Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Maajabu!Unafuatilia mpira kweli unauhakika naby keita yupo Bayer Leverkusen
Harafu alikuwa kocha wa club iliyoshuka daraja 🤣🤣We pambana pambana tu, mishe huzaa mishe nyingine kukuletea mishe nyigine kutoka katika mishe nyingine.
View attachment 3003229
DaaahYani Bayaan klabu ya kiume mjerumani kamchukua kompany? Asee nimeshangaa sana! 2030 twendeni na Irene Uwoya.
Mpira wa ulaya itakuwa ni Pep na vijana wake ,Pep anaandaa vijana soon and very soon kila team itakuwa ni possession based footballWe pambana pambana tu, mishe huzaa mishe nyingine kukuletea mishe nyigine kutoka katika mishe nyingine.
View attachment 3003229
Hao wachezaji uliowataja hapo ni ndugu ktk Imani wanajulikana vizur akili zao, hapo Liverkusen Kuna Victor Boniface,Frimpong, Kossounou, Tella na Tapsoba mbona wanacheza vizur tu.Agent wa Mane na Mane walisema kabisa jinsi ubaguzi ulivyo Bayaan. Walikasirika inawezekanaje mane mtu mweusi uongozi kulipwa mshahara mkubwa Bayaan? Pia Naby Keita huko Bayer Leverkusen analalamika kubaguliwa.
Maneno kama haya watu walikuwa wanayasema kuhusu Pep kipindi kile ame appointiwa kuwa kocha mkuu wa Barcelona mwaka 2008, ila kilichofuata ni historiaHuyu jamaa akimaliza misimu miwili basi nitaamini uchawi upo
Ni wazungu hao Bora angecheza kwa Waarabu tu.Agent wa Mane na Mane walisema kabisa jinsi ubaguzi ulivyo Bayaan. Walikasirika inawezekanaje mane mtu mweusi uongozi kulipwa mshahara mkubwa Bayaan? Pia Naby Keita huko Bayer Leverkusen analalamika kubaguliwa.
Sio kwa Vicent boss, kwani alikuwa timu gani na hiyo timu iko ligi gani?Maneno kama haya watu walikuwa wanayasema kuhusu Pep kipindi kile ame appointiwa kuwa kocha mkuu wa Barcelona mwaka 2008, ila kilichofuata ni historia
Bayern kuchukua hayo makombe sio habari mzee, habari ni asipochukuaNakumbuka Liverpool walivyomsajili Allison technical aspect watu wanaangalia tofauti sana na layman inapokuja suala la mpira naamini mwakani Bayern anachukua bundesliga na dfb pokal ila UEFA sidhani
Hahaahh au sio man mishe huzaa mishe tusichoke kupambanaacheni utani, irene uwoya kuwa prezdaa 2030 huko ni kunuwia makuu. Yeye akomae na huduma yake aliyoianzisha awe mkubwa ndio afikiriwe kuwa prezdaa, mishe imletee mishe kama mleta hoja anavyotanabaisha
Ndio utajua bahati zipoKwani ana shida Gani huyu jamaa, nimesoma sehemu alikuwa kocha wa Burnley na imeshuka daraja imeenda championship,
Huyo hata burundi hajafikaUmewahi hata kufika Germany?
🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe ulikuwa hujathibitisha siku zote kuwa mtu mweusi ni nyani
Kaka kwa huu uandishi nakushauri urudi shule ya msingi.Usimchukulie poa vicent company, buyern wajakulupuka,
Jamaa anampila mzuri sana, arteta, company, alonso huyu wa chealse wa sasa awa wote ni modern coach.
🤣nyani umempa heshima sana. mtu mweusi ni mduduHii kauli yako inathibitisha Mtu mweusi ni nyani aliyechangamka
Gurdiola yupo hivi kama tunavyomuona lakini alipewa Barcelona akitokea barcelona B. Ungeweza kuamini kocha kutoka timu B ataipaisha senior team kwa kiwango kile?Sio kwa Vicent boss, kwani alikuwa timu gani na hiyo timu iko ligi gani?