenzio wanawahi na siti za mbele wawe karibu na upako[emoji23][emoji23]
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Muislamu na muhumini wa dini ya kiislamu ..Waislamu wapo wengi sana tanzania ni watu waliozaliwa na majina ya kiislamu lakini awajui chochote kuhusu dini yao kuanzia nguzo mpaka sheria za kiislamu yani wapo kwenye uislamu kwasabu wamezaliwa wamejikuta ni waislamu ..muhumini wa dini ya kiislamu ni yule anayefuata mafunzo yote( Qurani na sunah) .. Wanaoenda kwa mwamposa ni waislamu na siyo wahumini wa dini ya kiislamu muhumini huwezi mkuta kwa mwamposa kwasabab kitendo cha yeye kukanyaga pale na kuhamini basi moja kwa moja atakuwa amefanya dhambi kubwa sana ya shirki .... Watu wanaona ni mada kubwa kwa icho kinachotokea kwa mwamposa ni vitu vya kawaida mbona wapo waislamu wanaabudu mizimu kila nwaka lazima wakatambike wapo waislamu ni waganga,wachawi etc.. mwenyezi mungu amemuumba binadamu akiwa na free will yani ukitaka kufanya dhambi wewe fanya .. ukitaka kuwa mwema ww.. fanya lakini mwisho wa siku utakuja kuulizwa kwa yale uliyoyatenda moja baada ya moja na wala utomdhuru kitu wala kupunguza uhungu wake mwenyezi mungu kwa yale unayoyatenda
 
NI chuki Tu iliyokujaa ugua upone.. kitu nilichojifunza ukristo tunaonadiwa Kwa Sura ya nje NI tofauti kabisa na ukristo uliopo ndani ya wakristo sio wote Bali walio wengi,,Namaanisha wengi wenu ni wanafiki vifuani kwenu mnaungulika Kwa chuki dhidi ya uislam na mara nyingi bila elimu yoyote kuhusu uislam lkn Kwa nje mnajifanya kutuhubiria upendo,,. Sikwambii uache chuki endelea nayo Kwa vile chuki humla mwenye kuibeba,,.
Hivi kuna wabaguzi na waliojaa chuki kama waislam?

Nyie watu ni tatizo dunia nzima.
 
We kweli zuzu nna rafiki anaswali sana tu anafunga kila j3 na alhamis, ijumaa msikitini, jpili na mkesha kwa mwamposa na anamtangaza vibaya mno humwambii kitu kwa maji kashawanywesha na kuwapaka kwao sana tu bila wao kujua na maelekezo yote mpka maombi ya saa 8 kukomboa familia anafanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acheni kupinga bila sababu
Ni jambo la kawaida sana ilo kwaiyo ndio mnataka kusemaje uyo rafiki yako ni muislamu siyo muhumini wa dini ya kiislamu..
 
huyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu

Kwani hukumsikia yule Sheikh akiwaambia wenzake wajitahidi kuhudumia waumini sababu wengi wao wamekuwa wakikimbilia kwa Bulldozer
 
Back
Top Bottom