Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Wote wezi tu msituchanganye buaaaaana
Serikali Awamu ya Pili mpaka Awamu hii sijui ya Tano au ya Sita Watawala wote ni dugu moja hakuna aliye msafi
Jiwe aliwachukulia poa kwa kutumia maneno ya wanyonge maskini etc
 
Miliozoe kupika data

Mfano wakati wa meko tuliambiwa ndege zinaleta faida lakini kumbe limekuwa likitengeneza hasara kwa miaka mitano
 
Why? kwasababu haikuridhishi kama ulivyotaka?

Au haijaenda kama ambavyo marehemu alikuaminisha kua hakuna hasara?
Hakuna, mtanzania anayekubaliana na hizo report. Kama huamini nenda huko Facebook kajioneee, comments zote zinakataaa
 
Mzee umewaka hasira sana. Pole
 
Kwa watu wenye akili finyu kama wewe ndiyo maana mwendazake hakuwa na kazi ngumu ya kuwadanganya na kuwatumia kama ngao ni mtetezi wa nyonge.

Kwani wewe unajua mali zake zote zilipo au wewe ulikuwa ndiyo mtunza siri zake.

kuna aina mbili za mataga
Ya kwanza ni wale ambao wanatetea matumbo yao, wanafiki, Mfano HK, Ndugai
Ya pili ni wale ambao hawajielewi(wapumbavu) ndiyo kama wewe
 
Hakuna, mtanzania anayekubaliana na hizo report. Kama huamini nenda huko Facebook kajioneee, comments zote zinakataaa
Ukweli wa report hauangaliwi kwa namna idadi ya watu wengi walivyoipokea

Ukisema tutumie mitandao ya kijamii kama hakikisho la kujua reaction ya watu dhidi ya report ya CAG utafeli kwasababu Kuna mwenzako huko juu kapinga kukubaliana na misimamo ya kimitandao kwa ku refer watu wa twitter juu ya report hiyo
 
Tatizo kubwa lilianzia ple Magufuli alipominya uhuru wa mihimili ya serikali kama bunge nk. Pia alizima taasisi ka hizi za mkaguzi mkuu kuwa huru na vyombo vua habari.
 
Usimwamini NDUNGAI MNAFIKI na huyu Mama ambae hana anachojua zaidi ya mipasho na taarab
Mipasho gani mkuu? Au hii ya kutoa Uhuru kwa CAG kufanya kazi yake bila bugudha? Au wewe ulitaka mama aendelee kuficha maovu kana kwamba tupo katika zama za tawala za machifu. Mnaanza kumshambulia mama kwasabu amekuwa muwazi na kiasi fulani ni democratic kitu ambacho nyinyi ambao mmezoea kuishi kwa kunyonganyonga mtakuwa hamna kazi.
 
For sure...[emoji120][emoji120]
 
Report zimepikwa, magufuli aliyoyafanya yanaonekana. Wananchi tunayaona. Hivi hii miradi wanadhani imejitengeneza bila fedha?

Oh au ndo hivyo tena marehemu hana haki?
Kumponda mtu aliefanya vitu vinavyoonekana unakuwa unajisumbus bure.

Shame on them.
Rip jpm
 
Hata Mimi sijamuelewa kabisa. Kitu ambacho hakijui, unapoandika usiandike kama utakyesoma ni wewe tu, andika ikiwa unazingatia kuwa watasoma wengine.
Pumba mwanzo mwisho.

Wewe ndiyo wa kusemea wenzio kuwa ni Pumba? Ama kweli nyani haoni.......
 
Ni ngumu sana kutegemeaa mabadiliko kupitia ccm..basi tu watanzania hatuelewi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…