Kama kuna hujuma zilifanyika kuondoa tambi za Santa Lucia, wametukosea sana

Kama kuna hujuma zilifanyika kuondoa tambi za Santa Lucia, wametukosea sana

Jaribu hii kidogo afadhali....Maana hizo za MO na jamii yake ni kama umepika kande..
Screenshot_20250302_193214_Gallery.jpg
 
Baada ya zile ndo wametoa hizi", Hizi mbona si kama zile sasa?

Haya maneno utakuta mpaka kwenye Dawa za kila aina zikiadimika tu

Utasikia mwenyewe kabadili jina aisee hakuna watu wanafiki kama masikini
 
Ila kusema ukweli, bidhaa nyingi za MO mbaya sana. Zina ubora wa hali ya chini sana.

Mfano Sabuni za MO POA BONGE, MO SUPER WASH yaani kuna wakati unafungua boksi unakuta sabuni ni kama tope tope.

Shenzi sana Mo
 
Haya matambi yalioko mtaani sijui wanatengenzea kina nani, hayaelewiki hayapikiki.

Soko huru liheshimiwe, watu washindane kwa ubora na si ukora.

Halafu wafanya biashara kama wamekaririshwa, utasikia " Baada ya zile ndo wametoa hizi", Hizi mbona si kama zile sasa?
Duh! Mara ya mwisho kula tambi hata sikumbuki
 
Haya matambi yalioko mtaani sijui wanatengenzea kina nani, hayaelewiki hayapikiki.

Soko huru liheshimiwe, watu washindane kwa ubora na si ukora.

Halafu wafanya biashara kama wamekaririshwa, utasikia " Baada ya zile ndo wametoa hizi", Hizi mbona si kama zile sasa?

Uhuninkila eneo.wangeacha ziwepo madukani ili ziingizw fedha nyingi kwa kupugwa kodi kubwa kama wanavyofanya maziwa
 
Mimi mavitu ya viwandani tena ya ki mbongo au muhindi sigusi kwakweli

Cheki ngoma hi hapa kwa Wahindi namna inavyotengenezwa
 

Attachments

  • 17244455459230.mp4
    23.2 MB
Washekh ubwabwa wamezifanyia fitina hizo tambi kutokana na jina lake la kinaswara(kikristo) waislamu ni wapuuzi sana wapo radhi kula mavi ya muarabu yenye jina la muhammad kuliko kula chakula bora chenye jina la kikristo
haihusiani na waislam bwana, acha chuki, labda wafanya biashara wahuni wamefanya hujuma.
 
Back
Top Bottom