Kama Kenya inatunza na kufadhili watu qanaotukana viongozi wa Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi, hivi hakuna namna na sisi tutafanya jambo dhidi yao

Kama Kenya inatunza na kufadhili watu qanaotukana viongozi wa Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi, hivi hakuna namna na sisi tutafanya jambo dhidi yao

ha ha ha mliwapigia magoti tena ndani ya ikulu yenu kuwaomba msamaha kisa kuku wao kuuliwa halafu unaongea nini eti una cha kuwafanya wakenya? na bado huo ni mwanzo tu mlikabidhi kila kitu kwao, mko uchi, you sold your soul to the devil, sasa watawafanya wanavyotaka …
 
Naona Kenya imejigeuza jukwaa la kutukania viongozi wa nchi hapo juu, hakuna namna tutashughulika na tabia hiyo?
Kidiplomasia ni kawaida kabisa.

Museveni alifanya harakati Toka Tz, Mandela wa ANC dhidi ya makaburu aliitumia Tz,John Garang alitumia Tz .

Kubwa Kuliko MMIAKA YA 2000'S AGATHON RWASA kiongozi WA Chama Cha upinzani kilichokuwa kinaonekana Cha waasi wa serikali ya Burundi ,maarufu kama F.N.L Paripehutu alikuwa anaishi Tanzania.

Tena alikuwa anaishi kilometa chache Toka Magogoni, Mtaa wa Ohio street, currently Barak Obama Road.

Aliishi Tanzania, kwa uwazi na kufanya harakati ndani ya ardhi ya Tz dhidi ya serikali ya chama tawala wakati huo.

Wewe unawashangaa wakenya??

Unawaonea wivu???
Inawezekana hata sasa Tz kuna wanaharakati wa Rwanda wanaompinga Kagame, au wa nchi nyingine ,wapo kwa siri, wanaweza pewa hata travel documents za Tz kificha utambulisho wao.

Kwenye uwanja wa diplomasia hayo ni mambo ya kawaida sana!!
 
Naona Kenya imejigeuza jukwaa la kutukania viongozi wa nchi hapo juu, hakuna namna tutashughulika na tabia hiyo?
Unataka kuwapiganisha ? Mtoto mkikosana akakimbilia kwa mjomba, Shangazi au bibi yuko mikono salama. Maria amekimbia kujihifadhi. Kumtoa huko kininja hainogi. Angeombwa tu arudi kwa wema.
 
Naona Kenya imejigeuza jukwaa la kutukania viongozi wa nchi hapo juu, hakuna namna tutashughulika na tabia hiyo?
Serikali ya Kenya haishughuliki na ku manage tabia za watanzania. Kama nchi yenyewe imeshindwa si kazi yao

Serikali ya kenya ina majanga kibao wana deal nayo, hawawez acha kupambania wananchi wao wa deal na wambea
 
Naona Kenya imejigeuza jukwaa la kutukania viongozi wa nchi hapo juu, hakuna namna tutashughulika na tabia hiyo?
Ulikuwa unavaa nepi wakati Odinga Raila alipopewa passport ya Tanzania kumkimbia Moi?
Ulikuwa wapi waliotaka kumpindua Moi wakiongozwa na Ochugwa walipokimbilia Tz, Sunday School au Madrasa ya Alif?
 
Naona Kenya imejigeuza jukwaa la kutukania viongozi wa nchi hapo juu, hakuna namna tutashughulika na tabia hiyo?
unafikiri kenya ni lumumba hapo jichanganye wakakate utepe marinda hayo
 
Back
Top Bottom