miviga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2024
- 1,721
- 6,037
hawa jamaa ni wachafu sanaMimi mavitu ya viwandani tena ya ki mbongo au muhindi sigusi kwakweli
Cheki ngoma hi hapa kwa Wahindi namna inavyotengenezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa jamaa ni wachafu sanaMimi mavitu ya viwandani tena ya ki mbongo au muhindi sigusi kwakweli
Cheki ngoma hi hapa kwa Wahindi namna inavyotengenezwa
Mimi huwa sizipendi kabisa!!!! Afadhali macaroni naweza kula mara moja moja. Tambi huwa nazifananisha na minyoo!!!!Duh! Mara ya mwisho kula tambi hata sikumbuki
Maji hujuma,Tambi hujuma, uchaguzi hujuma,umeme hujuma,kifupi ni Nchi ya Hujuma.
Ume'missika pia Dada!Hizo nzuri sana...
Halafu ume'missika Dogo...
😹😹😹 mfyuuu..!!huku mikoani tambi ni mboga hazikai tumboni.
Hivi ni bidhaa gani ya chakula kutoka kwa Mo ambayo ni nzuri.Hapa nakubaliana nawewe maana zipo, ila zile za mwanzo ni nzuri sana.
Tambi za mo ni mbaya
Umeusemea moyo wangu mkuu 😂Kweli kabisa, hizo hujuma zingetumika kuondoa hii kitu kwani wangepungukiwa na nini?..
View attachment 3256194
Halafu kweli hili ndilo jibu lao🙆♂️🙆♂️🙆♂️Halafu wafanya biashara kama wamekaririshwa, utasikia " Baada ya zile ndo wametoa hizi", Hizi mbona si kama zile sasa?
Huku kijijini hizi hakuna🙆♂️Jaribu hii kidogo afadhali....Maana hizo za MO na jamii yake ni kama umepika kande..View attachment 3256170
santa lucia ni tambi za wataliano, kama kuna kiwanda kingine kinatengenezea hapa bongo kama hicho cha moo, lazima tambi zake atauza kwa bei rahisi sana, ziel za wataliano ni garama kwa sababu ya usafiri. hivyo lazima zipotee automatically. jua moo na wachina wameleta tambi zao kibao.Haya matambi yalioko mtaani sijui wanatengenzea kina nani, hayaelewiki hayapikiki.
Soko huru liheshimiwe, watu washindane kwa ubora na si ukora.
Halafu wafanya biashara kama wamekaririshwa, utasikia " Baada ya zile ndo wametoa hizi", Hizi mbona si kama zile sasa?
Hizi macaroni nikila nisipo tapika, sijuiMimi huwa sizipendi kabisa!!!! Afadhali macaroni naweza kula mara moja moja. Tambi huwa nazifananisha na minyoo!!!!
Unauliza swali au unatuelezea mkuu?Mbona ninazo na mikipiga simu kwa anaeniletea zipo?