MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Waende kwa Tahadhari zote huko Tanga Alhamisi na Arusha Jumapili kwani kwa Umafia ambao umefanyika huenda Wiki hii ikiwa Ngumu Kwao kwa Michezo yao. Nawaonea sana Huruma Kocha Kaze, Boss wa GSM Hersi na Mwenyekiti Msola.
Kwa yaliyofanywa huko Watu watauwana.
Hakuna shida,yanga wako prepared sawasawa,kwa kila kituWaende kwa Tahadhari zote huko Tanga Alhamisi na Arusha Jumapili kwani kwa Umafia ambao umefanyika huenda Wiki hii ikiwa Ngumu Kwao kwa Michezo yao. Nawaonea sana Huruma Kocha Kaze, Boss wa GSM Hersi na Mwenyekiti Msola.
Kwa yaliyofanywa huko Watu watauwana.
wewe genta acha kubwabwaja... Maliza yako kwanzaWaende kwa Tahadhari zote huko Tanga Alhamisi na Arusha Jumapili kwani kwa Umafia ambao umefanyika huenda Wiki hii ikiwa Ngumu Kwao kwa Michezo yao. Nawaonea sana Huruma Kocha Kaze, Boss wa GSM Hersi na Mwenyekiti Msola.
Kwa yaliyofanywa huko Watu watauwana.
We Utopolo mbona unapata tabu Sana, ulikuja na gazeti hapa kabla ya mechi ya Simba na Al Ahly kuwa Simba atafungwa Kwa kivuli cha kujifanya mwana Simba Leo tena mapaja wazi unadai Yanga wamefanyiwa umafia, hivi kila mtu akiamua kuanzisha Uzi humu ata kama wa kipuuzi kama wako itakuaje?Waende kwa Tahadhari zote huko Tanga Alhamisi na Arusha Jumapili kwani kwa Umafia ambao umefanyika huenda Wiki hii ikiwa Ngumu Kwao kwa Michezo yao. Nawaonea sana Huruma Kocha Kaze, Boss wa GSM Hersi na Mwenyekiti Msola.
Kwa yaliyofanywa huko Watu watauwana.
Uko sahihi kbs wasifocus na kelele za mashabiki au manungunikowacheze mpiya wa ache kulialia
Ligi idode kwa sababu ya utopolo? Viongozi wenyewe njaa kama Sudan ya kusini hamna uwezo wa kujitoa nyie.La muhimu acheni mpira uchezwe uwanjani.
Tukishinda tushinde kwa haki.
Tukishindwa tushindwe kwa haki.
Siyo kuwapa maelekezo maalum waamuzi.
Mkiendeleza yale maamuzi yenu elekezi tunajiondoa kwenye mashindano, kisha tuone kama ligi haijadoda.
Halafu mnawapeleka wapi akina sarpong mkijitoa?[emoji2957][emoji2957]La muhimu acheni mpira uchezwe uwanjani.
Tukishinda tushinde kwa haki.
Tukishindwa tushindwe kwa haki.
Siyo kuwapa maelekezo maalum waamuzi.
Mkiendeleza yale maamuzi yenu elekezi tunajiondoa kwenye mashindano, kisha tuone kama ligi haijadoda.
pira tanga raha hakuna maudhiPila wali nazi.
Pila mahaba.
Pila wajaleo wenda kesho.
Costal Union tuko pamoja.
Hakuna binadamu anayetamani kuwa kima hata siku moja. Vidimbwi mtateseka sana mwaka huu na Tanga mnaenda kukeketwa mchana kweupeeeeee kudadadeqKuna kila dalili siku si nyingi mashabiki wengi wa mbumbumbu fc wakajikuta wanahamia Timu ya Wananchi! Haiwezekani kutwa wanaanzisha nyuzi za kuiongelea Timu ya Wananchi tu!
Ni aghalabu kuwakuta wanaanzisha nyuzi za kuijadili timu yao, na hasa kwenye mapungufu! Mbaya zaidi atokee mchambuzi wa watu na kuikosoa hiyo timu yao, basi watamshambulia kweli kweli! Badala ya kuyakubali madhaifu yao na kuyafanyia kazi.
Mbumbumbu fc, mnakosea wapi kwani?