Kama kuna zuio la kuingiza mafuta ya kula kutoka nje, Tunaomba liondolewe wananchi tutakufa jamani

Kama kuna zuio la kuingiza mafuta ya kula kutoka nje, Tunaomba liondolewe wananchi tutakufa jamani

Hii nchi ukiwa na akili ni ngumu sana kuishi
Nadhani kuna zuio la kuingiza mafuta kutoka nje ya nchi jamani zuio hili kama lipo liondolewe

maana hali saivi ni hatari sio siri jana nimeuziwa mafuta ya kula lita moja 7500/= nimeshangaa sana, hivi mbona mambo yanakua magumu kiasi hiki,
sasaivi tumerudi enzi za kupika chakula bila mafuta Rais samia tuhurumie

kipindi cha nyuma mafuta yalikua yanatoka nje tuliyapata kwa bei nzuri sana, nakumbuka tulikua na mafuta ya mukwano toka uganda lita moja elfu tatu hadi 4000 lakini sasaivi baada ya zuio tunaelekea elfu nane lita moja

kuna watu wanajinufaisha na mazuio ya kuagiza vitu nje, tunapata shida sana huku wananchi wako

viwanda vya ndani vimeahindwa kazi bora tukanufaishe viwanda vya nje

hali ngumu ajira hakuna mishahara haipandi vitu bei juu dah
 
Nadhani kuna zuio la kuingiza mafuta kutoka nje ya nchi jamani zuio hili kama lipo liondolewe

maana hali saivi ni hatari sio siri jana nimeuziwa mafuta ya kula lita moja 7500/= nimeshangaa sana, hivi mbona mambo yanakua magumu kiasi hiki,
sasaivi tumerudi enzi za kupika chakula bila mafuta Rais samia tuhurumie

kipindi cha nyuma mafuta yalikua yanatoka nje tuliyapata kwa bei nzuri sana, nakumbuka tulikua na mafuta ya mukwano toka uganda lita moja elfu tatu hadi 4000 lakini sasaivi baada ya zuio tunaelekea elfu nane lita moja

kuna watu wanajinufaisha na mazuio ya kuagiza vitu nje, tunapata shida sana huku wananchi wako

viwanda vya ndani vimeahindwa kazi bora tukanufaishe viwanda vya nje

hali ngumu ajira hakuna mishahara haipandi vitu bei juu dah
Mi-5 tena !
 
Gwajima boy kwanini asitusaidie hili.Halima Mdee mungu anakuona.
 
Mkuu Zama singida kapige heka zako za kutosha za alizeti sisi wakulima tunafurahia mazao yanapopanda bei
 
Nadhani kuna zuio la kuingiza mafuta kutoka nje ya nchi jamani zuio hili kama lipo liondolewe

maana hali saivi ni hatari sio siri jana nimeuziwa mafuta ya kula lita moja 7500/= nimeshangaa sana, hivi mbona mambo yanakua magumu kiasi hiki,
sasaivi tumerudi enzi za kupika chakula bila mafuta Rais samia tuhurumie

kipindi cha nyuma mafuta yalikua yanatoka nje tuliyapata kwa bei nzuri sana, nakumbuka tulikua na mafuta ya mukwano toka uganda lita moja elfu tatu hadi 4000 lakini sasaivi baada ya zuio tunaelekea elfu nane lita moja

kuna watu wanajinufaisha na mazuio ya kuagiza vitu nje, tunapata shida sana huku wananchi wako

viwanda vya ndani vimeahindwa kazi bora tukanufaishe viwanda vya nje

hali ngumu ajira hakuna mishahara haipandi vitu bei juu dah
Hiyo ndio kulinda viwanda vya ndani. Hawa ndio wachumi wetu wanao hongwa PhD. Wana waza kwa kutumia makalio
 
Back
Top Bottom