Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

NAKAZIA mkuu
 
Mbona hawakuhoji akiwa hai. Bunge si ni taasisi huru inayojitegemea kuisimamia serikali. Waache akili ya mbuni
Bunge halikuwa huru chini ya huyu dictator. Kwanza alilizima likawa linajdili gizani kinyume na sheria. Cag asingesoma hiyo riport tungesomewa nyingine ya kumpamba tu. Hakutaka kabisa kukosolewa. Aliyedieiki kumkosoa aliuawa au kupigwa risasi au kupoteza kabisa Kama akina mdude, lisu, Ben saa nane b.k.

Hivyo hatukuwa na rais tulikuwa na shetwani
 
Unevurugwa ukavurugika. Kweli wewe ni shabiki kindakindaki wa huyu mtu, huoni wala husikii.
Naona huamini kabisa macho yako kwa unayoyasikia kuhusu huyu kiongozi wa Malaika.

Kuna aliyeelewa huyu Mataga alichoandika?
 
Mag
magufuli hasafishiki. Kwa kuzuia uwazi serikalini , yeye ndiye icon wa ufisadi nchi hii.
 
Unless kama unasema walipaswa kujiuzulu iwapo kama hawakuwa wanakubaliana naye on various issues, vinginevyo mwendazake alikuwa anashaurika?
Japo mwendazake anaweza kuwa alikuwa na nia safi lakini kwa ile modality ya one man show basi mengi yalipita humo kwa humo...
 
Madhani hujamwelewa Mwanakijiji rudia Tena kusoma,
Mm nimejaribu kumwelewa kidogo anachosema,Kama huo ufisadi umetokea kweli na aliyekufa ni mmoja na waliokuwa wanamsaidia wote wapo Kuna haja gani ya kuwa na serikali iliyokuwa inatudanganya? Ni muhimu wote wajiuzuru na kufanya uchaguzi upya.
KIUKWELI NAISIKITIKIA TANZANIA YANGU NA WANANCHI.
WANASIASA RISASI NI ADHABU PEKEE KAMA CHINA
 
Uko sahihi..
 
Ajabu sana sana! Kila mtu ameufyata! Kama mtu mmoja ndiye aliyefanya haya ambayo hakuna wa kutetea wakati walituaminisha kwa takwimu basi hao watu hawafai kutumikia serikali yoyote.

Yapo maswali mengi sana ambayo CCM lazima wajibu na kuwajibika! Spika Ndugai hahitaji hata mjadala kwa aibu aliyobeba. Nafikiri JPM anaweza kuwa ameifikisha CCM pazuri kuwajibika kuliko wakati wowote!
 
Subiri kidogo, miradi yote tunayoiona itasimama, ndipo utajua tofauti kati ukweli na uongo. Kati ya Rais na mwimba taarabu.

Awamu zote za marais waislam nchi hii huyumba sana. Subiri tu ujionee.
Unaweza kuwa upo sahihi lakini kumbe unaendeshwa kwa chuki na udini.
Komenti zako zinaukakasi japo unachozungumza ni kile unachoamini.
 
Wapigaji wamerudi kwa kasi ili mambo yao yaende kazi ni moja kuua legacy yote ya mwendazake alafu waanze kupiga kama ilivyoada
Numbers don't lie....You can't eat the cake and have it.

Habari za usubuhi.
 
Wee acha upuuzi tatzo ww unaangalia hawa wapinzani wa mtandaoni ndo unadai wapinzani eti wanamshangilia Samia,Nani alikuambia wapinzani wanamshangilia Samia umetumia kigezo kuconlude et wapinzani wameungana na majiz ccm kumshangilia Samia,Tundu Lissu kila siku anampiga spana huyu Samia huoni?wapi umeona Mh Mbowe,Mnyika nk wanamsifia Rais Samia? Tofautisha wakina Mshana Jr, salary slip,Mmawia nk na chama cha upinzani
 
Tanzania viongozi ni majizi kuliko Nchi nyingi za Afrika Zuma anashinda mahakamani kwa pesa ambazo walioba Tanzania wapi nje harafu anatokea mwanakijiji anataka kupotosha report rasmi ya ukaguzi wa fedha nilichogundua pia Elimu zetu ni za hovyo mno mno kama unaona live Prof anaenda na ndege ya serikali kununua Novida huko na bado anaendelea kuwa kiongozi hawa wakina mwanakijiji wapo wengi siwashangai na sintokuja kuwashangaa ndio madhara ya mifumo mibovu ya Elimu kuanzia chini...
 
Ripoti za CAG zinaandaliwa muda mrefu, huu utani wa hadi kusema stendi ya Mbezi italeta foleni ni ukaguzi wa muda mrefu? Inawezekana yapo mengi sana ya kuhoji!

Lakini ajabu kuliko yote JPM alikuwa Rais, wako wapi wasaidizi wake watuambie walikuwa wanafanya kazi gani? Hii ripoti tunataka majibu ya kina ama kila mtu awajibike! Hatuwezi kuishi kwa propaganda na janja janja.
 
Ama kweli!!! Leo mnahalalisha wizi kuwa ni kawaida duniani kote!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…