Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndicho ulicho ona apo we kunguru wa mbosso.Kaka kwa huu uandishi nakushauri urudi shule ya msingi.
Vicent alikua na Burnley ikiwa championship akaipandisha premier league, kisha akaishusha.Sio kwa Vicent boss, kwani alikuwa timu gani na hiyo timu iko ligi gani?
Msimu huu hajachukua kwa hiyo task namba Moja itakuwa hiyo Kisha ndio nyingine zifuate yasije yakawa ya JuventusBayern kuchukua hayo makombe sio habari mzee, habari ni asipochukua
Katika hayo makubwa isiwe kuchukua bundesVicent alikua na Burnley ikiwa championship akaipandisha premier league, kisha akaishusha.
Sisi tunaangalia timu kushuka daraja lakini kuna vitu hatuviangalii kama vile
1. Aina ya timu, ile Burnley mpe kocha yoyote unayemuamini kisha umdai matokeo uone kama utayapata.
2. Uchezaji, ukiangalia Burnley walikua wanacheza mpira mzuri tu shida ikawa umaliziaji. Maana yake hawakua na wafungaji wazuri.
3. Aina ya kocha, mara nyingi huwa tunasema flani ni kocha mkubwa. Lakini hakuna kocha mkubwa ambaye hasajili wachezaji wazuri. Hivyo inawezekana pale Bayern jamaa akafanya makubwa sababu wachezaji wazuri wapo.
Mwisho tuupe muda nafasi, kila kitu kitakua wazi. Anaweza akapandia pale pale akawa kocha mkubwa ambaye atatamaniwa na vilabu vingine vikubwa au anaweza akashindwa hivyo akafukuzwa.
Apo=HapoNdicho ulicho ona apo we kunguru wa mbosso.
Mda ni mali, haya niambie wapi ujaelewa?
Sawa kaka.Apo=Hapo
Mda= Muda
Ujaelewa= Hujaelewa
Bado unaendeleza ujinga wako, rudi shule dogo
Kama wewe ni mtu mweupe mbona mawazo yako ni meusi.[emoji1787]nyani umempa heshima sana. mtu mweusi ni mdudu
Ila jamaa sijui wameona ana nini?We pambana pambana tu, mishe huzaa mishe nyingine kukuletea mishe nyigine kutoka katika mishe nyingine.
View attachment 3003229
Guardiola alikuwa Barcelona B inayoshiriki Segunda Division yaani ligi daraja la Pili, na alikuwa ana miaka miwili tu toka emetoka chuoni kujifunza ukocha, alivyopewa Barcelona ya wakubwa watu wengi walimbeza na kusema kwamba anaenda kuishusha daraja.... ila kilichofuatia kila mtu anakijua.Sio kwa Vicent boss, kwani alikuwa timu gani na hiyo timu iko ligi gani?
Alonso alitembelea nyota ya ubovu wa Bayern tu.Bayern's wamepotea wasahau UEFA champions league kuchukua wataisikia bombani na duniani pia kuna uhaba wa makocha walimvizia alonso ila wamekwama.
Siku kachukua league mkuu na kombe lile la Germany amejitaidi mkuuAlonso alitembelea nyota ya ubovu wa Bayern tu.
Lakini timu yake ni ya kawaida mno na plan B Hana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naby keitta hajawahi chezea bayer leverkusenAgent wa Mane na Mane walisema kabisa jinsi ubaguzi ulivyo Bayaan. Walikasirika inawezekanaje mane mtu mweusi uongozi kulipwa mshahara mkubwa Bayaan? Pia Naby Keita huko Bayer Leverkusen analalamika kubaguliwa.
Ni kweli kajitahidi Ila ubovu wa Bayern umemboost sanaSiku kachukua league mkuu na kombe lile la Germany amejitaidi mkuu
Sasa rangi ya ngozi imekujaje kwenye mjadala. Wengi tumeshangaa Kompany kupewa timu kwa sababu wasifu wake haiendani na ukubwa wa bayern munich sio kwa sababu ya rangi ya ngozi yake.Hii kauli yako inathibitisha Mtu mweusi ni nyani aliyechangamka
Yap ni kweli kabisa sema wamecheza kamari hapa. Ngoja tusubiri msimu ujao tuone itakuajeMkuu,kwa Vincent sidhani kama hao jamaa wamekurupuka. Lazima wamejiridhisha vya kutosha ya kuwa huyu jamaa akipewa nyenzo na zana zote za kivita yuko vizuri na anaweza kuwapeleka wanakokutaka.
Kwahiyo timu zilikuwa mbili tu? Hizo nyingine mbona hazijatumia ubovu wa bayern?Ni kweli kajitahidi Ila ubovu wa Bayern umemboost sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app