SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Arusha ndiyo wanaenda kupulizwa kinyamaMpira ni mchezo wa wazi,hata ukihujumiwa kama una timu nzuri utashinda.Jana Yanga kajiharishia Tanga mpira kacheza mbovu kupindukia sijui ya Arusha inaweza kuwa mbaya zaidi
Tumebebwa sana huu ndio uwezo wetuDraw tena[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Basi jamaa kama ni mbashiri mzuri awe anatupa mikeka tushinde betHapa JF kuna watu 'wanajua' mambo mengi sana ya nyuma ya pazia,ila watu 'wasiojua' huingiza ubishi mwingi sana wanapoelezwa kuhusu mambo.(Mfano:kuna watu wakiambiwa kwamba uchawi upo kwenye maisha ya kawaida na kwenye soka,utashangaa mpuuzi mmoja anajitokeza na kusema "hayo mambo hayapo!na yangekuwepo basi sisi Tanzania tungelibeba Kombe la Dunia zamani sana", sasa mjinga kama huyu anayejitia ujuaji unabaki unamchora,ila baadae anakuja kuona matokeo yake).
Nikuulize swali Mkuu:ulishawahi kufatilia nyuzi nyingi za huyu mtoa post hasa kwenye soka letu?
Mimi nilishamwelewa zamani mno,Kuanzia ile mechi ya Simba vs Nkana na kuendelea hadi leo,threads zake huwa zinaleta matokeo aliyotabiri.Labda ya juzi ya Simba vs Al Ahly aliyosema itaisha kwa droo ndo alibugi kidogo.
ulionena hatimaye yametimiaWaende kwa Tahadhari zote huko Tanga Alhamisi na Arusha Jumapili kwani kwa Umafia ambao umefanyika huenda Wiki hii ikiwa Ngumu Kwao kwa Michezo yao. Nawaonea sana Huruma Kocha Kaze, Boss wa GSM Hersi na Mwenyekiti Msola.
Kwa yaliyofanywa huko Watu watauwana.
Dozi hii mujarabu itakuwa imemtosha kibaravumba
@Gentamycin in another facePumbavu huna unachokijua na kaa Kimya wenye Kuujua vyema Mpira wa Bongo na Fitina zake tukuambie sawa? Hakuna Soka ninalolijua na nalishiriki sana hadi katika Umafia wake ( hasa nje ya Uwanja ) kama hili la Bongo.
90% ya Wachezaji wa Timu Tatu Kubwa za Tanzania Azam, Simba na Yanga ni Wanangu ( Marafiki ) zangu Wakubwa tu na wengine nimecheza nao na walikuwa wakiniona wakiwa wadogo katika Ligi za chini na Kati.
Kinachoikumba Yanga SC hivi sasa chukua hii kutoka Kwangu ni kwamba Wachezaji wamepunguziwa Posho zao huku wengine wakikopwa Mishahara yao. GSM kapunguza Huduma kwakuwa Mauzo yake ya Jezi kapata Hasara na Kapigwa mno na Mawakala Wajanja wa huko Mikoani.
Kuna Fukuto Kubwa baina ya Uongozi wa Yanga SC chini ya Mwenyekiti Msola na Wadhamini wao Waandamizi akina GSM, Sports Pesa na Taifa Gas na kuna Mmoja hapo muda si mrefu atajitoa kwani anaona hapati Mileage ya kutosha na kwamba anayetajwa ni Mmoja tu GSM.
Kuna Chuki Kubwa imeingia baina ya Wachezaji wazawa wa Yanga SC na wale wa Kigeni. Wazawa wanalalamika kuwa Wageni wanapewa Vipaumbele na GSM katika VIP Treatment kuliko Wao wakati hawana hata Mchango wowote katika Timu huku wakilipwa Pesa nyingi.
Mamluki ndani ya Uongozi wa Yanga SC hadi kwa GSM wenyewe ambapo kuna Watu ndani ya Klabu ya Yanga wanadhaniwa kuwa ni Wana Yanga SC Kindakindaki lakini kumbe ndiyo Mafia kutokea upande wa Pili ( kwa Maadui zao ) ndiyo wanawamaliza na Binafsi All - Rounder nawajua in and out ila kwakuwa wapo huko Yanga SC kwa KAZI MAALUM wala siwataji mpaka wakamilishe Jukumu la Kimafia walilopewa.
Kuna Waganga Wawili wa Yanga SC ambao waliwasaidia mno Kipindi Cha nyuma Mmoja kutoka Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Mkoa wa Rukwa na mwingine Kanda ya Ziwa Mkoa wa Mwanza Yanga SC wamewadhulumu Pesa zao hivyo nao walichokifanya ni Kuwamaliza ( Kuwaumiza ) Kiushirikina Wachezaji wao Waandamizi ( Tegemezi ) kama akina Saido, Sarpong na Carlinhos na kuleta Mfarakano baina ya Wachezaji na hili wamefanikiwa sana tu.
Wachezaji wa Yanga SC hawakupenda kabisa Kuondoka kwa Kocha wao Msaidizi na Kipenzi Juma Mwambusi kwani wanasema nje ya Kuwafundisha na Kuwaelekeza vyema ila alikuwa ni Mtu wa Kuwapigania mno Maslahi yao kwa Uongozi tofauti na Kocha Mkuu Kaze na Msaidizi wake Goigoi Nizar Khalfan. Mwambusi hakuondoka vizuri Yanga SC na ilitumika Nguvu kubwa sana ya Kipesa na Kiushawishi ili Kumtuliza na asiweze kusema ya ndani katika Media ila tuliobarikiwa Kufukunyua Mambo ya ndani kwa Mbinu zetu tumejua na ndiyo maana wala hatushangai Form ya Yanga SC Kushuka na kuanza Kufanya vibaya kama Jana huko Mkoani Tanga mbele ya Coastal Union FC.
Haya kwa sasa faidika na niliyokueleza.
Na huyo ndiyo All - Rounder Ndugu ( alias ) Brainiac na sijawahi Kuja na Maono yangu pamoja na Critical Observations zangu JF 99% zisiwe Kweli.ulionena hatimaye yametimia
Na huyo ndiyo All - Rounder Ndugu ( alias ) Brainiac na sijawahi Kuja na Maono yangu pamoja na Critical Observations zangu JF 99% zisiwe Kweli.Wewe jamaa wa huu uzi hufai, yote uliyosema yametimia.
Na huyo ndiyo All - Rounder Ndugu ( alias ) Brainiac na sijawahi Kuja na Maono yangu pamoja na Critical Observations zangu JF 99% zisiwe Kweli.Mwenye uzi wako huko uliko agiza kinywaji nitumie bill.
Unatisha
Hivi huyu Jamaa ni nani hapa JamiiForums? Kwanini anatajwatajwa mno na hii ID yake kuhusishwa na Mimi? Jamaa atakuwa na Nyota Kali sana tu.Sasa najiridhisha kuwa wewe ni GENTAMYCINE πππ