Hizo fair zipo sana but wauguzi wao wanataka kuwa sawa na ma Dr wakati hata job descrption zenu na ma Dr zinatofautiana .. cha Ajabu ma Dr wao pia hawataki kuwa wauguzi.Hao wanaotoa flat rate safi sana, wanapaswa kuigwa na vituo vyote, au wizara itoe tamko iwe hivyo kwa levels zote.
Hayo mengine uliyoongezea sijui ya chuki kwa hao watu ni your personal intuition tuu sababu nimetoa mfano halisi hapo juu wa jinsi mgawanyo kwenye kituo husika ulivyo.
kwenye zile form wewe huwa unaandika sehemu gani pale?Kwa hiyo umekariri consultation ni ya clijic tuu? Haujui wagonjwa waliolazwa daily wanalipia inpatient consultation?
Au basi tuwaachie wagonjwa wenu hao wa clinic mpambane nao. Itakuwa ni jambo jema ili hizo consultation mzifaidi vizuri.
zile form kwanza hakuna sehemu muuguzi anajaza Au nasema uongo ndugu zangu?
Hayo maslahi yaongezwe kutoka hela gani si ashasema hela inatoka ni 25,000.
Mi sijui mambo kwenye sekta hii. Nasubiri mtu ajieleze kwanini mtumishi aliyesoma miaka mitano alipwe 10,000 na mtumishi mwingine aliyesoma miaka mitatu sijui minne alipwe 3,750 kwenye hiyo 25,000
Asikuchanganye na illusion zake huyo jamaa .. kwenye ground hakuna kitu kama hicho ... kwanza hela za Bima zikitoka zinaingia kwenye account ya kituo na mara nyingi huwa zinapangiwa matumizi mengine ya kituo hata hao ma Dr na Nurses wananusa kwa mbaaaali [emoji16][emoji16][emoji16].Hayo maslahi yaongezwe kutoka hela gani si ashasema hela inatoka ni 25,000.
Mi sijui mambo kwenye sekta hii. Nasubiri mtu ajieleze kwanini mtumishi aliyesoma miaka mitano alipwe 10,000 na mtumishi mwingine aliyesoma miaka mitatu sijui minne alipwe 3,750 kwenye hiyo 25,000
specialist Nurse?Procedures nyingi anafanya nani? Kama huwa hawajazi kwenye kituo chako unadhani ndio wanavyofanya nchi nzima?
Kwa taarifa yako kuna mahali hizo form hata registrar hazigusi, wanahusika nazo specialists tuu.
kumbe shida yako ni ma registral? ikiwashinda mta-consultProcedures nyingi anafanya nani? Kama huwa hawajazi kwenye kituo chako unadhani ndio wanavyofanya nchi nzima?
Kwa taarifa yako kuna mahali hizo form hata registrar hazigusi, wanahusika nazo specialists tuu.
Kwanza ndio nimejua leo kwamba hela ya bima kuna mgao wa wahudumuAsikuchanganye na illusion zake huyo jamaa .. kwenye ground hakuna kitu kama hicho ... kwanza hela za Bima zikitoka zinaingia kwenye account ya kituo na mara nyingi huwa zinapangiwa matumizi mengine ya kituo hata hao ma Dr na Nurses wananusa kwa mbaaaali [emoji16][emoji16][emoji16].
Ni kama posho tuu zinavotofautiana kutoka kada moja kwenda nyingine .. basi kwa nini nurse haulizi posho ya mbunge ni karibia mshahara mzima wa nurse au Dr.
Ni visa vya makazini tuu Nothing else.
Asikuchanganye na illusion zake huyo jamaa .. kwenye ground hakuna kitu kama hicho ... kwanza hela za Bima zikitoka zinaingia kwenye account ya kituo na mara nyingi huwa zinapangiwa matumizi mengine ya kituo hata hao ma Dr na Nurses wananusa kwa mbaaaali [emoji16][emoji16][emoji16].
Ni kama posho tuu zinavotofautiana kutoka kada moja kwenda nyingine .. basi kwa nini nurse haulizi posho ya mbunge ni karibia mshahara mzima wa nurse au Dr.
Ni visa vya makazini tuu Nothing else.
kumbe shida yako ni ma registral? ikiwashinda mta-consult
Sio Neurosurgeon?I have studied nine years in a row
Super specialist in cardio thoracic
There are things you can not understand you can't young man you can't
Take your time to sit back and learn how your government runs things
MCT siyo ya wauguzi ndugu muuguzi... Pambaneni maslahi ya uuguzi yaboreshwe hata hao ma Dr ulionao hapo bado Njaa kali tuu sasa mkianza kugombana sijui hicho kituo wagonjwa watatoboa.Mimi nazungumzia waraka wa MCT wewe unasema naleta mambo ya kazini[emoji28]
Kwa hiyo Waziri alipozungumzia hizi issues juzi naye alikuwa analeta mambo ya kazini?[emoji2375]
Ustawi wa sekta hauwezi kuja endapo kada moja inakandamiza kada zingine, ndio maana huduma za afya hazipigi hatua kwa sababu sekta imeweka kipaumbele mguu mmoja, mguu mwingine ume-stuck hivyo hakuna kupiga hatua.
hakuna kada inayokandamizwa .. shida job descrption zenu nyie vijana mnasahau ukiitwa ufanye dusting unaanza kubwata mimi sio house girl .Unaona sasa[emoji28]. Hiki ndio nini umeandika?
Point yangu ni kwamba, haijalishi ni nani anajaza hiyo form, ila mgawanyo hauko sawa.
Kuna vituo daktari haruhusiwi kuzijaza, anaandika vipimo au procedure pembeni, kisha uhasibu ndiyo wanafanya kazi ya kuzifeed.
Na NHIF wakija wanakagua documentation ya kwenye files na sio hizo forms.
Umeng'ang'ana fomu fomu fomu, haya nadhani utakuwa umenielewa sasa.
MCT siyo ya wauguzi ndugu muuguzi... Pambaneni maslahi ya uuguzi yaboreshwe hata hao ma Dr ulionao hapo bado Njaa kali tuu sasa mkianza kugombana sijui hicho kituo wagonjwa watatoboa.
Adhere to your jo descrption.Kwanza kaa ukijua mimi sipo kada ya afya kijana... Na sina shida ya hivyo ajira wala viposho vyenu..
Na kituoni kwangu nimeweka reasonable amount kwa kila mmoja, siyo kama nyie mnavyofanya mautopolo yenu huko hospitali za umma.
Nimeleta hili bandiko kuzisaidia mamlaka hasa wizara husika kuleta mabadiliko chanya kwenye hospitali za umma.
Hivi nyie hamjiulizi kwa nini private tuna perform better kuwashinda nyie? Ni kwa sababu ya mambo madogodogo kama haya. Ni wazalendo wachache kama sisi ambao tunajaribu kuisaidia mamlaka kwa kuanika mambo kama haya ambayo yanairudisha nyuma sekta ya afya.
Najaribu kuimagine wewe ndiyo ukabidhiwe kituo na hiyo mentality yako hakitapiga hatua milele na milele. Maana una mentality ya mwaka 1970 hukoo, kwamba huyu maabara, huyu muuguzi, huyu mfamasia. Nikuambie tuu unapokuwa kiongozi au ukitaka kituo chako cha kazi kipige hatua basi unatakiwa umuheshimu hata mfanya usafi. Treat everybody equally and fairly.
hakuna kada inayokandamizwa .. shida job descrption zenu nyie vijana mnasahau ukiitwa ufanye dusting unaanza kubwata mimi sio house girl .
Sasa nani Asafishe?