Kama kuna kosa Urusi walifanya ni kumuuzia Uturuki S400

Maana ya neno (ana karibu) hiki si kiswahili sanifu hivyo siwezi kujua maana yake pengine uliza kivingine.

Hakuna kiwanda ambacho Russia anacho Marekani hana nakataa prove me wrong buddy.
Marekani ananunua bidhaa moja tu iliyotengenezwa na kiwanda cha urusi nayo ni rockets engines, kingine anachochukua russia ni petroleum products.

Atamuuzia nini kingine ikiwa technology ya russia bado ni ya kizamani?
Soma zaidi

What goods does the U.S. get from Russia? - Quora
 
Why Aren't there any Russian Branded Mobiles In The Market

Nahisi Kwakizungu Changu Cha St Kayumba Nikwamba Kwanini Sokoni Hakuna Simu Ambazo Ni Brand Ya RUSSIA Ila Haijasema Kwa nini Russia Hawatengenezi Simu Ama Kwanini RUSSIA Hakuna Kiwanda Chakutengenezea Simu


Kwan Mada Ulianza Kuibishiaje MKUU Mbna Unajitoa Ufahamu[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani pamoja na hio teknolojia yake yazamani mbna bado anamuuzia hvyo anavyomuuzia ambavyo umevitaja

Ama hivyo anatengeneza kwa modern tech[emoji23][emoji23]

Unajua mnajikanyaga wenyewe hamueleweki kabisa yaani....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungesoma vizuri kuanzia mwanzo nadhani ungeelewa vyema.
Hoja ilikuwa Russia wana viwanda ambavyo America vipo nikakataa kuna viwanda kibao vipo hapa tu Minneapolis Russia havipo.

Yota mzee ilikuwepo waaaaaaay back nimemuuliza utam iko wapi haikuwahi kusambazwa kwa sababu chipsets zao ni old sasa aseme ziko wapi sasa hivi
 
Sijikanganyi Russia ana technology ya zamani sana kwenye mambo mengine despite Rockets engines.
 
Nobody wanted you to translate it, ingia usome alafu ukutane na facts tupu
 
J
Unafafanua vizuri Sana Bwana Utamu,naamini jamaa anakuelewa vizuri Sana,pengine anakwepesha hoja hiyo kwa sababu anazozijua yeye.
Hata mm nimelihisi hilo maana nimekua wazi kilasehemu nawala sijaegemea popotepale sasa nashangaa jamaa cjui anakwamia wapi

Ilapia nimehisi yakwamba jamaa ananichora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narudia tena ishu sio uold ama u new ishu nikwamba wanazo ama wanayo suala mengne wanayajua wenyewe nalamasoko kadhalika ila mhimu wanayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…