Kama kazi ya mafusho ya mwenge ni kupumbaza watu, je wapumbavu wanawezaje kujikwamua?

Kama kazi ya mafusho ya mwenge ni kupumbaza watu, je wapumbavu wanawezaje kujikwamua?

Tumelaaniwa tunaendesha nchi kwa ushirikina badala ya kumtegemea Mungu.
Mataifa ya ulaya walifahamu fika madhara ya ushirikina na uchawi, ndo maana vitabu vya historia vinaelezea kuwa wachawi na washirikina walichomwa moto hadharani.
Afrika toka enzi na enzi waliokuwa wafalme au machifu walisifika kwa uchawi na ushirikina. Mfano ukisoma hadithi za akina Mirambo, Mkwawa, na yule jamaa wa majimaji utaona namna wanavyosifika kwa uchawi na ushirikina.
Mtaani kuna story ya fimbo aliyokuwa nayo Nyerere na inahusishwa na masuala ya ushirikina au mizimu.
 
Mataifa ya ulaya walifahamu fika madhara ya ushirikina na uchawi, ndo maana vitabu vya historia vinaelezea kuwa wachawi na washirikina walichomwa moto hadharani.
Afrika toka enzi na enzi waliokuwa wafalme au machifu walisifika kwa uchawi na ushirikina. Mfano ukisoma hadithi za akina Mirambo, Mkwawa, na yule jamaa wa majimaji utaona namna wanavyosifika kwa uchawi na ushirikina.
Mtaani kuna story ya fimbo aliyokuwa nayo Nyerere na inahusishwa na masuala ya ushirikina au mizimu.
Usisahau stori ya Nyerere na mbuzi wake
 
 
Swali kwa wajukuu zangu wapenzi.

Taifa la wapumbavu linawezaje kujikwamua lenyewe na watu wake kutoka kwa maadui watano, umaskini, ujinga, maradhi, rushwa na uchawa?
Pascal Mayalla , Lucas Mwashambwa FaizaFoxy nahitaji kishiriki wenu
Sisi watumishi tupo milimani tukifunga na kuomba ili hili jini lilifungamanishwa na mwenge kwenye lile tambiko la Lindi kwenye lango la kuzimu linasambaratishwa na kuwaweka huru watanganyika

Bila maombi ya watumishi hakuna litakalotokea, sahau katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
 
kuliita taifa lako ni taifa la wapumbavu, sio kulitendea haki. Tanzania sio taifa la wapumbavu, sema ni taifa la wajinga!

haliwezi kujikwamua ni mpaka likwamuliwe kwa ukombozi wa fikra Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Mimi bibi yenu mpambanaji, next time ukini tag, please usinichanganye na machawa na mimi nikaonekana kama chawa!
p
Pasco mbona uchawa umeukataa haraka hivyo? Hutaki cheo cha kustaafia?
 
Back
Top Bottom