Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,973
- 13,647
Wote wezi tu msituchanganye buaaaaanaWewe umeamua kuwa mjinga na sio kuwa watu nafsi zinawasuta
Kwako serikali iliyopita ni JPM!!! sio watendaji sasa hapa usaidiwe nini?
Na hao unaosema wala rushwa si ndio hawa hawa walikuwa madarakani na bado wapo??😜
Shida yako ni uwazi? upi?
umeulizwa hivyo vitu vinajengeka? vipo? vinaonekana? sasa kama mtendaji aliamua kuwa apige kazi na siasa zako weka pembeni...that is a true definition ya mwanaume
Labda na wewe unaungana na wale wajinga wanaodhania JPM alikuwa mpigaji? kwa nguo zile na maisha yale kwake nyumbani mpaka hana paved blocks?
JPM angekuwa mroho wa hela angekuwa tajiri kuliko mengi, bakhresa na manji...kakaa wizara ya ujenzi miaka mingapi?...
sasa huwa tunapenda muwaze pande hizo kuwa HE IS MOTIVE was pure, genuine and good...
ila ukiwasikiliza watanzania kama wewe nchi haiendi mahali hii....he decided is own way.....alifaulu JPM...wala report ya CAG isikupe faraja yoyote
Serikali Awamu ya Pili mpaka Awamu hii sijui ya Tano au ya Sita Watawala wote ni dugu moja hakuna aliye msafi
Jiwe aliwachukulia poa kwa kutumia maneno ya wanyonge maskini etc