mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Mkojoa kwa kukaa Yule [emoji850]SAWAHawatakuelewa, watu wako bize kummezea mate mlegeza macho kwa udini. Wanapiga nae pambio mnafiki namba moja wa taifa, limbukeni wa madaraka mkojoa kwa kukaa yule. Bullshit.
Msome vizuri CAG bila hasira. Hajasema hakuna kilichofanyika, wala hajasema kuna uchafu pote. Tena kasema zaidi ya 80% ya taasisi zina hati safi! Lakini zilizobaki ndizo chafu au zenue mashaka. Bahati mbaya ni kuwa hata miradi yetu kipenzi mingine ina kasoro, ikiwemo shirika la ndege. Sisi wengine tulijua toka mwanzo kuwa ndege hazitatengeneza faida. Ni mashirika machache sana ya ndege yanayotengeneza faida. Kwetu ndiyo kabisa, maana wasafiri na viwanja vyetu vya ndani havitoshi kwa ndege zile, Nje si rahisi kwenda au kushindana, na lilipoongezeka zuio la usafiri kutokana na korona tukaisha kabisa! Ilitakiwa tuambiwe ukweli tu, tungeshazoea. Tulizoea kusifu pasipo sifa, tukiambiwa ukweli huo sasa tunakaidi tu kuupokea.Na. M. M. Mwanakijiji
Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli.
Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea.
Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.
Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.
Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufisadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.
Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.
Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Tunasafari ndefu sana tena sanaMagufuli alikuwa waziri kwa miaka mingapi kabla ya kuwa Raisi? Mbona hakujuuzulu kwa ufisadi uliofanyika akiwa waziri na badala yake akasubiri awe Raisi na kuanza kushambulia ufisadi uliopita huku akificha kwa mtutu wa bunduki ufisadi wa serikali ambayo yeye ni Raisi.
Na hii ndio shida yenu mnaona waTZ wajinga sana..... Eti kikundi kimelipwa? Kwamba hakuna mtu mwenye uwezo wa kukosoa au kufikiri mpaka alipwe? Hvi CCM mnajiona mnamiliki mawazo yetu kisa propaganda zenu.Ukisoma mitandao ya kijamii hasa twitter utafikiri kweli hii nchi imeibiwa kila kitu na hakuna kitu kimeachwa, kumbe sio kweli.
Watu wanajifanya kushangaa ATCL kupata hasara, hivi mtu mwenye akili timamu unaweza kushangaa atcl kupata hasara? By the way, ni shirika gani la serikali linalopata faida? Lipi? Mashirika yote ni hasara kila mwaka kuanzia Tanesco, TPDC, TTCL, ATCL, NHC na mengine yote, kwa nini shida iwe kwa ATCL?
Halafu watu wanataka kusema Magufuli ange eliminate rushwa ama wizi wa mali za umma 100%, hilo jambo halipo Duniani. Duniani kote, kuanzia China ambapo kosa la rushwa unaweza kuuwawa ama Marekani ambapo mifumo iko strong bado watu wanaiba na kula rushwa, tusimsingizie Magufuli kwa kila kitu.
Kuna kikundi ama kingenge cha wahuni sijui kinalipwa na nani kutaka kumchafua Magufuli na report ya cag
Ile trillion 1.5 iliyoliwa na Magufuli na CAG Prof Assad aliiandika kwenye ripot iko wapiuwizi upi? makusanyo Tandahimba stand ambayo hayakupelekwa bank inakuwaje kosa la JPM!!!
haya JPM kaondoka, kaacha serikali yake sio? aliyemtua CAG si ni huyo huyo JPM!!
aisee
KAZI IENDELEE-NENO HILI UKILITAZAMA KWA JICHO LA 3 NI NENO PANA SANAMkuu serikalini ukishafanya matumizi ya fedha bila kufuata taratibu za manunuzi zilizopo kisheria, huo ni mwanya mkubwa wa upigaji. Ukisoma Ripoti ya CAG upotevu mkubwa wa fedha za umma umetokana na mwanya huo.
Hakuna Tender, hakuna Tender evaluation, Contract negotiations hakuna, Contracts hakuna, certificate hakuna wala risiti. Ni maagizo tu, matokeo yake ukiagiza watoe bilioni moja wao wanatoa bilioni 3.
Au unakuta client pia ni consultant na pengine pia ni contractor pia, kwa tu ni taasisi ya serikali.
Pamoja na urasimu hizi taratibu za kibajeti na manunuzi zinasaidia sana kudhibiti ubadhirifu.
Subiri majibu kutoka humphrey pole poleKuna mtu anaihitaji?
Na. M. M. Mwanakijiji
Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli.
Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea.
Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.
Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.
Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufisadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.
Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.
Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Polepole yupo huko anzimia zimia tuSubiri majibu kutoka humphrey pole pole
Wapinzani wanahusika vp na ripot ya CAG? Mbona mnashindwa kuficha ujinga wenu?Umeandika kitu hapa, ninavyofahamu madudu ya ofisi za huko serikalini huwa yapo kila awamu, japo sasa tunaaminishwa yamezidi kwa awamu iliyopita, ningedhani pia kwa uelewa wangu wapinzani sasa waje na solution nini cha kufanya ili kuepuka hiyo situation mbele ya safari, badala yake naona wapinzani wameungana na lile kundi jingine la CCM kumshambulia mwendazake, hapa mwenye akili timamu lazima ujiulize, hawa wapinzani wa sampuli hii lengo lao ni nini hasa?
Wamejisahau wanamshangilia huyu mama tokea aingie ikulu, hata madudu yake yaliyotokea hivi karibuni bado hawajayaona, wao ni kushangilia tu kwa hali hii kwanini tusiendelee kutawaliwa na CCM miaka yote? hii ni kwasababu watu wameacha kufuata akili zao wanafuata za viongozi wao wa mitandaoni ndio maana.
CCM ni wale wale, kulindana kuko pale pale lakini watu wanashangilia tu kwa ufupi wa kumbukumbu zao, baada ya siku kadhaa akili zitawarudia waanze kulia tena, just a matter of time.
Sasa nyie kila CAG anayeandika uozo mnamuona hafai, Prof Assad alivyosema Magufuli ameiba trillion 1.5 mlimuona hafai! Idiots!Rais amuondoe hafai, ni mfitini sana ,
Huna upinzani wowote. Hakuna. Wewe opportunist kama hao wengine. Mpinzani hayumbi hivyo uyumbavyo. Consistency hukujaliwa. Flexibility hata kwa mpinzani ipo. Ndio inayoonekana leo na ukasema upinzani umepotea. Jema halipingwi. Kipingwacho ni njia ya kulipata. Kodi ni njema. Ya mabavu hapana. Wenzetu wana vijitabu vya kodi. Kitu, bidhaa na huduma ipi inalipiwa kodi. Formula ni wazi kwa kila kilipiwacho. Unatoka nyumbani na kiasi sahihi cha kulipa. Hakuna mizengwe. Compliance iko juu sana. CAG naye anatufahamisha kodi yetu ilivyotumika kwa usahihi. Sio hayo mambo yako ya kishamba ya kutia shaka ripoti ya CAG.Upinzani uko kwenye damu yangu; ila sasa hivi naona kama umepotea maana sijui ni nani amebakia upinzani kweli. Labda tuunde upya kabisa... maana upinzani umekubali jukumu lisilo lao...
Hata mitihano watu huwa wanafeli unafikiri huwa wanajitakia hapana huwa hawaelewi kama wewe ambavyo hujaelewa.Nimesoma lakini sijaelewa unataka kufikisha ujumbe gani.
kwani wewe mama yako mzazi huwa anasimamaga wakt wakukojoa?Hawatakuelewa, watu wako bize kummezea mate mlegeza macho kwa udini. Wanapiga nae pambio mnafiki namba moja wa taifa, limbukeni wa madaraka mkojoa kwa kukaa yule. Bullshit.
Mkuu kama kujiuzuru si Majaliwa tu hata aliyekuwa makamu wa raisi,wote walikuwa ni timu moja huwezi ukasema sili nyama bali nakunywa mchuzi wa nyama na kwa mpango hata wa kule Zanzibar nae ajiuzuru si ndio wote walikuwa wakisema HAPA KAZI TU hadi akina Ndugai nao waondoke. Hakika nimejifunza kwamba Watanzania si watu wa kuwaamini,kama viongozi wanakuwa vigeugeu namna hii sijui mwananchi wa kawaida hali ikoje kwa maana haelewi kama kweli awaamini viongozi waliopo madarakani au asiwaamini.Na. M. M. Mwanakijiji
Ufisadi uliofanyika wakati wa miaka mitano ya Rais Magufuli tunaambiwa ni mkubwa sana. Kwamba, mabilioni ya fedha yameliwa na wajanja na kuwa fedha hizi zimeliwa na watu walioteuliwa na kusimamiwa na Rais Magufuli.
Kwa haraka haraka - kama kawaida naona siku hizi - wakosoaji wa Rais Magufuli (na hapa nawazungumzia wale wa kisiasa) wameruka ruka kwa shangwe wakisema "si tuliwaambia!". Na kinachosikitisha kidogo ni kuwa hata baadhi ya watu ambao wamejitambulisha kuwa ni wapinzani nao wamerukia kwa furaha tu na hata hawajui ni kitu gani wanaandaliwa. Sijui ni nani anayewalengesha hawa lakini kilichofanyika na kinachoandaliwa labda ni cha kutisha zaidi kuliko kilichotokea.
Kuna mtu aliuliza (jamaa yangu Philemon Michael) wakati msiba ulipotangazwa maswali ambayo sidhani kama kuna mtu atakuja kuyauliza hadharani au kutaka kuyajibu yaeleweke. Na kuna mtu aliuliza tena wakati CAG amewasilisha Bungeni ripoti yake kwamba je hii ndio ile ile ripoti ambayo kama JPM angekuwa hai angekabidhiwa? Sijui jibu lake... Kama ni ile ile inawezekana hakukuwa na jinsi ripoti hii ingekutana na JPM meza moja... Kama ni nyingine... Magufuli alikuwa sahihi mara ya 1.
Hii miaka mitano tumeshuhudia miradi mikubwa ya kila namna na hata tukajisikia kuwa kuna kifu kinafanyika... lakini leo tunaambiwa lote ni changa la macho. Hizo hospitali hakuna zilizojengwa, hakuna masoko, hakuna vituo vya mabasi, hakuna shule zilizofanyiwa matengenezo makubwa, hakuna hiki wala kile na hata ndege tulizoambiwa zilinunuliwa kwa fedha taslimu kumbe hazikununuliwa... yaani, hata hii SGR na Bwawa la Umeme la Nyerere yote ni geresha tu! Kwamba kote huku watu walikuwa wanakula tu na tunachokiona hakipo na kama hili ni kweli basi Magufuli alikuwa sahihi mara 2.
Lakini kingine ni kuwa baadhi ya watu ambao waliteuliwa na Magufuli, walifanya naye kazi, na waliimba "maendeleo" "maendeleo" na hata kusifia kuwa tumeachiwa "urithi" kumbe si kweli; tumeachiwa madeni na ufisadi. Na kwa vile hakuna anayejitokeza kuwa na ujasiri wa kutetea walichokifanya kwa sababu kuna mtu anaitwa "Mwendazake" ameende na utetezi wake kumbe watu wamelia bure. Leo wengine (kina Ndugai) wanageuka wazi wazi; kumbe walikuwa wanaunga mkono uongo; walikuwa wanashangilia ulaghai, na walikuwa wanaficha ufisadi.. hapa watanyoshewa kidole wote kuanzia aliyekuwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Mawaziri wote (na wengi wamerudi au kuhamishwa) na kwa kweli inawezekana wabunge wote walioweza kuingia wakisimama nyuma ya Magufuli. Kama hili ni kweli kwamba ufisadi umetokea wakati watu wale wale ambao leo wanatufunulia ufisadi huo walikuwepo basi Magufuli alikuwa sahihi mara ya 3.
Swali kubwa ni usahihi gani ambao ninauzungumzia? Mwenye kusoma na aelewe. Kama kinachodaiwa na kushangiliwa leo ni kweli basi nchi haina kitu kingine cha kufanya bali kurudi kwenye uchaguzi mkuu mapema zaidi (labda Oktoba mwaka huu) kusafisha uchafu huu; ili wananchi wasisubiri kupigwa tena miaka mitano ijayo... Kama kina Majaliwa na wenzake wote hawakubaliani na assessment hii ya kuwa wamekuwa ni serikali ya kifisadi basi Waziri Mkuu aongoze kujiuzulu mara moja ili kumpa Rais nafasi kweli ya kuunda serikali anayoitaka ambamo ndani yake asirudi HATA MMOJA ALIYEKUWA NDANI YA SERIKALI YA MAGUFULI. Ndio maana ya KUWAJIBIKA KWA PAMOJA.
Wakitaka kuendelea bila kuwajibika ni lazima kuna kitu kingine kinaandaliwa. Ajenda ya Magufuli haijafa, haitakufa na kwa hakina haitoachwa ife. Maana, kama ufisadi huu umefanyika kwa kiasi hiki basi inawezekana Magufuli alikuwa ni genius aliyepindukia. Yaani, kama ufisadi kama huu ungefanyika wakati wa Mkapa au JK hii nchi ingekuwa mbali sana!
Kwa sasa sidhani kama kuna mfumo unaoweza kutusaidia kumpata kiongozi wa sifa nilizoziainisha. Sidhani kama inawezekana, hata kwa nchi zenye mifumo imara ya uchaguzi, kama Marekani, kumpata kiongozi mwenye haiba fulani consistently. Ndio maana hata wao wanaweza kumuibua Obama awamu fulani, na kumuibua Trump awamu nyingine. Kitu kinachowezekanika kabisa ni kuweka malengo ya nini tunataka kiongozi afanye katika awamu yake ya uongozi, na kufanikiwa au kufeli kwake tumpime kwa malengo hayo. Style yake ya kufikia hayo malengo kama nalo ni miongoni mwa malengo tuliyoyaweka, basi tumwambie in advance. Kama kumbukumbu zangu zipo sawa hivyo ndivyo namna tulivyofanikiwa kumpata JPM. Wananchi tulichoka na ufisadi na uzembe uliokithiri hadi sauti zikasikika, hadi kutoka upinzani, za tunamtaka rais dikteta asiyetizama sura ya mtu.Umezungumza jambo zuri sana. Changamoto ni hii, je mfumo huu wa kulindana unaweza kuacha nafasi ya Taifa kupata mtu mwenye sifa ulizoziainisha?