Kama kutairi na kukeketa vyote vinahusisha kutoa sehemu ya mwili mbona hivi sasa?

Kama kutairi na kukeketa vyote vinahusisha kutoa sehemu ya mwili mbona hivi sasa?

Namsaidia, Inawafanya muwe na adabu kwani inawapunguzia sexual appetite , maana mmekubuhu, hamsikii, hii kitu bora ifanyike tu
Umejibu kwa hisia kinyama

Pole kwa unayopitia
 
hvy v2 ukitazam kwa jicho la harak unawez kusema vinafanan n kama pedi na pampas tu lkn hvy v2 vina malengo mawil tofauti
Malengo gani ya tofauti mkuu, yaani pedi inakusanya uchufu ule wa siku ya za mwezi, the same kwa diapers zinakusanya uchafu wa kubwa na ndogo. Malengo ni yale yale kukusanya uchafu.
 
Malengo gani ya tofauti mkuu, yaani pedi inakusanya uchufu ule wa siku ya za mwezi, the same kwa diapers zinakusanya uchafu wa kubwa na ndogo. Malengo ni yale yale kukusanya uchafu.
ckia najua mtaan kwen kuna mtoto mdog eb nenda kannue pedi alf zipelk kwa kina huyo mtoto waambie wazaz wake n zawad waztmie km pampas me nipo pale natzam mchezo
 
Kwanini watu wanakataza wanawake wasikeketwe ila wanataka wanaume watairiwe?
mwanamke akikeketwa kuna athari anapata wakati wa kujifungua, na pia anakuwa amekata sehemu nyeti ya sensitivity yaani clitoris. ila mwanaume akitahiri sio hatari kwasababu hazai, though anakuwa amepunguza pia baadhi ya nerve za sensitiviti, ila sio shida kwake.
 
Kwanini watu wanakataza wanawake wasikeketwe ila wanataka wanaume watairiwe?
Mwanaume kutahiriwa ukiacha upande wa dini au biblia, ila lengo kuu ni moja ya njia ya kujikinga na magonjwa ya maambukizi ikiwemo UTI na STDs. Ile sehemu ya gomvi inayotolewa inauwezo mkubwa wa kubaki na uchafu au majimaji na kama sio mchafu basi itakuletea magonjwa mengi ya kuambukizwa, maana ukifanya tendo la ndoa ile sehemu yaweza baki na utete wa ukeni nainajulikana wanaume hawajali sana usafi wa uko chini. Nahapo ndipo kutahiriwa inapohitajika. Pia nerve endings chache za uume hufika mwishoni kabisa kule kwenye govi hivyo mara nyingi ukisimamisha kule kutabaki kumepwaya.
 
Kwanini watu wanakataza wanawake wasikeketwe ila wanataka wanaume watairiwe?
Kwa maana kwa mwanaume usipotahiriwa utapata magonjwa na hutogegeda kwa raha ila kwa mwanamke ni mbaya hutoweza kuzaa wala kusikia raha ya tendo napia inaleta madhara mengi kama kufa , nakupata fistula
 
Kukeketa kungeendelea kusingekuwa na habari za sijui wanaume hawana nguvu za kiume Wala Nini.!!
Maana mtu Hana hamu attest mbo.o tofauti ili apate Nini?
Hata ukimuacha mwaka hapo maisha yanasogea.
Nyege zinawafanya wawe Malaya
 
Mwanamke kukeketwa ina athari nyingi ikiwemo kupoteza maisha. Ova
Leta ushahidi.
Wazungu tu wametudanganya.
Hakuna hizi habari
Mama zetu walikuwa wanazaa si chini ya watoto 4 na walikeketwa.
Siku hizi mtoto mmoja mnaogopa kuzaa ndio mnakuja na habari za uongo
 
Namsaidia, Inawafanya muwe na adabu kwani inawapunguzia sexual appetite , maana mmekubuhu, hamsikii, hii kitu bora ifanyike tu
Wewe unacheza na njaa.Ikatwe isikatwe kama ana njaa ya maisha atadanya tu,
 
Back
Top Bottom