Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Umeandika kitu hapa, ninavyofahamu madudu ya ofisi za huko serikalini huwa yapo kila awamu, japo sasa tunaaminishwa yamezidi kwa awamu iliyopita, ningedhani pia kwa uelewa wangu wapinzani sasa waje na solution nini cha kufanya ili kuepuka hiyo situation mbele ya safari, badala yake naona wapinzani wameungana na lile kundi jingine la CCM kumshambulia mwendazake, hapa mwenye akili timamu lazima ujiulize, hawa wapinzani wa sampuli hii lengo lao ni nini hasa?

Wamejisahau wanamshangilia huyu mama tokea aingie ikulu, hata madudu yake yaliyotokea hivi karibuni bado hawajayaona, wao ni kushangilia tu kwa hali hii kwanini tusiendelee kutawaliwa na CCM miaka yote? hii ni kwasababu watu wameacha kufuata akili zao wanafuata za viongozi wao wa mitandaoni ndio maana.

CCM ni wale wale, kulindana kuko pale pale lakini watu wanashangilia tu kwa ufupi wa kumbukumbu zao, baada ya siku kadhaa akili zitawarudia waanze kulia tena, just a matter of time.
 
Karibu kufupisha umeandika kitabu
 
Si alipewa mangi kupiga rangi ndege kwa 500000 vipi tena!
 
Binafsi huyu CAG simuamini kamwe...
Sura yake tu inaonesha hayupo sawa sawa. Hata Mhe. Rais Samia alimwambia aache kujigongagonga ulimi wakati kutoa taarifa, ingawaje yaweza kuwa ni gelesha tu kwani yaweza kuwa ilipangwa hivyo.
 
Wapigaji wamerudi kwa kasi ili mambo yao yaende kazi ni moja kuua legacy yote ya mwendazake alafu waanze kupiga kama ilivyoada
Hii Trailer imewekwa vizuri….behind closed doors. Ajabu usikute wanatucheka sisi….siasa ni Zaidi ya mchezo mchafu.
 
Kwanza kuhamia dodoma ilikuwa kukurupuka kwa jpm. Ndo Mana hela zote zikaelekezw huko huku ajira zikitoweka maazima. Sema ni hivi jpm alikuwa mtu hatari Sana na alikuwa Yuko radhi watu wote wafe ila yeye apatr ujiko tu. Watu wanasuffer mtaani kwa kukosa ajira miaka yote sita. Hata madaktari ambao tulizoea kipindi Cha jk wanaajiliwa bila kubaki lakini nao wanaendesha bodaboda na anajisifu eti ni rais wa wawanyonge. Mungu asingemchukua au akina jk wasingefanya yao nchi nzima ingejaa wamachinga.
 
Huo ndo mradi wa kishetani ambao hata bunge halijui ila jpm alikuwa anachota hela tu na zingine anaficha. Ana akaunti kibao south africa na ameumbuliwa na cag
Mbona hawakuhoji akiwa hai. Bunge si ni taasisi huru inayojitegemea kuisimamia serikali. Waache akili ya mbuni
 

Tuliambiwa kwamba magufuli alimaliza ufisadi.

Tuliambiwa kwamba tunajenga kwa fedha zetu wenyewe tutembee kifua mbere sisi ni matajri.

Tuliambiwa ATCL inapata faida sana mpaka wakaanza kugawa gawio serikalini.
 
Sura yake tu inaonesha hayupo sawa sawa. Hata Mhe. Rais Samia alimwambia aache kujigongagonga ulimi wakati kutoa taarifa, ingawaje yaweza kuwa ni gelesha tu kwani yaweza kuwa ilipangwa hivyo.
Body language yake tu leaves a lot to be desired....
 
Acheni huu ujinga tatizo la jamaa yenu lilikuwa nikujiona Neno lake ni sheria uongozi wa namna hiyo lazima ukubaliane na lawama zote sema wafia Jiwe mnataka kuhamisha magoli tu ukweli nikwamba jamaa yenu Katia hasara Nchi

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu ukiweza tuwekee mkataba wa bandari ya Bagamoyo (J.K), at least Magu alikuwa akitupatia hints za mikataba, ule wa madini nilishuhudia live wakiungolea, na mingine mingi.
Kwa heshima yako nitaitafuta nikuwekee hapa au pengine
 
Tatizo mnataka kuongoza Nchi kama mnavyoongoza familia zenu

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Subiri kidogo, miradi yote tunayoiona itasimama, ndipo utajua tofauti kati ukweli na uongo. Kati ya Rais na mwimba taarabu.

Awamu zote za marais waislam nchi hii huyumba sana. Subiri tu ujionee.
Tukiwaambia tubadili Katiba mnatoa povu miradi kusimama inawezekana issue ni vipaumbele tungekuwa na Katiba inayoeleweka wala msingejiliza namna hii unalaumu Tawala za Kiislam vipi za kikristo zinazounda vikundi vya wasiojulikana

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…