Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,101
tena ma-CCM ndiyo yanaisoma namba kweli kweli…………………..
Tena mie nataka wale wa vijijini ambao wengi ndo huwa wanaipigia kura, waendelee kuisoma namba zaidi....tena ma-CCM ndiyo yanaisoma namba kweli kweli…………………..
Tulikuwa tunaita "chukuchuku" wakati wa Nyerere.tumerudi enzi za kupika chakula bila mafuta
Lakini nadhani "chukuchuku" ni healthy kuliko kuweka mafuta ambayo ndio chanzo cha lehemu mbaya.tumerudi huko sasa
Kila kitu kinatakiwa kiliwe kwa kiasi,.hata mchemsho ukizidisha ni tatizoAkunyimae Kunde, Akupunguzia Mashuzi...,
Mafuta sio Mazuri, ukiweza kula michemsho
Wapiga kura hawana shida. Mnawalaumu bure. Shida ni wanaohesabu na kutoa matokeolakini mapiga kura ya ccm nayo yanaisoma namba
Nadhani kuna zuio la kuingiza mafuta kutoka nje ya nchi jamani zuio hili kama lipo liondolewe
maana hali saivi ni hatari sio siri jana nimeuziwa mafuta ya kula lita moja 7500/= nimeshangaa sana, hivi mbona mambo yanakua magumu kiasi hiki,
sasaivi tumerudi enzi za kupika chakula bila mafuta Rais samia tuhurumie
kipindi cha nyuma mafuta yalikua yanatoka nje tuliyapata kwa bei nzuri sana, nakumbuka tulikua na mafuta ya mukwano toka uganda lita moja elfu tatu hadi 4000 lakini sasaivi baada ya zuio tunaelekea elfu nane lita moja
kuna watu wanajinufaisha na mazuio ya kuagiza vitu nje, tunapata shida sana huku wananchi wako
viwanda vya ndani vimeahindwa kazi bora tukanufaishe viwanda vya nje
hali ngumu ajira hakuna mishahara haipandi vitu bei juu dah
Mi-5 tena !Nadhani kuna zuio la kuingiza mafuta kutoka nje ya nchi jamani zuio hili kama lipo liondolewe
maana hali saivi ni hatari sio siri jana nimeuziwa mafuta ya kula lita moja 7500/= nimeshangaa sana, hivi mbona mambo yanakua magumu kiasi hiki,
sasaivi tumerudi enzi za kupika chakula bila mafuta Rais samia tuhurumie
kipindi cha nyuma mafuta yalikua yanatoka nje tuliyapata kwa bei nzuri sana, nakumbuka tulikua na mafuta ya mukwano toka uganda lita moja elfu tatu hadi 4000 lakini sasaivi baada ya zuio tunaelekea elfu nane lita moja
kuna watu wanajinufaisha na mazuio ya kuagiza vitu nje, tunapata shida sana huku wananchi wako
viwanda vya ndani vimeahindwa kazi bora tukanufaishe viwanda vya nje
hali ngumu ajira hakuna mishahara haipandi vitu bei juu dah
Hiyo ndio kulinda viwanda vya ndani. Hawa ndio wachumi wetu wanao hongwa PhD. Wana waza kwa kutumia makalioNadhani kuna zuio la kuingiza mafuta kutoka nje ya nchi jamani zuio hili kama lipo liondolewe
maana hali saivi ni hatari sio siri jana nimeuziwa mafuta ya kula lita moja 7500/= nimeshangaa sana, hivi mbona mambo yanakua magumu kiasi hiki,
sasaivi tumerudi enzi za kupika chakula bila mafuta Rais samia tuhurumie
kipindi cha nyuma mafuta yalikua yanatoka nje tuliyapata kwa bei nzuri sana, nakumbuka tulikua na mafuta ya mukwano toka uganda lita moja elfu tatu hadi 4000 lakini sasaivi baada ya zuio tunaelekea elfu nane lita moja
kuna watu wanajinufaisha na mazuio ya kuagiza vitu nje, tunapata shida sana huku wananchi wako
viwanda vya ndani vimeahindwa kazi bora tukanufaishe viwanda vya nje
hali ngumu ajira hakuna mishahara haipandi vitu bei juu dah