Kama kuna Wiki Ngumu kwa Yanga SC basi ni hii kwani tayari Umafia umeshamalizwa huko Tanga Alhamisi na Arusha Jumapili

Kama ningekuwa kiongozi wa Yanga ningewaambia wachezaji wa Yanga na benchi lao la ufundi twendeni Tanga tukapambane ili tupate matokeo uwanjani na waachane kabisa na hizi habari kuwa wanaonewa au sijui kuna watu wametia mkono kwenye mechi zao kwani zinaharibu morali na saikolojia ya wachezaji. Hayo mambo ya nje ya uwanja ni jukumu la viongozi na haliwahusu wachezaji "full stop".
 
A very good prophecy!!!!!!
 
Nimeamini mpira wa Tz unachezwa nje ya uwanja

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Hapa JF kuna watu 'wanajua' mambo mengi sana ya nyuma ya pazia,ila watu 'wasiojua' huingiza ubishi mwingi sana wanapoelezwa kuhusu mambo.(Mfano:kuna watu wakiambiwa kwamba uchawi upo kwenye maisha ya kawaida na kwenye soka,utashangaa mpuuzi mmoja anajitokeza na kusema "hayo mambo hayapo!na yangekuwepo basi sisi Tanzania tungelibeba Kombe la Dunia zamani sana", sasa mjinga kama huyu anayejitia ujuaji unabaki unamchora,ila baadae anakuja kuona matokeo yake).

Nikuulize swali Mkuu:ulishawahi kufatilia nyuzi nyingi za huyu mtoa post hasa kwenye soka letu?

Mimi nilishamwelewa zamani mno,Kuanzia ile mechi ya Simba vs Nkana na kuendelea hadi leo,threads zake huwa zinaleta matokeo aliyotabiri.Labda ya juzi ya Simba vs Al Ahly aliyosema itaisha kwa droo ndo alibugi kidogo.
 
A very good prophecy!!!!!!
Kuna Watu huwa mnanipuuza na kudhani natania mkisahau kuwa wengine ni Mitume wachache tuliopo hapa duniani.

98% ya yale ambayo huwa nayasema na nayaleta hapa JF huwa ni sahihi ( kweli ) kabisa kama hili nililolisema.

Taratibu tu mtanielewa vyema All - Rounder na nichukue nafasi hii kuwataka wale ambao hupenda Kunidhihaki waje tena Kunidhaki ila nimebarikiwa Maono.
 
Endeleeni Kunidharau na Kutoniamini ila Mimi ndiyo All - Rounder alias ( a.k.a ) Brainiac. Nimeshaingia Mkoani Arusha na Wembe ni ule ule Jumapili Mtu Mzima anaenda Kuziacha Alama ( Points ) Tatu hapa na akiponapona sana basi ataambulia Alama ( Point ) Moja tu. Nikipatiwa Nyoka Mweusi na Njiwa Rangi Nyeusi Yanga SC watanitambua tena hiyo Jumapili. Kazi ya Leo nilishaimaliza tokea Juzi Jumanne na ndiyo maana nilianzisha Uzi nikijiamini kabisa kuwa Yanga SC Leo ama anafungwa au anapata Sare ila hashindi na imekuwa hivyo hivyo.
 
pale hakuna team ni upofu wa watanzania wachache kuaminishana eti yanga itachukua ubingwa kwa mpira gani wa kuchukua ubingwa?team dak ya 70 inataka matokeo lakini bado yabutua butua tu mpira eti inategemea cross,cross si sawa na sandakalawe mwenye kupata apate hakuna mipango yoyote ya kutafta goli bali ni papatu papatu
 
Shirki hii duuhh
 
Mmmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…