Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkitairiwa mnapotezaga maisha?Na mwanaume?
Basi endeleeni kukeketana[emoji120]Leta ushahidi.
Wazungu tu wametudanganya.
Hakuna hizi habari
Mama zetu walikuwa wanazaa si chini ya watoto 4 na walikeketwa.
Siku hizi mtoto mmoja mnaogopa kuzaa ndio mnakuja na habari za uongo
Kama wewe ni mwanaume achana na uandishi wa kipumbavu mzeehvy v2 ukitazam kwa jicho la harak unawez kusema vinafanan n kama pedi na pampas tu lkn hvy v2 vina malengo mawil tofauti
Kwa wakati huo waliuona umuhimu wa kufanya hivyo.Umuhimu wa mwanamke kukeketwa ni upi mzee baba?
Namna ya kuondoa uchafu ni kufanya usafi sio kuondoa kiungo cha mwili kuna maeneo mengi yanazalisha uchafu kwenye mwili mbona hatuyaondoi., mdomo unazalisha bakteria wengi sana ila tunapiga mswaki kwanini tusiondoe mdomo tuwe na meno nje? Huo unaoitwa uchafu wa kwenye govi haufiki hata robo ya uchafu unaozalishwa kwenye uke wa mwanamke je tuanzishe kampeni ya kuondoa uke katika miili ya wanawake kwa sababu iyo sehemu inazalisha uchafu?Usafi wa dudu la yuyu.
Inawezekana umuhimu ukawepo au usiwepo ila mtoa mada anataka kujua kwanini jinsia moja inafanyiwa tohara na jinsia nyingine haifanyiwi? Ukizingatia tupo katika zama za 50/50 hauoni iyo inakua ni ubaguziUmuhimu wa mwanamke kukeketwa ni upi mzee baba?
NA HILI NALO MKALIANGALIEKwanini watu wanakataza wanawake wasikeketwe ila wanataka wanaume watairiwe?
Wapo pia wanaume wanaopoteza maisha wakati wa kufanyiwa toharaMwanamke kukeketwa ina athari nyingi ikiwemo kupoteza maisha. Ova
Sasa kuna ulazima gani wa mwanaume kutahiriwa?mwanamke akikeketwa kuna athari anapata wakati wa kujifungua, na pia anakuwa amekata sehemu nyeti ya sensitivity yaani clitoris. ila mwanaume akitahiri sio hatari kwasababu hazai, though anakuwa amepunguza pia baadhi ya nerve za sensitiviti, ila sio shida kwake.
Hayo magonjwa hata waliotahiriwa wanayapata na kama lengo ni usafi basi wanaume waamisishwe kujifanyia usafi na sio kuondoa kiungo cha mwili hata ivyo ukiongelea kuzalisha uchafu basi sehemu ya siri ya mwanamke ndio inazalisha uchafu kwa kiwango kikubwa sana ukilinganisha na mwanaume kwaiyo zingatio zaidi liwekwe kwa wanawake ikiwemo na kuwafanyia toharaMwanaume kutahiriwa ukiacha upande wa dini au biblia, ila lengo kuu ni moja ya njia ya kujikinga na magonjwa ya maambukizi ikiwemo UTI na STDs. Ile sehemu ya gomvi inayotolewa inauwezo mkubwa wa kubaki na uchafu au majimaji na kama sio mchafu basi itakuletea magonjwa mengi ya kuambukizwa, maana ukifanya tendo la ndoa ile sehemu yaweza baki na utete wa ukeni nainajulikana wanaume hawajali sana usafi wa uko chini. Nahapo ndipo kutahiriwa inapohitajika. Pia nerve endings chache za uume hufika mwishoni kabisa kule kwenye govi hivyo mara nyingi ukisimamisha kule kutabaki kumepwaya.
Magonjwa yote anayopata ambae hajatahiriwa anaweza akayapata ambae katahiriwa pia kuhusu kutogegeda kwa raha sio kweli kabisa maana ile foreskin inayoondolewa ina stimulation nerves ambazo zinamfanya mwanaume kupata flavor zaidi wakati wa sex ivyo mwanaume ambae hajatahiriwa anaenjoy zaidi sexy kuliko ambae ametahiriwa kuhusu kufa hata wanaume pia wanakufa wakati wa kufanyiwa tohara, hizi no zama za 50/50 kama wanaume wanafanyiwa tohara basi na wanawake wafanyiwe pia kama wanawake hawafanyiwi basi na wanaume wasifanyiwe piaKwa maana kwa mwanaume usipotahiriwa utapata magonjwa na hutogegeda kwa raha ila kwa mwanamke ni mbaya hutoweza kuzaa wala kusikia raha ya tendo napia inaleta madhara mengi kama kufa , nakupata fistula
Sijapinga, lakini tuangalie athari nyingi zinaegemea upande ganiWapo pia wanaume wanaopoteza maisha wakati wa kufanyiwa tohara
kwan nmetoa tusi mkuuKama wewe ni mwanaume achana na uandishi wa kipumbavu mzee
Oi mkuu nimekukosa sanaUmuhimu wa mwanamke kukeketwa ni upi mzee baba?
Mjina Mrefu umenikosa sana ndio umenimiss sana 😂😂😂
Kama ni 50/50 kwanini wanaume wasiache kutahiriwa ili tuwe sawaInawezekana umuhimu ukawepo au usiwepo ila mtoa mada anataka kujua kwanini jinsia moja inafanyiwa tohara na jinsia nyingine haifanyiwi? Ukizingatia tupo katika zama za 50/50 hauoni iyo inakua ni ubaguzi