Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
kwani nani kasema wataleta fujo za kdini? nimemtaja mtu mmoja tu mwamposa! wanaeza lala naye mbele kwa staili yaoKwamba hao watu amewalazimisha kwenda kwenye ibada au? Masuala ya imani ni binafsi.
Msije kujifanya ni "untouchables" mtapata mnachokitaka, leteni tena fujo za kidini nchini kama awamu fulani fulani muone kama mtavumiliwa!
#Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 #