Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Ni haramu na ni kufuru ya kiwango kikubwa Mungu aliyeumba mbingu na Ardhi hana mwana wala mshirika na uponyaji unatoka kwake yeye tu na Yesu hakuwa Mungu bali ni Nabii wa Mwenyezi Mungu.
Unajua Allah alisema hana mwana kwa sababu hana mke? na
Wewe umejuaje Yesu hakuwa Mungu
 
Mkuu lete hizo aya nikamlipue mtu.
Tokea ujiunge Jf ujatimiza hata wiki mbili umekuwa Expert member wewe ndio kundi la wale wenye kushinda mitandaoni bila faida maana comment yako inaonyesha unapenda ushabiki usio na manufaa.

Sasa mtu kwa kuokoteza aya na kuweka unadhani unaweza kushinda hoja wakati kitabu hakisomwi kama gazeti ?
 
Tokea ujiunge Jf ujatimiza hata wiki mbili umekuwa Expert member wewe ndio kundi la wale wenye kushinda mitandaoni bila faida maana comment yako inaonyesha unapenda ushabiki usio na manufaa.

Sasa mtu kwa kuokoteza aya na kuweka unadhani unaweza kushinda hoja wakati kitabu hakisomwi kama gazeti ?
Unateseka ukiwa wapi? Niko likizo sasa hivi nawashughulikia watu kama nyie mnahitaji kuamshwa.
 
Sasa mtu kwa kuokoteza aya na kuweka unadhani unaweza kushinda hoja wakati kitabu hakisomwi kama gazeti ?
Mbona una dharau kubwa juu ya maandiko yako, yani aya za koran kabisa uasema zimeokotezwa, inawezekana vipi mtu aokoteze maneno ya Allah? au allah aliokoteza?
 
Ni jambo la kawaida sana ilo kwaiyo ndio mnataka kusemaje uyo rafiki yako ni muislamu siyo muhumini wa dini ya kiislamu..
Sa hapo hujaelewa nini? Mi navyojua ni muumini hayo ya kutokuwa '' muhumini '' ni yako. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naweza kuwa sielewi au siamini huduma yake lakini katika hili sioni kosa lake. Ni haki ya kila mtu kuchagua wapi pa kuabudu.

Hakuna mtu wala dini yenye mamlaka ya kumpangia raia yeyote dhehebu la kufanya ibada.

uzi ufunge tayari umemaliza kila kitu
 
Mbona una dharau kubwa juu ya maandiko yako, yani aya za koran kabisa uasema zimeokotezwa, inawezekana vipi mtu aokoteze maneno ya Allah? au allah aliokoteza?
Hakuna dharau hapo labda haujui Kiswahili vizuri ,kuokoteza inamaanisha mtu anachukua kwa kuungaunga bila elimu sasa shida ikowapi ? mtu akisema ana elimu ya kuungaunga ina maana amiidharau elimu ya Tz ? Kuokoteza inamaanisha njia aliyoitumia kuipata ndio maana

Ungekuwa na hoja kidogo ningesema "aya za kuokoteza" hapo ina maana nimegusa ayaoja kwa moja lakini nimesema "ameokoteza aya" ame inamaanisha ni yeye yaani kauli inamrudia yeye..
 
Unateseka ukiwa wapi? Niko likizo sasa hivi nawashughulikia watu kama nyie mnahitaji kuamshwa.
Ukiwa mjinga kiasi hiki hauna hadhi ya kujibiwa na haustahili kabisa kujibiwa .
IMG_20220419_163155.jpg
 
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Wamechagua fungu jema sana, Bwana YESU aendelee kuwafungulia njia iliyo nyooka wakayapate mema.
 
Hakuna dharau hapo labda haujui Kiswahili vizuri ,kuokoteza inamaanisha mtu anachukua kwa kuungaunga bila elimu sasa shida ikowapi ? mtu akisema ana elimu ya kuungaunga ina maana amiidharau elimu ya Tz ? Kuokoteza inamaanisha njia aliyoitumia kuipata ndio maana
Kuwa makini umetumia lugha mbaya ya kuita aya za Allah zimeokotezwa , nilichofanya ni ku copy aya kama ilivyo na kuweka bila kuongeza wala ku edit, alafu unasema imeokotwa
sasa kama nimetumia njia ya kusoma koran na kuchukua aya na kuiweka na unaita ni kuokotezwa unakaribia kuikana imani yako
 
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Kristo ameshinda,wananchi wengi wanatsfuta majibu ya matatizo yao,ya kifedha,kiroho,kipato,motivation kidogo,makanisa Mengi,Roman Catholic,Lutheran,TAG,huko waumini hukamuliwa sadaka,Kuna fungu la kumi,mavuno,nyumba ya mchungaji,gari ya mchungaji,jengo,ahadi,tegrmeza ushirika,michango kibao,mwisho wa ibada,unaambiwa nenda kwa amani,!
Amani ipi!na hela huna,padre,mchungaji hakupi hata maneno ya kukupa moyo Ili upambane,lazima utakimbilia kwa "Mwamposa"tu
 
Back
Top Bottom