BigBro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 3,585
- 11,601
Kwani kuna mtu kakuomba msaada hapa?Kama kila mtu afatjlie maisha yake basi na misaada kila mtu ajisaidie mwenyewe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna mtu kakuomba msaada hapa?Kama kila mtu afatjlie maisha yake basi na misaada kila mtu ajisaidie mwenyewe!!
Naanza pombe rasmi leo hii....nitaleta mrejeshoSasa nisinywe beer ninywe nini...!!ninywe kahawa niwe mnafiki na mbea mbea.....%kubwa wasiokunywa pombe ni wanafiq na watu wa majungu
Chapa kilevi ujinga ukutoke🍺🍺🍺
Leta mrejesho....anza na bia laini laini Kama vile Izi lite na heineken😂😂😂😂😂😂ni furaha kubwa mwanachama akiongezekaNaanza pombe rasmi leo hii....nitaleta mrejesho
Na umepata ban kiukweliHayo Mambo yaache tu utaishia kutafuta ban hapa Jf
Leta mrejesho....anza na bia laini laini Kama vile Izi lite na heineken[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni furaha kubwa mwanachama akiongezeka
Na umepata ban kiukweli
Karibu chamani mkuu.Naanza pombe rasmi leo hii....nitaleta mrejesho
Kabisa mkuu....!!aagize bucket ya castle lite nitamlipia!!Ili kumkaribisha chamani yafaa tumpe ofa mkuu.
Dhambi yeyote katika maisha inaleta misuko sumo mkuu,sio lazima iwe ngono na pombe.Kwa hiyo kila dhambi lazima ikimbiwe.Sasa kumekuwa na wimbi la vijana wajinga na wapumbavu wengi sana.
Wanatafuta pesa kwa bidii halafu wakizipata tu huziona ndogo kisha huamua kuzipeleka bar au lodge.
Unapata laki tatu unasema hii haitoshi kujengea nyumba, haitoshi kununulia kiwanja, haitoshi kufungulia biashara ya tigopesa au mpesa.
Kama ingekuwa haitoshi basi isingetosha kumuhonga demu uliyembatiza jina na kumwita pisi kali.p
Tabia za uesharati na ulevi hufanya vijana wengi wafe mapema. Tabia hizi humpelekea kijana kudharaulika katika jamii, tabia hizi hupelekea vijana wengi kuwa na uzee mgumu
Ukweli kwa 100%Sasa kumekuwa na wimbi la vijana wajinga na wapumbavu wengi sana.
Wanatafuta pesa kwa bidii halafu wakizipata tu huziona ndogo kisha huamua kuzipeleka bar au lodge.
Unapata laki tatu unasema hii haitoshi kujengea nyumba, haitoshi kununulia kiwanja, haitoshi kufungulia biashara ya tigopesa au mpesa.
Kama ingekuwa haitoshi basi isingetosha kumuhonga demu uliyembatiza jina na kumwita pisi kali.p
Tabia za uesharati na ulevi hufanya vijana wengi wafe mapema. Tabia hizi humpelekea kijana kudharaulika katika jamii, tabia hizi hupelekea vijana wengi kuwa na uzee mgumu
Unaweza usiombe hapa ila ukasumbua watu mtaani kwakoKwani kuna mtu kakuomba msaada hapa?
Hahaha hiyo safari ya maisha huwa inaanzia wapi na kuishia wapi?!
Au maisha ni nini na yako wapi huko mnakosafiri kwenda?!
Kama ni tabia zako sawaUnaweza usiombe hapa ila ukasumbua watu mtaani kwako