Kama kila ukipata pesa unashikwa na kiu ya pombe au kufanya ngono, kijana safari yako ya maisha itakuwa fupi na yenye misukosuko

Kama kila ukipata pesa unashikwa na kiu ya pombe au kufanya ngono, kijana safari yako ya maisha itakuwa fupi na yenye misukosuko

Nakubaliana na wewe. Ila ukiwa kijana kuna vitu unafanya.
Wewe ulipokuwa kijana ulikuwa na akili hizi.

Tunatoufuti kuwa mature, to becone A Man.
Mimi bado kijana mkuu, ndo kwanza nimegonga 30 mwaka huu.

Nimekaa na washkaji wanywaji, watoto wa kike sana lakini sija adapt hizo tabia. Sio kweli kwamba ukiwa kijana lazima unywe pombe ama kutembea na kila mwanamke. Ni kamkumbo fulani tu kanakowabeba watu wengi.

Tusaidiane tu kama vijana, kuna baadhi ya vitu tuko huru kuvifanya ila tujue kuwa matokeo yake sio mazuri
 
Sema Nini .. ukweli mchungu sana kukubalika... Ndio maana wanaoongea kweli huwa wanauawa refer to Jesus na wengine wengi.... Naona mtoa mada wamekushambulia sana kwa bandiko lako ila ndio hivyo hii ni jf ina kila aina ya takataka [emoji18]
 
Ujumbe mzuri sana na wa ukombozi big up sana comrade. Acha kujibu ujumbe umetosha
 
Mtoa mada wewe Ni mpumbavu! We unahukumu vijana kunywa pombe na wanawake!!

Bila kuangalia na wewe una litabia gani libovu!

Acha kufuatilia Mambo za raia
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Wanakuambia tumia pesa ikuzoee, maisha yenyewe ni haya haya...




Cc: mahondaw
 
Miaka ya sasa wenye pesa wengi ni vijana, tofauti na zamani ukiwagusa wenye fwedha bas ni wababa na wazee..

SASA SIJAJUA NI VIJANA GANI UNAOWASEMEA..
 
Kwani unatafuta pesa ili iweje, as long as watoto wanakula, wanasoma, wanavaa, outing kama zote, wacha mtu afurahi na pombe yake
 
Usifuatilia ya watu
Usisaidie watu

Ukifuatilia ya watu
Saidia watu

Mimi sisaidiagi masikini na wala sina muda nao, maana masikini wakipata hatawaki uwaingilie, ila wakikwama wanakuja na machozi.
Hapa kwangu nimeshatimua wapuuzi wawili waliokujaga kunililia shida zao za hovyo,
PICHA yako tu inasadifu roho yako ni mbaya
 
Usiwapangie watu maisha, fedha wanatafuta wao, kiu yao, wewe kinachokuuma ni nini? Dili na maisha yako tu, usijihusishe na visivyokuhusu!
Kama kila mtu afatjlie maisha yake basi na misaada kila mtu ajisaidie mwenyewe!!
 
Sio kila mtu anaishi kwa malengo yako. Kama wewe unafikiri maisha ni kuwekeza, hizo ni akili zako na mipango yako. Hivi mtu anatafuta pesa halafu anaenda kuipa roho inapenda kuna ubaya gani? Ugumu wa maisha ya uzeeni ni yake na ni sehemu ya maisha ambayo Mungu aliumba. Kuna mafukara kila mahali duniani, hata huko dunia ya kwanza masikini wapo. Mtu ukidili na maisha yako ni vyema sana, acha kupangia Watu namna ya kuishi, kama wewe ni mwalimu, wafundishe namna ya kupata pesa, siyo namna ya kutumia
 
Sasa nisinywe beer ninywe nini...!!ninywe kahawa niwe mnafiki na mbea mbea.....%kubwa wasiokunywa pombe ni wanafiq na watu wa majungu

Chapa kilevi ujinga ukutoke🍺🍺🍺
 
Back
Top Bottom