Kama kuna mtu kachukua pesa za watu huko CHADEMA uchaguzi umeisha kwisha rudisha .

Kama kuna mtu kachukua pesa za watu huko CHADEMA uchaguzi umeisha kwisha rudisha .

We tulia mkuu, Mbowe hawezi kosa wapambe, wajumbe wa mkutano mkuu ni 1000 na ,alafu unatishwa na vitu vidogo mkuu.
Ila wawe makini kwa ajili ya uhai wa chama chao, wawe makini na system, isije kuwa wanapiganishwa ili end of the day Chama kitakuwa kama NCCR Mageuzi au Cuf.
Mimi na washauri wajitoe wote wawili, kisha waende na Heche au Lema nafasi ya uenyekiti, maana hawa wawili wote system inawatumia kwa ajili ya kwenda kukiua chama chao
 
Mkuu labda Humjui Mbowe...

Le Don

Una maana huyu?

IMG_20250103_065623.jpg
 
Achana na wapashkuna wa X mkuu

Kuna Maria ana account 40 X na zote zinaendesha propaganda zake...

Hatuoo kwenye harakati za kudai uhuru , CDM ni chama cha siasa

Maria kahusika vipi hapo ndugu?

Kulikoni kupambana na watu badala ya hoja?
 
Aiseee watu wanajua ku plan mambo,
Umenikumbusha kipindi kile cha Hayati Lowasa 2015.
Ila hawa mafahari wawili wawe makini sana kwa ajili ya uhai na mustakabali wa chama chao.
Je baada ya uchaguzi mfano Lissu akatae matokeo au Mbowe akatae matokeo kitakachotea ni nini kwa chama chao?
Kwa mustakabali mzuri wa chama ni bora lissu ashinde mbowe ashindwe!.
Mbowe akishinda hasara kwa chama ni nyingi na endelevu kuliko lissu akishinda!!.
Mbowe akitetea nafasi yake mipango & mikakati yake kupambana na ccm ni ileile tu hakuna jipya, so chama kitaendelea kufubaa!.
Lissu akishinda kwakuwa anaingia kwa mara ya kwanza atakuja na mipango mipya, chama kitafufuka...upya wake itakuwa hamasa kwa wanachama na wananchi kote nchini!!.
KIngine, endapo mbowe atashinda tena...wanachadema wengi wapenda mabadiliko watakisusia chama...tofauti na akishinda lissu!!.
Mbowe pia kwasasa hasa awamu hii ya samia anayo makandokando mengi, labda pia ndio maana wana ccm wengi wanataka atetee tena kiti chake!
Kwakweli kama wajumbe mkutano mkuu wanakipenda chama zaidi kuliko mtu, tarehe 21 waende wakamthibitishe lissu kuwa mwenyekiti mpya kwa kura za kishondo!!.
 
Brother i know people .. TL ana washabiki nje ya game..ndan ya pitch hana connection na ndicho FAM anapomchapia
Muandishi uchwara yeriko nyerere amewaingiza chaka wengi 😁😁😁😁
 
Mbowe kama yuko serious lisu atafute chama tu.
 
Nafuu ya Adui wa zamani na anaefahamika (Mbowe) kuliko adui mpya (TL). hii ni kauli ya Wana CCM
 
Kwa mustakabali mzuri wa chama ni bora lissu ashinde mbowe ashindwe!.
Mbowe akishinda hasara kwa chama ni nyingi na endelevu kuliko lissu akishinda!!.
Mbowe akitetea nafasi yake mipango & mikakati yake kupambana na ccm ni ileile tu hakuna jipya, so chama kitaendelea kufubaa!.
Lissu akishinda kwakuwa anaingia kwa mara ya kwanza atakuja na mipango mipya, chama kitafufuka...upya wake itakuwa hamasa kwa wanachama na wananchi kote nchini!!.
KIngine, endapo mbowe atashinda tena...wanachadema wengi wapenda mabadiliko watakisusia chama...tofauti na akishinda lissu!!.
Mbowe pia kwasasa hasa awamu hii ya samia anayo makandokando mengi, labda pia ndio maana wana ccm wengi wanataka atetee tena kiti chake!
Kwakweli kama wajumbe mkutano mkuu wanakipenda chama zaidi kuliko mtu, tarehe 21 waende wakamthibitishe lissu kuwa mwenyekiti mpya kwa kura za kishondo!!.
Sawa vizuri, wajumbe waamue kwa hekima na busara, wasimamizi wa uchaguzi watende haki na kuisimamia,
Wazee wa chama waongee na wagombea mapema kukubali matokeo na baada ya kutangazwa mshindi, aliyeshindwa akubali kuvunja Team yake na kuungana na mshindi kwa ajili ya masilahi ya chama na taifa, kinyume na hapo ni baada ya uchaguzi chama kuzidi kudhoofika.
 
Kazi ya uchaguzi wa ndani ya chadema imeishaisha, onyo nimetoa tiyari ,ila pia naiona kazi ya uchaguzi mkuu inaenda kuisha mapema sana.

Shusheni mabasi
Shusheni baiskeli
Shusheni pikipiki
Shusheni meli vyote vikiandikwa kaziiendelee ,ila mwaka huu ccm mmekwisha
 
Back
Top Bottom