Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya kusema kwamba ile ni mbinu mimi naikataa, na kama ni mbinu, basi tukubali wapo wengi tu wanaoenda kiuhalisia bila mbinu, na mimi nimwashuhudia akina dada waisilamu hapa jirani wanaenda na wanafungulia maombi ya saa tatuNi bora kuwa na practical muslim 10 kuliko nominal muslim 1000000000.
Hata hivyo hizo ni mbinu tu kuwaaminisha watu kuwa wale ni waislam ilhali sio.
Waisilam tunakubali uwepo wa manabii na mitume yote ambaye ni mtume wetu Muhammad (saw) na mitume iliyo tangulia kabla yake,lakini hatusemi ya kuwa yesu ni mwana wa mungu,ila tuna amini Issa bin Maryam ni nabii aliye tumwa na mungu kuja kueneza na kuleta kitabu cha Injili.Kwa hiyo kumbe si haramu kwa muisilamu kukiri hadharani kwamba Yesu Kristu, mwana wa Mungu aliye hai, Mungu kweli, ndiye anayeponya? Maana huwa anawauliza, nani amekuponya, nao wanajibu, Yesu!
Kwani wewe unafaida gani kwenye uislamu mkuu?Mbona mimi nilikuwa swala tano lkn nimejisalimisha kwa Mwamposa.
Yupo hoi hapa kitandan anasubiri boti ya saa nane kwenda ungujaWewe peke yako ndio umebaki mbishi,nenda kawe kaone nyomi la wenzio wengine wamevuka maji toka mji mkongwe.
Kwan si mnasemaga binadam wote wanazaliwa waislamu au???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23] Kwa sababu Kila unaemuona anaenda Kwa mwamposa. Anaitwa SULEIMAN,JUMA, AISHA,HADIJA basi akili Yako yote inakutuma kama hao ni Muslims
Ni haramu na ni kufuru ya kiwango kikubwa Mungu aliyeumba mbingu na Ardhi hana mwana wala mshirika na uponyaji unatoka kwake yeye tu na Yesu hakuwa Mungu bali ni Nabii wa Mwenyezi Mungu.Kwa hiyo kumbe si haramu kwa muisilamu kukiri hadharani kwamba Yesu Kristu, mwana wa Mungu aliye hai, Mungu kweli, ndiye anayeponya? Maana huwa anawauliza, nani amekuponya, nao wanajibu, Yesu!
Umeninukuu vibaya. Sina mahusiano na dini yyte duniani. Ila nasema tu KAMA WEWE NI MTU MWEUSI HUWEZI KUWA MTUME.Kwa hiyo mtume mpaka azaliwe uarabuni? Kweli nyie wazee mashetani
Sijui Kwa sababu sihusiki na dini yyte. Ila kama wewe ni muafrica au mtanzania. Aiwezekani ukawa MTUME. Labda Kwa mafala na wale Wangese mnaowalalaKwan si mnasemaga binadam wote wanazaliwa waislamu au???
Zanzibar kipindi cha Ramadhani huruhusiwi kula mchana na hata sehemu zenye Waislamu wengi Dar hiyo marufuku pia ipoMkuu,kama mtu ataleta kiherehere kuingilia haki ya mwingine kuchagua basi huyo atakuwa anavunja sheria, tunategemea atashughulikiwa kama mhalifu mwingine yeyote.
Dini tumeletewa.
Endelea kujidanganyaWizi mtupu hakuna muislam pale!!
We umeona hijabu unasema waislam
majuzi nilikutana na kundi la waislamu wanakwenda kununua maji kwa mwaponsa.Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Tunajuana mkuu maana sisi waislamu tukiona msikiti mahali popote tunaingia na kuswali,hatuangalii jina la mtu aliyeujenga huo msikitiKata unawajua waislamu wote?
Una pepo la umaskini boti Kumi unaziona kuwa utajiri ? maskini mkubwa weweHilo tapeli wanaomfuata ni watu wasiojielewa tu, sasaivi ana boti kumi za uvuvi kule pwani ya kunduchi na ununio nasikia
Muislamu atafanya dhambi lakini mara nyingi ni ngumu kubadili upande labda huyo awe ni Muislamu jahil wa levo ya chini kabisa.
Ni haramu na ni kufuru ya kiwango kikubwa Mungu aliyeumba mbingu na Ardhi hana mwana wala mshirika na uponyaji unatoka kwake yeye tu na Yesu hakuwa Mungu bali ni Nabii wa Mwenyezi Mungu.
Kwa nini unapinga unabii wa Muhammaduislamu haujawahi kupungua wafuasi wanazidi kila siku mpaka qiyamah.