Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Kwamba hao watu amewalazimisha kwenda kwenye ibada au? Masuala ya imani ni binafsi.

Msije kujifanya ni "untouchables" mtapata mnachokitaka, leteni tena fujo za kidini nchini kama awamu fulani fulani muone kama mtavumiliwa!

#Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 #
kwani nani kasema wataleta fujo za kdini? nimemtaja mtu mmoja tu mwamposa! wanaeza lala naye mbele kwa staili yao
 
Akili yako ni ya kipumbavu sana tena sana kwa nini wewe ni mpumbavu hao watu wangekuwa wamejisalimisha kwa mungu au Yesu wangekuwa sahihi lkn huyo jamaa ambae na yeye siku 1 atakufa na kuoza? Bado hujanishawishi kwa hilo.
 
Kwani hao wanaoabudu kwa mwamposa wanaabudu wakiamini huyo mwamposa ndiye mwokozi wao na mtoa baraka wao au?"

Maana kila upande mwamposa anabariki mwamposa anabariki nataka kujua hao wanaabudu ktk Mungu Na KwelI?
Labda kama ujawai Amini kwamba binadamu analaani na inatokea basi uwezi Amini pia anakubariki na inakua ivyo.

N.b Sio binadamu wote.
 
Ungesema umejisalimisha kwa Mungu au kwa Yesu ningekuona wa maana.

Lakini umeenda jisalimisha kwa mwAposa, umedhihirisha ujinga wako, upumbavu wako na jinsi ulivyokuwa na matope kichwan
Kwa Mwamposa anaubiriwa Yesu.
 
kuna vitu hatakama vinatokea sio lazima kuvishabikia tuache mambo yaende yenyewe. hata kwenye mikutano ya waislamu wanakuja wakristo wengi tu wanabadili dini kuwa waislamu hivyo ukiona upande mmoja bas uangalie na mwingine na utoe taarifa.
 
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Mimi sijaona hiyo clip ila naweza tu kukuelimisha kuwa, Kwenda kwenye mahubiri ya dini yoyote sio kuwa mtu amebadilisha dini; Watu wamehimizwa watafute Elimu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23] Kwa sababu Kila unaemuona anaenda Kwa mwamposa. Anaitwa SULEIMAN,JUMA, AISHA,HADIJA basi akili Yako yote inakutuma kama hao ni Muslims
Yaa jina sio inshu sana kwa nchi kama tz, Utakuta mkristo anaitwa Hassan, Iddi, Mohammed na maisha yanasonga. Wafia dini nahisi ni watu wenye akili mdogo sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom