Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Hahahaa viwete na vipofu wa mchongo Hilo Dili lilikufa mda mrefu Sasa Jeni anaitwa mariamu ester anaitwa mwantumu danganya toto hawatakaa wafanikiwe muda sio mrefu watamwaga manyanga chini na kusilimu
 
Yesu ni mwokozi wa maisha yako,mpokee upate uzima wa milele.
Waislamu wanamtambua Jesus original sio huyo aliesulubiwa waislamu hawamtambui kwa maana mtume wa mungu hawezi kuwa laana maana bibilia inasema alifanywa kuwa laana ili kuwakomboa iko hivi anaemfuata alielaaniwa nae? Atakuwa jibu peke Yako huko sipo
 
Anawavuta tu baadae awaue kwa mkanyagano kama alivyowaua wale watafuta miujiza kule Moshi
 
Kristo ameshinda,wananchi wengi wanatsfuta majibu ya matatizo yao,ya kifedha,kiroho,kipato,motivation kidogo,makanisa Mengi,Roman Catholic,Lutheran,TAG,huko waumini hukamuliwa sadaka,Kuna fungu la kumi,mavuno,nyumba ya mchungaji,gari ya mchungaji,jengo,ahadi,tegrmeza ushirika,michango kibao,mwisho wa ibada,unaambiwa nenda kwa amani,!
Amani ipi!na hela huna,padre,mchungaji hakupi hata maneno ya kukupa moyo Ili upambane,lazima utakimbilia kwa "Mwamposa"tu
Katika waumini wenye mioyo ya utoaji ni wa kristo ila upande wapili ni wabahiri kinyama..ndio mana hawana maendeleo zaidi ya kusubiri tende namisaada toka uarabuni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Koran in mtu anaitwa Issa na Alikimbia msalaba , akawekwa Isa bandia badala yake
Pole sana tena narudia pole sana kasome ujue ni Nini kilichoandikwa utajua kuwa yesu unaemfuata ni WA mchongo
 
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Mkuu ulikua na ushahid gani Kama ni waislam tumeshihudia wachungaji wakiwapanga watu Kama dili Mara ngapi kwa hiyo hao we umeowaona wamevaa tu shungi ukaona ni waislam je Kama ndio njia ya kuendelea kupigwa je
 
Pole sana tena narudia pole sana kasome ujue ni Nini kilichoandikwa utajua kuwa yesu unaemfuata ni WA mchongo
Kilicho andikwa
  • Issa , inasemekana walitamka kumuua ila Allah akatengeneza issa mwingine akauliwa
  • Allah akatengeneza Issa mwingine ambae anafanana na Isa original ili Isa clone (cloning) asulubiwe
    • Koran 4;157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.
  • Cloning -is the process of producing individuals with identical or virtually identical DNA, either naturally or artificially.
 
Kilicho andikwa
  • Issa , inasemekana walitamka kumuua ila Allah akatengeneza issa mwingine akauliwa
  • Allah akatengeneza Issa mwingine ambae anafanana na Isa original ili Isa clone (cloning) asulubiwe
    • Koran 4;157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.
  • Cloning -is the process of producing individuals with identical or virtually identical DNA, either naturally or artificially.
Msaliti alikuwa nani na alizikiwa wapi? Nafahamu utajibu kuwa kua alipotea
 
Muislamu atafanya dhambi lakini mara nyingi ni ngumu kubadili upande labda huyo awe ni Muislamu jahil wa levo ya chini kabisa.

kabisa maana katika uislam ni bora uwe gaidi uue watu utaonekana wa maana lakini sio kuwa mkristo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
huyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu
Kwan wamelazimishwa Mzee Mimi mkristo ila nilipo Kuna waislamu wanaenda kwake kuabudu ni haki yao
 
Msaliti alikuwa nani na alizikiwa wapi? Nafahamu utajibu kuwa kua alipotea
Kuna habari za msaliti ndani ya Koran ? Ni jambo jipya nasikia leo, msaliti wa Isa namsoma wapi kwenye koran
 
Hivi kuna wabaguzi na waliojaa chuki kama waislam?

Nyie watu ni tatizo dunia nzima.
Hakuna MTU mbaya kama mnafiki''anakuchekea huku anakuangamiza,,, Bora adui unayemjua kuliko mnafiki. Waislam lazima tuwe tatizo dunia nzima lkn sio Kwa SBB ya chuki Bali sababu ya msimamo tunaishi Kwa kufuata Muongozo mmoja Tu WA KITABU kimoja dunia nzima hatupelekeshwi na mamlaka za DUNIANI kama mnavopelekeshwa nyie chochote atakachoona mzungu Sawa kinaingizwa ktk dini na nyie mnakibariki Kwa hiyo lazima dunia ituone tatizo,,wakati dunia inatuona tatizo uislam huo huo WA tatizo la dunia ndio dini inayokua Kwa Kasi duniani'' SA sijui itakuaje
 
Shida ya Mwamposa habatizi, yeye anaombea tu, watu wanaendelea na Imani zao, Kama Ile wametoka kwa mganga, ilitakiwa ahubiri wokovu kwanza Lanka ya maombezi
 
Nimeshasema wengi wenu Hamna elimu kuhusu uislam wala quran Bali hutafuta Aya za mifano Kwa unafiki wenu;
5;51 -9;23-3;28 sababu ya katazo hili ni kua Mwenyezi Mungu ameshafahamu juu ya unafiki wenu,,nakuuliza wewe unaweza kumfanya MTU mnafiki au mshirikina kua rafiki au kipenzi chako?? Jibu hapana Bali utaishi nae Kwa wema bila kumfanya rafiki au kua na ukaribu nae maana lengo la mnafiki na mshirikina na kukuharibia au kukufanya uwe kama yeye,,au wewe watu wote unaosaidiana nao NI marafiki zako na vipenzi vyako,? wapo wakristo na wayahudi wachache wasio na unafiki wako open minded,,,quran pia imewazungumzia lkn Kwa unafiki wako hiyo Aya hukuiona.

47;4-9;6-9;29,,,chukua hii,,Aya za Quran hazikushuka siku moja kama ubao WA Musa na amri kuu za Mungu,,Aya zilishuka kidogo kidogo kutokana na matukio tofauti tofauti,,Aya za waislam kupigana zilishuka baada ya washirikina kuzidisha vitimbi vyao dhidi WA waislam,,,waislam WA makka waliuawa Vifo vya kikatili,,walinyang'anywa Mali zao na kuteswa ndipo mateso yalipozidi waislam wakateremshiwa Aya za kupambana na washirikina lkn Kwa utaratibu maalum Mwenyezi mungu anasema wakikochozeni,,wakakupigeni na kuwatoa ktk majumba yenu nanyi wapigeni mpk waache na wakiacha nanyi acheni wala msianze uadui,,pia Mwenyezi Mungu anakataza kuua nafsi ISIYO na hatia Kwa kusema anayeua nafsi moja ISIYO na hatia NI Sawa ameua watu WA dunia nzima'' Ila Kwa unafiki wako Aya hizi pia hukuziona,,au ulitaka iandikwe akipigae la kushoto mgeuzie la kulia!!!! Hakuna huo unyonge kwenye uislam..
Kuhusu hadithi siwezi kukujibu chochote maana hadithi NI masimulizi ya watu,,kuna hadithi sahihi na hadithi zisizo sahihi?? Hadithi sahihi NI zile zisizokinzana na maneno ya Mwenyezi Mungu ktk quran na Mwenyezi anasema ktk quran hakuna kulazimishana ktk dini,,so utajudge mwenyewe kama kuamini maneno ya Mwenyezi Mungu au masimulizi ya wanadamu.
Unajaribu Kuweka mambo yasiyo ndani ya Koran na Hadith tena umefika mbali unasema Koran ilikuwa ya mda flani ,

Allah kasema ata baba Yako akiwa sio muislamu usiwe na urafi nae embu Anza na chuki hiyo, ielezee inatekelezwa vipi
 
Back
Top Bottom