Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
Yupo Dada anahitaji nafasi ya kazi za ndani .
Yupo Dar DSM
Kuhusu yeye
Ana age 18
Darasa la saba
Anatoka Mtwara vijijini
Dini yake Muslim.
Uzoefu kazini ni miaka miwili amelea mtoto alikuwa Zanzibar
Taarifa zake kuhusu boss wake wa zamani zipo pia
Familia yake ipo na unaweza wasiliana nao moja Kwa moja.
Mshahara ambao angependa alipwe uwe kati ya 100K au at least 90K
Mimi sio dalali Ila ukija mchukua ukaniachia hela ya maji na hii weekend utakuwa umetisha Sana .
Utanipm
Yupo Dar DSM
Kuhusu yeye
Ana age 18
Darasa la saba
Anatoka Mtwara vijijini
Dini yake Muslim.
Uzoefu kazini ni miaka miwili amelea mtoto alikuwa Zanzibar
Taarifa zake kuhusu boss wake wa zamani zipo pia
Familia yake ipo na unaweza wasiliana nao moja Kwa moja.
Mshahara ambao angependa alipwe uwe kati ya 100K au at least 90K
Mimi sio dalali Ila ukija mchukua ukaniachia hela ya maji na hii weekend utakuwa umetisha Sana .
Utanipm