Kama kuna kosa kubwa kwa miongo 3, hili la mfumo wa uajiri kisiasa limezidi

Kama kuna kosa kubwa kwa miongo 3, hili la mfumo wa uajiri kisiasa limezidi

KISHADA

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
2,226
Reaction score
3,291
Nazungumzia mfumo Wetu wa uajiri na siasa zetu za vyama namna lilivyoathiri. Ukweli ni kwamba tumeendekeza siasa ambapo chama kilichoshinda Iwe Kwa haki au mizengwe ndio kinaunda serikali na Kuwa na ushawishi kwenye Ajira zote nyeti.

Hatimae kwa takriban miongo mitatu sasa athari iko wazi.

Watu wenye vipawa na uwezo ilimradi sio CCM walikosa kuajiriwa Kwa kigezo sio mwenzetu na hatimae maeneo nyeti yanayohitaji uwezo walipeyana wenyewe Kwa mnasaba Wa kujuana na kisiasa.

Kama taifa, tumepoteza vipawa na rasilimali zetu wenyewe.

Mfumo mzima Wa veting na usalama umeathiriwa na siasa. Siku hizi inatangulizwa siasa kisha kujuana na mwisho uwezo Wa kitaaluma na utendaji.

Walau muongo Wa kwanza Wa vyama vingi 1995 - 2005. Bado tulifaidi uchanga Wa siasa na uongozi Wa kitaifa. Vipawa vilipewa nafasi.

Kadiri siasa ilivyokuwa, ndivyo ufa Wa kupendeleana ulivyozidi na mfumo kuwatenga wengine.

Zanzibar ndio kuliathirika zaidi, na sasa bara nako kumefuata nyayo. Huwezi kuajiriwa sehemu nyeti Kama si mfuasi kindaki ndaki.

Maslahi ya taifa yanaharibiwa na siasa zetu.

Ni wakati sasa Wa kutazamwa hili na kuchukua hatua. Tanzania tutaachwa nyuma Kwa siasa mbaya.

Vijana wangapi Wa upinzani Kwa mfano wameachwa na hali wana uwezo Wa kulisaidia taifa?

Idara nyeti za mifumo ya nchi kumejazwa watu Wa itikadi za CCM na sio itikadi ya Utaifa.

Uajiri Wetu unahitaji mabadiliko. Hapo kuna ulazima Wa kubadilishwa Katiba yetu na mitaala yetu ya Elimu.

Tukubali itikadi ya Utaifa na Umoja Wa kitaifa Katika uonngozi Wa nchi ilk tuondoe ukada katika utendaji na kutumia vipawa vyetu Kwa maslahi ya Taifa.

Tusisubiri kujuta zaidi.

Mbinu za kuuwa upinzani au kushurutishwa kuunga mkono juhudi Ili kupata nafasi ya kutumia vipawa vyetu Ina gharama kubwa kuliko Kuwa na maridhiano ya kitaifa na kubadili Sera zetu.

Siasa sio uadui. Hatukujiandaa na vyama Vingi, Huo ni ukweli. Lakini tusiwe watumwa Wa siasa wakati tuna maelfu ya wasomi na wataalamu Wa kuondoa changamoto hii.

Miongo 3 ya kuendekeza chuki na ubinafsi inatosha.

Tanzania itajengwa na wote.

Kishada.
 
Yaani utafikiri nchi hii ni mali ya CCM. Wandhani ukiwa CCM tu unakuwa na akili automatically.

One day yes.
 
Nimewahi kulifikiria hili ila sikujipa muda wa kuliandika. ASANTE sana mkuu umepiga panapouma.
 
Hili jambo limefanya viongozi na wataalam wengi wa nchi yetu kujaa matapeli na watu wasio na uwezo. Matokeo yake maamuzi mengi yamekuwa kichekesho kwa dunia.

Bado nikikumbuka watu kama kina Makonda walivyokuwa wanatoa matamko na maelekezo ya kipumbavu kuhusu virusi vya korona huwa nasikitika. Na mbaya zaidi bado watu aina ya kina Makonda wanaendelea kuteuliwa.
 
Unazungumzia ajira gani


Hizi za uteuzi au hizi za watendaji
...ninachojua ajira nyingi almost 80% hazina uhusiano na mambo ya chama
Walimu
Madoctor
Jeshi
Wahandisi n.k
Wote tunazingatia proffesionalism
 
Njanja za Uchumi, mifumo ya Usalama, Usimamizi wa mashirika mama ya kisekta, Usalama na intelijensia, Diplomasia , mifumo ya kisheria na haki, mifumo ya kodi
Haya sio maeneo ya mchezo mchezo.

Kujaza wafuasi wasio na uwezo na ueledi na kuendekeza siasa wakati kuna vipawa vimetumia pesa yetu kusomeshwa na kuendelea sio haki kuachwa nje ya mifumo kisa si mwenzetu.

Tuweke mazingira yatakayoruhusu vipawa kutumika na wabanwe na masharti ya kitaifa na si kichama.

Tumekosea sana.
 
Unazungumzia ajira gani


Hizi za uteuzi au hizi za watendaji
...ninachojua ajira nyingi almost 80% hazina uhusiano na mambo ya chama
Walimu
Madoctor
Jeshi
Wahandisi n.k
Wote tunazingatia proffesionalism
Kote kote.
 
Nazungumzia mfumo Wetu Wa uajiri na siasa zetu za vyama namna lilivyoathiri.
Ukweli ni kwamba tumeendekeza siasa ambapo chama kilichoshinda Iwe Kwa haki au mizengwe ndio kinaunda serikali na Kuwa na ushawishi kwenye Ajira zote nyeti.

Hatimae Kwa takriban miongo mitatu sasa athari iko wazi.

Watu wenye vipawa na uwezo ilimradi sio CCM walikosa kuajiriwa Kwa kigezo sio mwenzetu na hatimae maeneo nyeti yanayohitaji uwezo walipeyana wenyewe Kwa mnasaba Wa kujuana na kisiasa.

Kama taifa, tumepoteza vipawa na rasilimali zetu wenyewe.

Mfumo mzima Wa veting na usalama umeathiriwa na siasa. Siku hizi inatangulizwa siasa kisha kujuana na mwisho uwezo Wa kitaaluma na utendaji.

Walau muongo Wa kwanza Wa vyama vingi 1995 - 2005. Bado tulifaidi uchanga Wa siasa na uongozi Wa kitaifa. Vipawa vilipewa nafasi.

Kadiri siasa ilivyokuwa, ndivyo ufa Wa kupendeleana ulivyozidi na mfumo kuwatenga wengine.

Zanzibar ndio kuliathirika zaidi, na sasa bara nako kumefuata nyayo. Huwezi kuajiriwa sehemu nyeti Kama si mfuasi kindaki ndaki.

Maslahi ya taifa yanaharibiwa na siasa zetu.

Ni wakati sasa Wa kutazamwa hili na kuchukua hatua. Tanzania tutaachwa nyuma Kwa siasa mbaya.

Vijana wangapi Wa upinzani Kwa mfano wameachwa na hali wana uwezo Wa kulisaidia taifa?

Idara nyeti za mifumo ya nchi kumejazwa watu Wa itikadi za CCM na sio itikadi ya Utaifa.

Uajiri Wetu unahitaji mabadiliko. Hapo kuna ulazima Wa kubadilishwa Katiba yetu na mitaala yetu ya Elimu.

Tukubali itikadi ya Utaifa na Umoja Wa kitaifa Katika uonngozi Wa nchi ilk tuondoe ukada katika utendaji na kutumia vipawa vyetu Kwa maslahi ya Taifa.

Tusisubiri kujuta zaidi.

Mbinu za kuuwa upinzani au kushurutishwa kuunga mkono juhudi Ili kupata nafasi ya kutumia vipawa vyetu Ina gharama kubwa kuliko Kuwa na maridhiano ya kitaifa na kubadili Sera zetu.

Siasa sio uadui. Hatukujiandaa na vyama Vingi, Huo ni ukweli. Lakini tusiwe watumwa Wa siasa wakati tuna maelfu ya wasomi na wataalamu Wa kuondoa changamoto hii.

Miongo 3 ya kuendekeza chuki na ubinafsi inatosha.

Tanzania itajengwa na wote.

Kishada
Ili upate nafasi ya uongozi wa kisiasa Tanzania unapaswa kuwa mwanaccm ..hiki ndio kigezo kikuu vingine sio kivile
 
Unazungumzia ajira gani


Hizi za uteuzi au hizi za watendaji
...ninachojua ajira nyingi almost 80% hazina uhusiano na mambo ya chama
Walimu
Madoctor
Jeshi
Wahandisi n.k
Wote tunazingatia proffesionalism
Kote huko ulikokutaja, kadi ya CCM ina nguvu sana katika kula au kupanda kwenye vitengo fulani na hata kukutana na uteuzi unaotoka kwa rais
 
Kote huko ulikokutaja, kadi ya CCM ina nguvu sana katika kula au kupanda kwenye vitengo fulani na hata kukutana na uteuzi unaotoka kwa rais
Kumbe nilikuwa sijui inaweza ikawa kweli kuwa senior lazima uwe na card ila pia uwe na vigezo vya kisheria kwa mfano uwe na elimu....ndo hivo mifumo ipo kulindana nadhani ni duniani kote tu nchi nyingi
 
Kumbe nilikuwa sijui inaweza ikawa kweli kuwa senior lazima uwe na card ila pia uwe na vigezo vya kisheria kwa mfano uwe na elimu....ndo hivo mifumo ipo kulindana nadhani ni duniani kote tu nchi nyingi
Vigezo vinazingatiwa kwa kiasi chake ila kadi na utiifu kwa bosi (kuunga juhudi hata zikiwa si sahihi) vinangatiwa sana. Mtu hawezi tu kupewa uSIDIEFU, uAIJIPI n.k bila kuwa jina lake kuwepo Lumumba.
Watu wanasema Sabaya alikutwa na kadi feki, hakika nakwambia ingekuwa feki angesendiwa exile na asingeona uteuzi ila kwa kuwa ana kadi zote mbili geunue aliula.
 
Nazungumzia mfumo Wetu Wa uajiri na siasa zetu za vyama namna lilivyoathiri.
Ukweli ni kwamba tumeendekeza siasa ambapo chama kilichoshinda Iwe Kwa haki au mizengwe ndio kinaunda serikali na Kuwa na ushawishi kwenye Ajira zote nyeti.

Hatimae Kwa takriban miongo mitatu sasa athari iko wazi.

Watu wenye vipawa na uwezo ilimradi sio CCM walikosa kuajiriwa Kwa kigezo sio mwenzetu na hatimae maeneo nyeti yanayohitaji uwezo walipeyana wenyewe Kwa mnasaba Wa kujuana na kisiasa.

Kama taifa, tumepoteza vipawa na rasilimali zetu wenyewe.

Mfumo mzima Wa veting na usalama umeathiriwa na siasa. Siku hizi inatangulizwa siasa kisha kujuana na mwisho uwezo Wa kitaaluma na utendaji.

Walau muongo Wa kwanza Wa vyama vingi 1995 - 2005. Bado tulifaidi uchanga Wa siasa na uongozi Wa kitaifa. Vipawa vilipewa nafasi.

Kadiri siasa ilivyokuwa, ndivyo ufa Wa kupendeleana ulivyozidi na mfumo kuwatenga wengine.

Zanzibar ndio kuliathirika zaidi, na sasa bara nako kumefuata nyayo. Huwezi kuajiriwa sehemu nyeti Kama si mfuasi kindaki ndaki.

Maslahi ya taifa yanaharibiwa na siasa zetu.

Ni wakati sasa Wa kutazamwa hili na kuchukua hatua. Tanzania tutaachwa nyuma Kwa siasa mbaya.

Vijana wangapi Wa upinzani Kwa mfano wameachwa na hali wana uwezo Wa kulisaidia taifa?

Idara nyeti za mifumo ya nchi kumejazwa watu Wa itikadi za CCM na sio itikadi ya Utaifa.

Uajiri Wetu unahitaji mabadiliko. Hapo kuna ulazima Wa kubadilishwa Katiba yetu na mitaala yetu ya Elimu.

Tukubali itikadi ya Utaifa na Umoja Wa kitaifa Katika uonngozi Wa nchi ilk tuondoe ukada katika utendaji na kutumia vipawa vyetu Kwa maslahi ya Taifa.

Tusisubiri kujuta zaidi.

Mbinu za kuuwa upinzani au kushurutishwa kuunga mkono juhudi Ili kupata nafasi ya kutumia vipawa vyetu Ina gharama kubwa kuliko Kuwa na maridhiano ya kitaifa na kubadili Sera zetu.

Siasa sio uadui. Hatukujiandaa na vyama Vingi, Huo ni ukweli. Lakini tusiwe watumwa Wa siasa wakati tuna maelfu ya wasomi na wataalamu Wa kuondoa changamoto hii.

Miongo 3 ya kuendekeza chuki na ubinafsi inatosha.

Tanzania itajengwa na wote.

Kishada
Nafasi ya wakurugenzi wa wilaya (DED) unaenda kuwapa makada wajinga wajinga tu
 
Inaumiza sana kuona Chopa wa Mchopanga aliyekuwa mtoro shuleni leo ananiongoza kama mkuu wa wilaya.

Mm niliyesifika shuleni na wilaya nzima kwa uwezo wangu wa masomo naendesha bodaboda.
 
Kumbe nilikuwa sijui inaweza ikawa kweli kuwa senior lazima uwe na card ila pia uwe na vigezo vya kisheria kwa mfano uwe na elimu....ndo hivo mifumo ipo kulindana nadhani ni duniani kote tu nchi nyingi
Ukitaka kuelewa ninachomaanisha. Ni pale mteule au muajiriwa akiharibu namna anavyolindwa na mamlaka na sheria kutofuatwa. Katika hali hio Taifa linapata hasara kubwa.

Kuwajibishana hakuna kwa kulinda haiba ya Chama badala ya Taifa.

Tenda zote nyeti na maslahi wanapewa watu wa chama kwanza ndio wanafuata wengine.

Kuna shida sana jamani.
 
Nazungumzia mfumo Wetu wa uajiri na siasa zetu za vyama namna lilivyoathiri. Ukweli ni kwamba tumeendekeza siasa ambapo chama kilichoshinda Iwe Kwa haki au mizengwe ndio kinaunda serikali na Kuwa na ushawishi kwenye Ajira zote nyeti.

Hatimae kwa takriban miongo mitatu sasa athari iko wazi.

Watu wenye vipawa na uwezo ilimradi sio CCM walikosa kuajiriwa Kwa kigezo sio mwenzetu na hatimae maeneo nyeti yanayohitaji uwezo walipeyana wenyewe Kwa mnasaba Wa kujuana na kisiasa.

Kama taifa, tumepoteza vipawa na rasilimali zetu wenyewe.

Mfumo mzima Wa veting na usalama umeathiriwa na siasa. Siku hizi inatangulizwa siasa kisha kujuana na mwisho uwezo Wa kitaaluma na utendaji.

Walau muongo Wa kwanza Wa vyama vingi 1995 - 2005. Bado tulifaidi uchanga Wa siasa na uongozi Wa kitaifa. Vipawa vilipewa nafasi.

Kadiri siasa ilivyokuwa, ndivyo ufa Wa kupendeleana ulivyozidi na mfumo kuwatenga wengine.

Zanzibar ndio kuliathirika zaidi, na sasa bara nako kumefuata nyayo. Huwezi kuajiriwa sehemu nyeti Kama si mfuasi kindaki ndaki.

Maslahi ya taifa yanaharibiwa na siasa zetu.

Ni wakati sasa Wa kutazamwa hili na kuchukua hatua. Tanzania tutaachwa nyuma Kwa siasa mbaya.

Vijana wangapi Wa upinzani Kwa mfano wameachwa na hali wana uwezo Wa kulisaidia taifa?

Idara nyeti za mifumo ya nchi kumejazwa watu Wa itikadi za CCM na sio itikadi ya Utaifa.

Uajiri Wetu unahitaji mabadiliko. Hapo kuna ulazima Wa kubadilishwa Katiba yetu na mitaala yetu ya Elimu.

Tukubali itikadi ya Utaifa na Umoja Wa kitaifa Katika uonngozi Wa nchi ilk tuondoe ukada katika utendaji na kutumia vipawa vyetu Kwa maslahi ya Taifa.

Tusisubiri kujuta zaidi.

Mbinu za kuuwa upinzani au kushurutishwa kuunga mkono juhudi Ili kupata nafasi ya kutumia vipawa vyetu Ina gharama kubwa kuliko Kuwa na maridhiano ya kitaifa na kubadili Sera zetu.

Siasa sio uadui. Hatukujiandaa na vyama Vingi, Huo ni ukweli. Lakini tusiwe watumwa Wa siasa wakati tuna maelfu ya wasomi na wataalamu Wa kuondoa changamoto hii.

Miongo 3 ya kuendekeza chuki na ubinafsi inatosha.

Tanzania itajengwa na wote.

Kishada.
Katibu Mkuu kiongozi lazima awe na kadi na awe mwanachama hai....very sad
 
Vigezo vinazingatiwa kwa kiasi chake ila kadi na utiifu kwa bosi (kuunga juhudi hata zikiwa si sahihi) vinangatiwa sana. Mtu hawezi tu kupewa uSIDIEFU, uAIJIPI n.k bila kuwa jina lake kuwepo Lumumba.
Watu wanasema Sabaya alikutwa na kadi feki, hakika nakwambia ingekuwa feki angesendiwa exile na asingeona uteuzi ila kwa kuwa ana kadi zote mbili geunue aliula.
Kwakweli hapo ndipo kosa lilipo. Hata JPM asingetupelekesha kama mazombi kama IGP, CDF na DIGIS wangekuwa independent.
 
Kwakweli hapo ndipo kosa lilipo. Hata JPM asingetupelekesha kama mazombi kama IGP, CDF na DIGIS wangekuwa independent.
Tena tulitarajia idara nyeti ziwe ndio zinashauri vyema na wawe mfano. Lakini kuna wataalamu wanaachwa kwa kurukwa "hiarachy" ilimradi mamlaka inaona hawako pamoja kiitikadi hata kama hawana uwezo mzuri kuliko wengine na siasa ikishika nafasi.

Unashangaa mambo ya kuiabisha nchi yanavyotokea na ilihali tunao wataalamu kibao kwenye maeneo nyeti.

Siasa inawafunga mikono na midomo wataalamu wetu wachache waliobaki kwenye taasisi muhimu.

Waachwe wafanye kazi. Siasa imeua maendeleo yetu na kutengeneza Urasimu na kutowajibishana kwa hali ya kutisha.
 
Kwakweli hapo ndipo kosa lilipo. Hata JPM asingetupelekesha kama mazombi kama IGP, CDF na DIGIS wangekuwa independent.
Wangekuwa independent asingefanya kila kitu kwa interests zake ila sasa aliweza kufanya anachotaka kama vile kutishia kuwatandika shangazi zake na pm, kujenga uwanja wa ndege Chato, CRDB kujenga jengo lao kule bila kujali kuwa mzunguko wa pesa ni hamna pale, kununua ndege za kupaki kwa mabilioni .
Wataalamu walikuwa hawana la kushauri zaidi ya kuitikia anachosema. Kuna mmoja anaibuka baada ya jamaa kufariki ati "rais alishauriwa vibaya kuhusu suala la bandari ya Bagamoyo" hali huko nyuma alishangilia kusitishwa ujenzi wa bandari hiyo.
 
Back
Top Bottom