Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Magu alishazikwa na he is burning in hell now
 
Hata uwekezaji wa Chato ni ufisadi kwani maamuzi yalikuwa yake tu.
Ujio wa Mama yetu mpendwa Raisi SSH ni mpango wa Mungu.
Mola anaipenda sana Tanzania yetu kwani tulikuwa ktk kipindi kibaya mno.
 
Sasa wewe una shule gani unajichekesha chekesha hapa kutafta wanaume.
 
Ccm nambari moja Afrika kwa kuiba na kufisadi matrillioni ya fedha za watanzania.

Kumbe mradi wa kununua madege ilikuwa ni njia ya upigaji.

CAG amesema kabisa kuwa midege haiwezi kuruka kwenda nje ya bara la Afrika maana zitakamatwa
Akiyajua hayo yote bado aliendelea kununua midege, sasa unajiuliza kama hakuwa na hidden agendas alikuwa na nini??
Na hayo masuala ya manunuzi ya mindege, akahamishia mfuko wa ikulu, usiokaguliwa na CAG.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
CAG ni kiongozi wa idara ambaye ana technical team, vijana wake wamefanya kazi wanayopaswa ! Labda niulize tunadhani CAG anaweza kuandika vitu ambavyo havipo kwa faida ya nani?
 
Sasa hivi kila kitu ni njenje tu na MATAGA sasa wanalialia tu
 
Ni ujinga kuamini mtu anaejenga miradi mikubwa hawezi kufanya Ufisadi. Ufisadi ni zao la mfumo. Watu wenye akili wanakushangaa kwa kuhoji taarifa za ufisadi kisa kuna maendeleo yanaonekana kwa macho!

Hivi hatuwezi kuleta maendeleo bila kufanya ufisadi?
Wenye hekima walijua nini kinaendelea. Nguvu kubwa ilotumika kujaribu kuua upinzani, kuminya uhuru wa habari, kuminya haki za Raia kupewa taarifa kupitia sheria mpya ya takwimu, kuondoa matangazo mubashara ya Bunge, ilitosha kwa mwenye akili yeyote kujiuliza kinafichwa kitu gani kisijulikane.

Hila zilizotumika kumwondoa Prof. Assad kwenye majukumu yake ilitosha kwa mwenye akili yeyote kujiuliza kinafichwa kitu gani kisijulikane.

Hakuna Mwizi anayependa kupigiwa mayowe.

Niliwahi kuandika hapa siku za nyuma kwa kusema Tanzania bila shaka ni Taifa lenye wajinga wengi sana miongoni mwa Mataifa yanayoishi leo.

Kama marehemu hapaswi kukosolewa, basi historia haina maana.
 
Ni kama unasema CAG ni mwongo
Au sijaelewa?
Mtu yoyote asiyeona wizi wa jpm basi yupo under a serious spell
Halafu kila CAG anayeripoti ukweli mnamkataa?
Of course mshazoeshwa mambo kufanywa gizani na mwendazake
 
Kushuhudia miradi mikubwa ndiyo kiwe kigezo cha kuiba na kuwapumbaza wadanganyika kwa maneno haya mawili 1.wanyonge na 2. wazalendo?, ndiyo maana hamkuruhusi vyomba vya habari vya kiuchunguzi ili muibe kilaini, badala yake nafasi kubwa ilipewa vyombo vya habari vya kusifia tu, hadi mkatengeneza kundi la kuwadhuru wanao wakosoa lile la watu wasiojulikana,maana hadi leo wanaendelea kutojulikana . 'A country is not a company',and that, the truth will prevail
 
Tulieni na muwachieni CAG atuonyeshe jinsi mlivyotuibia huku mkiimbishwa nyimbo za mapambio kwa boss wenu hapendi ufisadi wakati ndiyo wanaibomoa Tanzania.
 
Ww utakuwa mzoga team sio bure you can't even reason!!???
 
Bado kabisa ndio kwanza saa kumi na moja asubuhi!
Wakitaka kujua kwamba mambo bado wangalie hii sura ina juwa wizi wote na CCM yenye wamepigwa vibaya kwenye kodi za majengo yao!
View attachment 1747290
Huyu kama asingeondolewa pale karibu na mama Samia basi angefanya figisu ili report ya CAG isipelekwe yenye uhalisia.

MATAGA wengi wanachukia sana kuona chawa wao kuondokewa pale ikulu.
 
Oo huyu mzee alikuwa anapiga akiwa amefunga macho kabisa ili asione ukubwa wa mzigo 💰
 
Ni kama unasema CAG ni mwongo
Au sijaelewa?
Mtu yoyote asiyeona wizi wa jpm basi yupo under a serious spell
Halafu kila CAG anayeripoti ukweli mnamkataa?
Of course mshazoeshwa mambo kufanywa gizani na mwendazake
Ndiyo maana walikuwa wanataka Bashiru abakie pale ikulu ili afunike funike vitu kama hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…