Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Umeandika utopolo mtupu. Ila sio kosa lako itakuwa shule za kata hizi na vyuo vya kata huko ndio ulikolelewa; ndio maana huwezi kukuta mtoto wa kiongozi anasoma shule za kata wala vyuo vya kata.
Yaani Tanesco ndio ya kupata hasara [emoji23][emoji23] halafu unashangaa kwamba Atcl isipate hasara Daaah

We kiazi kweli
 
ANZA WEWE BABAYE ACHA KULAUMU WENZIO
 
Sidhani kama huu CAG ni mkweli.Yani kaaamua kwa makusudi kununulika Kuiua CCM na Tanzania .ni aibu kwa kweli.Tunarudi nyuma kwa kasi ya ajabu.
Kama Mwanakijiji alivyosema kuna kitu kinaundwa.Ajabu Spika hajui kinachoundwa.in short CCM is finished ,Tanzania is finished.
 
Kwamba JK hakufanya kitu?
 
Upinzani uko kwenye damu yangu; ila sasa hivi naona kama umepotea maana sijui ni nani amebakia upinzani kweli. Labda tuunde upya kabisa... maana upinzani umekubali jukumu lisilo lao...
upinzani haukupotea bali ulipotezwa kimabavu na wengi tukashangilia....Mtu mmoja alitumia maguvu yake isivyo halali kuusambaratisha upinzani ili asipigiwe kelele anapofanya mambo yake...huo ndio ukweli mchungu ambao wengi hamtaki kuusema lakini inakera saaana..

Tunapomuita Ndungai mnafiki bali na wengi wetu tujue pia ni wanafiki, wakati maovu yanaendelea na watu wanaumizwa kwa sababu ya misimamo yao wengine mliwakebehi na kuwabatiza majina kedekede....mitandao ilivyominywa na watu kufungwa midomo wengine mkasema wapinzani hawana akili oooh fulani jembe...nk

Inasikitisha saana, tuseme tu nyekundu ni nyekundu tuache ushabiki..
 

Magufuli alikuwa waziri kwa miaka mingapi kabla ya kuwa Raisi? Mbona hakujuuzulu kwa ufisadi uliofanyika akiwa waziri na badala yake akasubiri awe Raisi na kuanza kushambulia ufisadi uliopita huku akificha kwa mtutu wa bunduki ufisadi wa serikali ambayo yeye ni Raisi.
 
Hakuna kitu hapo menyimwa ufahamu kwa sababu ya mahaba kwa huyo mungu mtu wenu,

Mbona kuna miradi mikubwa na mingi ilifanywa wakati wa kikwete au kwavile mlikuwa haipigiwi debe kama ilivyo kuwa inapigiwa debe kwa mungu mtu wenu? Na ukifanya analysis kikwete katekeleza miradi mingi mikubwa sana awamu yake kuliko huyo kibwetere wenu ila tu hayakuwa matangazo na sifa kama ilivyo kwa huyo mungu mtu wenu

Tatizo huyo mungu mtu wenu alitaka hata akijamba tu dunia nzima asikie na umsifie na ndio hapo mlipo hadaika wale wote wenye akili ndogo mnao danganyika kirahisi

Nina hakika wewe kama ni mwanamke basi jamaa watakuwa wanajisevia sana na kama ni mwanaume sijui hata nisemeje.
 
Humjui huyu jamaa, pitia maandishi yake ya nyuma sana utaelewa kwamba jamaa yuko vizuri sana kichwani, ila baada ya ku-side na Magu hana article anayotumia akili siku hizi.

He was so objective by then.
Leo kaandika vizuri sana mkuu.Soma tena utamuelewa.
 
Nimesoma lakini sijaelewa unataka kufikisha ujumbe gani.
Soma tena mkuu, utaelewa. Mi nimesoma mara 1 tu na nimemuelewa mzee mwanakijiji. Anajaribu kusema, kama mwendazake alifanya ufisadi ilihali kafanya vitu vinavyo onekana hadi sasa na tena aliokua anafanya nao ndio hao hao leo wanashiriki kumkosoa then sisi kama wananchi tuna sababu gani ya kuwaamini kina Majaliwa, Ndugai na hata mama? Si wote walikua team moja? Ndicho anacho jaribu kutwambia wasomaji wake
 
Hii nchi imejaa mashetani. JPM alitufungua akili na kutupa ujasiri sisi wanyonge. Tunawasubiri tu, ngoja tuone
 
Deni la Taifa limekuwa kwa Trillion 18 katika kipindi chake cha miaka 5 tu. Tulikuwa tunaambiwa hiyo miradi inajengwa kwa pesa zetu za ndani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…