Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe

Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe

pamoja na maelezo yote hayo, bado kuna wapumbavu watakupinga bila sababu za msingi.

kila siku huwa tunasema humu hii dunia si sehemu salama kabisa, maana kuna baazi ya watu wanafanya kila njia waweze kuicontrol dunia ktk kila nyanja za uchumi, siasa, na kijamii.

na hawa watu wako ktk makundi mengi ya siri na yasiyo ya siri, na mipango yao hufanya kimikakati zaid na ubobevu mkubwa il kuleta matokeo chanya.

na yeyote yule anayekwamisha jitihada zao, humfanya kuwa adui wa dunia, kwa kumfanya aonekane mpinzan na mtu wa ajabu anaefanya mambo ya tofaut na wafanyavyo watu wengine dunian(mfano ni nchi ya North korea) hapa nazan mnaelewa, pia kuna mifano mingi sana ambayo hakuna haja kuongea.

viongoz wetu wa serkal wanajua haya ndiomaana wanafanya kila wawezalo kujiungamanisha na harakati za hao mabwana wa dunia, ili nchi zetu masikini zibaki salama kwa kuofia kutengwa na dunia, ama kushughurikiwa.

kwa bahat mbaya hakuna mtetezi pale unapojitahidi kupinga hizo harakat za hao mabwana, maana wamejichimbia miziz ktk kila kitu, kuanzia dini, uchumi, elimu na mengineyo,

unapojarbu kuhoji ama kuwachallenge bas ujue litakalo kukuta si zuri yaan mpaka wananchi wako unaowapigania watakusariti kwa kuamin kuwa haupo sahih, kumbe unawapigania wao, na hil mmeona hata ktk nchi yetu jinsi kundi la vilaza fulan walpompinga yule bwana aliesisitiza tujifukize na tukatae madawa yasiyo na uwakika wa tiba, alionekana mjinga kumbe ukwel uko wazi,

mambo haya si yakidini, lkn inashangaza wapuuzi wachache wanapoyahusianisha na dini zao, yaan ukiongelea suala la NWO kuna mitumwa ya akili inakuja kukutusi kuwa wew msabato mala nani sjui unaongelea conspiracy theories, kumbe ndyo ukwel wenyw.

jamii ya watu weusi inahitaj ukomboz mkubwa wa kifikra ili ikubali kujuwa jinsi gani ulimwengu unavyokwenda.

WE ARE NOT SAFE
 
Ebu niambieni nielewe. Hivi hiyo New World Order (NWO),dunia moja Serikali moja,ikija kuna tatizo?,kivipi?.
hakuna tatizo, lkn tatzo ni pale unapojarbu kupinga harakat ambazo wengi wa walioziandaa wamechoma muda wao na rasilimali zao kufikia hapo alafu wew uwapinge..chamoto utakipata
 
Wasabato mna hofu na 'kumtukuza' shetani (Freemasons) kuliko Mwenyezi Mungu. Ukimuamini Mungu kuwa mlinzi na mlezi haotokuwa na hofu ya viumbe vyengine alivyoumba.
jiheshimu basi, si kila aneongerea habar hizi ni msabato, yapo mambo ambayo yanafanyika dunian nje ya utaratibu wa asili, na yanapokemewa na watu, haimaanish wanaoyakemea ni wafuasi wa kundi fulan la imani, mbona iko wazi hata hao wasabato wana madhaifu yao ambayo wanatakiwa kuunganishwa na sehemu ya uharibifu wa asili ya imani ya kwanza ya mtu.

jitahidi kuondoa chuki zakipumbavu
 
pamoja na maelezo yote hayo, bado kuna wapumbavu watakupinga bila sababu za msingi.

kila siku huwa tunasema humu hii dunia si sehemu salama kabisa, maana kuna baazi ya watu wanafanya kila njia waweze kuicontrol dunia ktk kila nyanja za uchumi, siasa, na kijamii.

na hawa watu wako ktk makundi mengi ya siri na yasiyo ya siri, na mipango yao hufanya kimikakati zaid na ubobevu mkubwa il kuleta matokeo chanya.

na yeyote yule anayekwamisha jitihada zao, humfanya kuwa adui wa dunia, kwa kumfanya aonekane mpinzan na mtu wa ajabu anaefanya mambo ya tofaut na wafanyavyo watu wengine dunian(mfano ni nchi ya North korea) hapa nazan mnaelewa, pia kuna mifano mingi sana ambayo hakuna haja kuongea.

viongoz wetu wa serkal wanajua haya ndiomaana wanafanya kila wawezalo kujiungamanisha na harakati za hao mabwana wa dunia, ili nchi zetu masikini zibaki salama kwa kuofia kutengwa na dunia, ama kushughurikiwa.

kwa bahat mbaya hakuna mtetezi pale unapojitahidi kupinga hizo harakat za hao mabwana, maana wamejichimbia miziz ktk kila kitu, kuanzia dini, uchumi, elimu na mengineyo,

unapojarbu kuhoji ama kuwachallenge bas ujue litakalo kukuta si zuri yaan mpaka wananchi wako unaowapigania watakusariti kwa kuamin kuwa haupo sahih, kumbe unawapigania wao, na hil mmeona hata ktk nchi yetu jinsi kundi la vilaza fulan walpompinga yule bwana aliesisitiza tujifukize na tukatae madawa yasiyo na uwakika wa tiba, alionekana mjinga kumbe ukwel uko wazi,

mambo haya si yakidini, lkn inashangaza wapuuzi wachache wanapoyahusianisha na dini zao, yaan ukiongelea suala la NWO kuna mitumwa ya akili inakuja kukutusi kuwa wew msabato mala nani sjui unaongelea conspiracy theories, kumbe ndyo ukwel wenyw.

jamii ya watu weusi inahitaj ukomboz mkubwa wa kifikra ili ikubali kujuwa jinsi gani ulimwengu unavyokwenda.

WE ARE NOT SAFE
Ndio maana tunataka tuhamie Mars
 
Mimi ninafikiri tutakuwa bora zaidi,maana tutakuwa tu raia wa dunia badala ya mipaka ya Nchi na nchi.
kila jambo lina ubaya na uzur wake, ubaya wake ni kama wew ulkuwa mfuasi wa dini yaan unaamini ktk Mungu, utaliona baya suala la NWO maana litakuwa likienda kinyume na sheria za dini, mfano uhuru wa kijinsia yaan mashoga na wasagaj kufanya uchaf wao adharan na kupewa heshima, pia utoaji mimba, uhalibifu wa asili ya utu, yaan uzalishaji wa viumbe wapya wafananao na watu ambao watakuwa bora zaid ikiwezekana kumtawala mtu, haya yote kidini hayapo sawa, lkn kisayansi na kwa itikadi za maendeleo ya utandawazi kwao ni bora, kwahyo uchaguzi ni wakwako kupenda ama kutopenda
 
Mkuu bandiko fikirishi kabisa.....

Hivi umeshawahi kufikiri kuwa NCHI ZA KIKOMUNISTI(Russian camp) na NCHI ZA KIBEPARI(American camp) wote ni kitu kimoja tu katika ile THESIS + ANTI-THESIS= SYNTHESIS?!!!

Kwa muktadha huo ni kuwa aliyeumba mbingu na ardhi ana taarifa zote na mwisho atabaki kuwa mshindi irrespective ya UADUI wote dhidi ya UBINADAMU na wanyonge........


Yetzer ha-tov
 
kila jambo lina ubaya na uzur wake, ubaya wake ni kama wew ulkuwa mfuasi wa dini yaan unaamini ktk Mungu, utaliona baya suala la NWO maana litakuwa likienda kinyume na sheria za dini, mfano uhuru wa kijinsia yaan mashoga na wasagaj kufanya uchaf wao adharan na kupewa heshima, pia utoaji mimba, uhalibifu wa asili ya utu, yaan uzalishaji wa viumbe wapya wafananao na watu ambao watakuwa bora zaid ikiwezekana kumtawala mtu, haya yote kidini hayapo sawa, lkn kisayansi na kwa itikadi za maendeleo ya utandawazi kwao ni bora, kwahyo uchaguzi ni wakwako kupenda ama kutopenda
Ndio watu wajue kuwa Maisha ni dynamic sio tu unashikilia kitu kimoja mpaka mwisho. Vitu kama dini sio tena the only way of life.Dini zilikuja zikafanya kazi yake watu wame move on.Dunia inabadilika lazima tubadilike la sivyo dunia itakuwa chungu kweli.
 
kila jambo lina ubaya na uzur wake, ubaya wake ni kama wew ulkuwa mfuasi wa dini yaan unaamini ktk Mungu, utaliona baya suala la NWO maana litakuwa likienda kinyume na sheria za dini, mfano uhuru wa kijinsia yaan mashoga na wasagaj kufanya uchaf wao adharan na kupewa heshima, pia utoaji mimba, uhalibifu wa asili ya utu, yaan uzalishaji wa viumbe wapya wafananao na watu ambao watakuwa bora zaid ikiwezekana kumtawala mtu, haya yote kidini hayapo sawa, lkn kisayansi na kwa itikadi za maendeleo ya utandawazi kwao ni bora, kwahyo uchaguzi ni wakwako kupenda ama kutopenda
Sayansi haina kosa lolote.....ikiwa sayansi ni miongoni mwa nyenzo za mwanadamu kuwa bora na kutoathiri UALISIA WAKE NA KIZAZI CHAKE haina kosa....kinyume chake ndipo ilipo hoja.........
 
Mkuu bandiko fikirishi kabisa.....

Hivi umeshawahi kufikiri kuwa NCHI ZA KIKOMUNISTI(Russian camp) na NCHI ZA KIBEPARI(American camp) wote ni kitu kimoja tu katika ile THESIS + ANTI-THESIS= SYNTHESIS?!!!

Kwa muktadha huo ni kuwa aliyeumba mbingu na ardhi ana taarifa zote na mwisho atabaki kuwa mshindi irrespective ya UADUI wote dhidi ya UBINADAMU na wanyonge........


Yetzer ha-tov
Hakuna anaye panga uadui dhidi ya yeyote ni propaganda tu.
 
Ndio watu wajue kuwa Maisha ni dynamic sio tu unashikilia kitu kimoja mpaka mwisho. Vitu kama dini sio tena the only way of life.Dini zilikuja zikafanya kazi yake watu wame move on.Dunia inabadilika lazima tubadilike la sivyo dunia itakuwa chungu kweli.
dini ni mipango ya watu wachache kuichanganya dunia, masuala ya kuungua moto jehanamu hayapo, lkn mwsho wa dunia upo, na utakuwepo pale masters wawil watakapo jichukulia wafuasi wao kulingana na machaguo ya maisha ya hawa wafuasi(watu) masters hawa ni wale ambao wametajwa na vitabu vya dini ambao ni shetan yaan mmiliki wa technologia za dunia, na master wa pili ni Muumba wa dunia, huyu atajichukulia wafuas wake ambao waligoma kuvunja sheria za uumbaji na kuamua kwenda sawa na sheria zake, na kwakuwa huyu master Muumbaji ana nguvu kulko huyo master mdogo(shetan) basi atamfukuza yeye na wafuasi wake hapa dunian na kuwapeleka ulimwengu mwingine wa usahaulifu ambao utakuwa ndyo makaz mapya ya hawo wasariti wake, na hawa waliomfuata watapewa umilik wa makazi ya dunia na kupewa nguvu za kuish milele..

elimu hii hutopata kihurahisi kama akili yako imeshikiliwa na dini
 
Sayansi haina kosa lolote.....ikiwa sayansi ni miongoni mwa nyenzo za mwanadamu kuwa bora na kutoathiri UALISIA WAKE NA KIZAZI CHAKE haina kosa....kinyume chake ndipo ilipo hoja.........
inakuwa mbaya pale itumikavyo vibaya, mfano utengenezaj wa siraha za kuwadhuru watu na mazingira, hayo ni matumiz mabaya ya sayans
 
Documents/miswada hii ndio inataka kuubadili ulimwengu
-The new Green Deal
-Laodato Si
-Lumen Fidei
-Flatelli Tuti
-Paris Agreement

Kupitia Climate Change watu wataabudu nature-(nature worship)

Kuna hati za dharura (Covid emergence )Kama rehearsal na (Climate Change Emergence) is the real issue.

Makuhani wa dini hii mpya ni wanasayansi na wanasiasa

Climate Change emeregence itakuwa na one day lock down/out of work.Kuzuia viwanda na maduka yasio ya huduma za msingi kufungwa.ili kupunguza Carbon
Soma hii katika Laodato Si document ambayo wale maaskofu 120 wanaenda kujadili (ref Mwananchi Newspaper)
Hakika hapa mmekutana mazuzu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Vatican ndio kiongozi hasa,muwezeshaji mkuu akiwa US,ikifuatiwa na Britain,Germany,Urusi na China.Wengine wanaburuzwa tu.Usipokuwa mdadisi unaweza kudhani kwamba Urusi na China hawahusiki,lakini hizi ni harakati tu za kuihadaa Dunia na Wanadamu.
Of course lazima kuwe na Order vinginevyo ni vurugu.
 
Back
Top Bottom