Kama kila ukipata pesa unashikwa na kiu ya pombe au kufanya ngono, kijana safari yako ya maisha itakuwa fupi na yenye misukosuko

Kama kila ukipata pesa unashikwa na kiu ya pombe au kufanya ngono, kijana safari yako ya maisha itakuwa fupi na yenye misukosuko

Ujumbe mzuri.

Ila kila kitu kinatakiwa kufanywa kwa wastani.

Maisha yenyewe ndio haya haya, hujui umepangiwa miaka mingap.

Unaweza kwepa hayo unayosema na ukapata ajali na ukafa.

Unaweza kwepa umalaya na mwanamke/mwanaume huyo mmoja unaemuamin akakuletea gonjwa ndani.

Kila kitu tufanye kwa wastani na kwa kuchukua tahadhali kwa ajili ya afya zetu.

Kunywa Bia na kuchakata bado nitaendelea na maendeleo ninafanya.
 
Sasa kumekuwa na wimbi la vijana wajinga na wapumbavu wengi sana.
Wanatafuta pesa kwa bidii halafu wakizipata tu huziona ndogo kisha huamua kuzipeleka bar au lodge.

Unapata laki tatu unasema hii haitoshi kujengea nyumba, haitoshi kununulia kiwanja, haitoshi kufungulia biashara ya tigopesa au mpesa.

Kama ingekuwa haitoshi basi isingetosha kumuhonga demu uliyembatiza jina na kumwita pisi kali.p

Tabia za uesharati na ulevi hufanya vijana wengi wafe mapema. Tabia hizi humpelekea kijana kudharaulika katika jamii, tabia hizi hupelekea vijana wengi kuwa na uzee mgumu
Dhambi yeyote katika maisha inaleta misuko sumo mkuu,sio lazima iwe ngono na pombe.Kwa hiyo kila dhambi lazima ikimbiwe.
 
Sasa kumekuwa na wimbi la vijana wajinga na wapumbavu wengi sana.
Wanatafuta pesa kwa bidii halafu wakizipata tu huziona ndogo kisha huamua kuzipeleka bar au lodge.

Unapata laki tatu unasema hii haitoshi kujengea nyumba, haitoshi kununulia kiwanja, haitoshi kufungulia biashara ya tigopesa au mpesa.

Kama ingekuwa haitoshi basi isingetosha kumuhonga demu uliyembatiza jina na kumwita pisi kali.p

Tabia za uesharati na ulevi hufanya vijana wengi wafe mapema. Tabia hizi humpelekea kijana kudharaulika katika jamii, tabia hizi hupelekea vijana wengi kuwa na uzee mgumu
Ukweli kwa 100%
 
Hahaha hiyo safari ya maisha huwa inaanzia wapi na kuishia wapi?!

Au maisha ni nini na yako wapi huko mnakosafiri kwenda?!

Safari ya Maisha ni toka pale unazaliwa ndio uliianza unayoishi kila siku ndio safari hiyo kama kuna mtu anasubiri siku aanze maisha maybe pale atapofanikiwa ndio anadhani maisha yataanza atasubiri sana.

Maana hata ukifanikiwa unabaki kuwa yuleyule kasoro tu with sucess kwahyo turidhike na ss wenyewe tujipende whatever tulivyo kama we are drunk au hoes tuwe as good as we can maana mwisho wote tutarud kwa Mungu
 
Back
Top Bottom